Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Tumaini la uwongo katika hekalu la Yehova (1-11)

      • Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15)

      • Ibada ya kidesturi yashutumiwa (16-34)

        • “Malkia wa Mbinguni” aabudiwa (18)

        • Kutoa watoto dhabihu huko Hinomu (31)

Yeremia 7:3

Marejeo

  • +Yer 26:13

Yeremia 7:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Haya ni,” yaani majengo yote ya hekalu.

Marejeo

  • +Mik 3:11

Yeremia 7:5

Marejeo

  • +Yer 21:12; 22:3

Yeremia 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watoto wasio na baba.”

Marejeo

  • +Kum 24:17; Zb 82:3; Zek 7:9, 10; Yak 1:27
  • +Kum 8:19

Yeremia 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu milele mpaka milele.”

Yeremia 7:8

Marejeo

  • +Isa 30:10; Yer 5:31; 14:14

Yeremia 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “moshi wa dhabihu.”

Marejeo

  • +Isa 3:14; Mik 2:2
  • +Yer 5:2
  • +Yer 11:13

Yeremia 7:11

Marejeo

  • +Mt 21:13; Mk 11:17; Lu 19:45, 46

Yeremia 7:12

Marejeo

  • +Yos 18:1
  • +Kum 12:5, 11
  • +1Sa 4:11; Zb 78:60; Yer 26:6, 9

Yeremia 7:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “niliamka mapema na kuzungumza.”

Marejeo

  • +2Nya 36:15, 16; Yer 25:3, 4
  • +Isa 65:12

Yeremia 7:14

Marejeo

  • +2Fa 25:8, 9
  • +Yer 7:4
  • +1Sa 4:10, 11; Zb 78:60; Yer 26:4, 6; Omb 2:7

Yeremia 7:15

Marejeo

  • +2Fa 17:22, 23

Yeremia 7:16

Marejeo

  • +Kut 32:9, 10; Yer 11:14
  • +Yer 15:1

Yeremia 7:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Jina la mungu wa kike aliyeabudiwa na Waisraeli waasi imani; huenda ni mungu wa kike wa uzazi.

Marejeo

  • +Yer 44:17
  • +Isa 57:6; Yer 19:13; Eze 20:28

Yeremia 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanayenikasirisha; wanayenichokoza.”

Marejeo

  • +Da 9:7

Yeremia 7:20

Marejeo

  • +Omb 2:3
  • +2Fa 22:17; Yer 17:27

Yeremia 7:21

Marejeo

  • +Isa 1:11; Yer 6:20; Ho. 8:13; Amo 5:21

Yeremia 7:22

Marejeo

  • +1Sa 15:22; Ho. 6:6

Yeremia 7:23

Marejeo

  • +Kut 19:5; Law 26:3, 12
  • +Kum 5:29

Yeremia 7:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ushauri wao.”

Marejeo

  • +Kut 32:8
  • +Ho. 4:16; Zek 7:12

Yeremia 7:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kila siku niliamka mapema na kuwatuma.”

Marejeo

  • +Kum 9:7; 1Sa 8:8
  • +2Fa 17:13; 2Nya 36:15; Ne 9:17, 30; Yer 25:4

Yeremia 7:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliifanya shingo yao iwe ngumu.”

Marejeo

  • +2Nya 33:10; Yer 25:3

Yeremia 7:27

Marejeo

  • +Yer 26:2; Eze 2:7

Yeremia 7:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “umekatwa kutoka kinywani mwao.”

Marejeo

  • +Yer 5:1; Mik 7:2

Yeremia 7:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ambazo zimewekwa wakfu.”

  • *

    Au “wimbo wa maombolezo.”

Yeremia 7:30

Marejeo

  • +2Fa 21:1, 4; 2Nya 33:1, 4; Yer 23:11; 32:34

Yeremia 7:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Gehena.”

  • *

    Au “sijawahi kamwe kulifikiria.”

Marejeo

  • +Yos 15:8, 12
  • +Kum 12:29-31; 2Fa 17:17; 2Nya 28:1, 3; 33:1, 6; Eze 20:31
  • +Law 18:21; 20:3; Yer 19:5, 6; 32:35

Yeremia 7:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Gehena.”

Marejeo

  • +Yer 19:11; Eze 6:4, 5

Yeremia 7:33

Marejeo

  • +Kum 28:26; Zb 79:2; Yer 16:4

Yeremia 7:34

Marejeo

  • +Isa 24:8; Yer 25:10
  • +Law 26:33; Isa 1:7; 6:11

Jumla

Yer. 7:3Yer 26:13
Yer. 7:4Mik 3:11
Yer. 7:5Yer 21:12; 22:3
Yer. 7:6Kum 24:17; Zb 82:3; Zek 7:9, 10; Yak 1:27
Yer. 7:6Kum 8:19
Yer. 7:8Isa 30:10; Yer 5:31; 14:14
Yer. 7:9Isa 3:14; Mik 2:2
Yer. 7:9Yer 5:2
Yer. 7:9Yer 11:13
Yer. 7:11Mt 21:13; Mk 11:17; Lu 19:45, 46
Yer. 7:12Yos 18:1
Yer. 7:12Kum 12:5, 11
Yer. 7:121Sa 4:11; Zb 78:60; Yer 26:6, 9
Yer. 7:132Nya 36:15, 16; Yer 25:3, 4
Yer. 7:13Isa 65:12
Yer. 7:142Fa 25:8, 9
Yer. 7:14Yer 7:4
Yer. 7:141Sa 4:10, 11; Zb 78:60; Yer 26:4, 6; Omb 2:7
Yer. 7:152Fa 17:22, 23
Yer. 7:16Kut 32:9, 10; Yer 11:14
Yer. 7:16Yer 15:1
Yer. 7:18Yer 44:17
Yer. 7:18Isa 57:6; Yer 19:13; Eze 20:28
Yer. 7:19Da 9:7
Yer. 7:20Omb 2:3
Yer. 7:202Fa 22:17; Yer 17:27
Yer. 7:21Isa 1:11; Yer 6:20; Ho. 8:13; Amo 5:21
Yer. 7:221Sa 15:22; Ho. 6:6
Yer. 7:23Kut 19:5; Law 26:3, 12
Yer. 7:23Kum 5:29
Yer. 7:24Kut 32:8
Yer. 7:24Ho. 4:16; Zek 7:12
Yer. 7:25Kum 9:7; 1Sa 8:8
Yer. 7:252Fa 17:13; 2Nya 36:15; Ne 9:17, 30; Yer 25:4
Yer. 7:262Nya 33:10; Yer 25:3
Yer. 7:27Yer 26:2; Eze 2:7
Yer. 7:28Yer 5:1; Mik 7:2
Yer. 7:302Fa 21:1, 4; 2Nya 33:1, 4; Yer 23:11; 32:34
Yer. 7:31Yos 15:8, 12
Yer. 7:31Kum 12:29-31; 2Fa 17:17; 2Nya 28:1, 3; 33:1, 6; Eze 20:31
Yer. 7:31Law 18:21; 20:3; Yer 19:5, 6; 32:35
Yer. 7:32Yer 19:11; Eze 6:4, 5
Yer. 7:33Kum 28:26; Zb 79:2; Yer 16:4
Yer. 7:34Isa 24:8; Yer 25:10
Yer. 7:34Law 26:33; Isa 1:7; 6:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 7:1-34

Yeremia

7 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema: 2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova nawe utangaze hapo ujumbe huu, ‘Sikieni neno la Yehova ninyi watu wote wa Yuda mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova. 3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Rekebisheni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa.+ 4 Msiyatumaini maneno ya udanganyifu na kusema, ‘Hili ni* hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hekalu la Yehova!’+ 5 Mkirekebisha kikweli njia zenu na matendo yenu; mkitekeleza haki kikweli kati ya mtu na jirani yake;+ 6 msipowakandamiza wakaaji wageni, mayatima,* na wajane;+ msipomwaga damu isiyo na hatia mahali hapa; na msipoifuata miungu mingine na kujiletea madhara;+ 7 basi nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa, katika nchi niliyowapa mababu zenu daima.”’”*

8 “Lakini mnayatumaini maneno ya udanganyifu+—hayatawaletea faida yoyote. 9 Je, mnaweza kuiba,+ kuua, kufanya uzinzi, kuapa kwa uwongo,+ kumtolea dhabihu* Baali,+ na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua, 10 kisha mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii inayoitwa kwa jina langu na kusema, ‘Tutaokolewa,’ ilhali mnafanya mambo hayo yote yanayochukiza? 11 Je, nyumba hii inayoitwa kwa jina langu imekuwa pango la wanyang’anyi machoni penu?+ Nimejionea jambo hilo,” asema Yehova.

12 “‘Hata hivyo, sasa nendeni mahali pangu huko Shilo,+ ambapo mwanzoni nilifanya jina langu likae,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya uovu wa watu wangu Waisraeli.+ 13 Lakini mliendelea kufanya mambo hayo yote,’ asema Yehova, ‘na ingawa nilizungumza nanyi tena na tena,* hamkusikiliza.+ Niliendelea kuwaita, lakini hamkujibu.+ 14 Ndivyo nitakavyoitendea nyumba inayoitwa kwa jina langu,+ ambayo mnaitumaini,+ na mahali hapa ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyoitendea Shilo.+ 15 Nitawatupa kutoka mbele za macho yangu, kama nilivyowatupa ndugu zenu wote, wazao wote wa Efraimu.’+

16 “Lakini wewe, usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio wala kusali wala kunisihi kwa ajili yao,+ kwa maana sitakusikiliza.+ 17 Je, huoni mambo wanayofanya katika majiji ya Yuda na kwenye barabara za Yerusalemu? 18 Wana wanakusanya kuni, akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumwokea Malkia wa Mbinguni*+ keki za dhabihu, nao wanaimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji ili wanikasirishe.+ 19 ‘Lakini je, ni mimi wanayeniumiza?’* auliza Yehova. ‘Je, hawajiumizi wao wenyewe, kwa aibu yao wenyewe?’+ 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+

21 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema, ‘Endeleeni, ongezeni dhabihu zenu nzima za kuteketezwa kwenye dhabihu zenu nyingine, na mle nyama hizo ninyi wenyewe.+ 22 Kwa maana siku niliyowatoa mababu zenu nchini Misri, sikuwaambia wala kuwaamuru kuhusu dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu nyingine.+ 23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+ 24 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao;+ badala yake walitembea katika mipango yao* wenyewe, wakifuata kwa ukaidi moyo wao mwovu,+ nao wakarudi nyuma, badala ya kwenda mbele, 25 tangu siku ambayo mababu zenu walitoka nchini Misri mpaka leo hii.+ Basi nikaendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nilikuwa nikiwatuma kila siku, tena na tena.*+ 26 Lakini walikataa kunisikiliza, nao hawakutega sikio lao.+ Badala yake, walikuwa wakaidi,* nao walitenda mambo mabaya zaidi kuliko mababu zao!

27 “Utawaambia maneno haya yote,+ lakini hawatakusikiliza; utawaita, lakini hawatakujibu. 28 Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo taifa ambalo halikuitii sauti ya Yehova Mungu wao, nao walikataa kukubali nidhamu. Uaminifu umetoweka na hata hautajwi miongoni mwao.’*+

29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijanyolewa,* nawe uzitupe, na uimbe wimbo wa huzuni* juu ya vilima vitupu, kwa maana Yehova amekikataa na atakiacha kizazi hiki ambacho kimemkasirisha. 30 ‘Kwa maana watu wa Yuda wametenda maovu machoni pangu,’ asema Yehova. ‘Wameziweka sanamu zao zinazochukiza katika nyumba ambayo imeitwa kwa jina langu, ili kuitia unajisi.+ 31 Wamejenga mahali pa juu pa Tofethi, palipo katika Bonde la Mwana wa Hinomu,*+ ili kuwateketeza motoni wana wao na mabinti wao,+ jambo ambalo sikuamuru na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.’*+

32 “‘Kwa hiyo tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati ambapo bonde hilo halitaitwa tena Tofethi au Bonde la Mwana wa Hinomu* bali Bonde la Mauaji. Watawazika wafu katika Tofethi hivi kwamba hakutakuwa na nafasi zaidi.+ 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha ndege wa angani na cha wanyama wa duniani, na hakuna mtu atakayewafukuza.+ 34 Nitaikomesha sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi,+ katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, kwa maana nchi itakuwa magofu.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki