Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Elihu ataja mawazo yasiyofaa ya Ayubu (1-16)

        • Ayubu asema yeye ni mwadilifu kuliko Mungu (2)

        • Mungu yuko juu sana, haathiriwi na dhambi (5, 6)

        • Ayubu anapaswa kumngojea Mungu (14)

Ayubu 35:2

Marejeo

  • +Ayu 10:7; 16:16, 17; 34:5

Ayubu 35:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaelekea anamwambia Mungu.

Marejeo

  • +Ayu 9:22-24; 34:9; Zb 73:13

Ayubu 35:4

Marejeo

  • +Ayu 2:11

Ayubu 35:5

Marejeo

  • +Zb 68:34

Ayubu 35:6

Marejeo

  • +Met 8:36; 9:12
  • +Met 19:3

Ayubu 35:7

Marejeo

  • +Ro 11:35

Ayubu 35:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoka mkononi mwa.”

Marejeo

  • +Met 29:2

Ayubu 35:10

Marejeo

  • +Isa 51:12, 13; 1Pe 4:19
  • +Zb 42:8; 149:5; Mdo 16:25

Ayubu 35:11

Marejeo

  • +Zb 94:12; Isa 48:17
  • +Mwa 1:26

Ayubu 35:12

Marejeo

  • +Zb 18:41
  • +Met 1:28, 29; 1Pe 5:5

Ayubu 35:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hasikilizi uwongo.”

Marejeo

  • +Met 15:29; Isa 1:15; Yer 11:11

Ayubu 35:14

Marejeo

  • +Ayu 9:11
  • +Zb 37:5

Ayubu 35:15

Marejeo

  • +Zb 103:10-12

Ayubu 35:16

Marejeo

  • +Ayu 34:35; 38:2

Jumla

Ayu. 35:2Ayu 10:7; 16:16, 17; 34:5
Ayu. 35:3Ayu 9:22-24; 34:9; Zb 73:13
Ayu. 35:4Ayu 2:11
Ayu. 35:5Zb 68:34
Ayu. 35:6Met 8:36; 9:12
Ayu. 35:6Met 19:3
Ayu. 35:7Ro 11:35
Ayu. 35:9Met 29:2
Ayu. 35:10Isa 51:12, 13; 1Pe 4:19
Ayu. 35:10Zb 42:8; 149:5; Mdo 16:25
Ayu. 35:11Zb 94:12; Isa 48:17
Ayu. 35:11Mwa 1:26
Ayu. 35:12Zb 18:41
Ayu. 35:12Met 1:28, 29; 1Pe 5:5
Ayu. 35:13Met 15:29; Isa 1:15; Yer 11:11
Ayu. 35:14Ayu 9:11
Ayu. 35:14Zb 37:5
Ayu. 35:15Zb 103:10-12
Ayu. 35:16Ayu 34:35; 38:2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 35:1-16

Ayubu

35 Elihu akaendelea kusema:

 2 “Je, unasadiki kabisa kwamba uko sahihi hivi kwamba unasema,

‘Mimi ni mwadilifu kuliko Mungu’?+

 3 Kwa maana unasema, ‘Hilo linakuhusuje?*

Je, hali yangu ni bora kuliko kama ningetenda dhambi?’+

 4 Nitakujibu wewe

Na rafiki zako+ walio pamoja nawe.

 5 Tazama mbinguni uone,

Yaangalie mawingu,+ ambayo yako mbali sana juu yako.

 6 Ukitenda dhambi, unamuumizaje?+

Dhambi zako zikiongezeka, unamwathirije?+

 7 Ukiwa mwadilifu, unampa nini;

Anapokea nini kutoka kwako?+

 8 Uovu wako unamwathiri tu mwanadamu kama wewe,

Na uadilifu wako, binadamu.

 9 Watu hulia kwa sauti wanapokandamizwa sana;

Wanalia wapate kitulizo kutoka chini ya mamlaka ya* wenye nguvu.+

10 Lakini hakuna anayeuliza, ‘Yuko wapi Mungu, Muumba wangu Mkuu,+

Yule anayesababisha nyimbo ziimbwe usiku?’+

11 Hutufundisha+ kuliko wanyama mwitu wa dunia,+

Naye hutufanya tuwe na hekima kuliko ndege wa angani.

12 Watu hulia kwa sauti, lakini Yeye hajibu,+

Kwa sababu ya kiburi cha waovu.+

13 Kwa kweli Mungu hasikilizi kilio kisicho na maana;*+

Mweza-Yote hakisikilizi.

14 Sembuse wewe unapolalamika kwamba humwoni!+

Kesi yako iko mbele zake, kwa hiyo unapaswa kumngojea kwa hamu.+

15 Kwa maana hajakuadhibu kwa hasira;

Wala hajakazia fikira maneno unayosema haraka-haraka bila kufikiri.+

16 Ayubu hufumbua kinywa chake wazi kwa ubatili;

Huongea maneno mengi bila ujuzi.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki