Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli—Yaliyomo

      • Sanduku la agano laletwa Kiriath-yearimu (1)

      • Samweli ahimiza hivi: ‘Mtumikieni Yehova peke yake’ (2-6)

      • Ushindi wa Waisraeli kule Mispa (7-14)

      • Samweli awa mwamuzi wa Israeli (15-17)

1 Samweli 7:1

Marejeo

  • +2Sa 6:2, 4; 1Nya 13:5, 7

1 Samweli 7:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuomboleza mbele za.”

Marejeo

  • +Ne 9:28

1 Samweli 7:3

Marejeo

  • +1Sa 12:24
  • +Yos 24:14, 23; Amu 3:7
  • +Amu 2:13; 10:6; 1Fa 11:33
  • +Kum 10:20; 13:4; Lu 4:8
  • +Kum 28:1

1 Samweli 7:4

Marejeo

  • +Amu 10:16

1 Samweli 7:5

Marejeo

  • +Amu 20:1; 1Sa 10:17; 2Fa 25:23; Yer 40:6
  • +1Sa 12:23; Yak 5:16

1 Samweli 7:6

Marejeo

  • +2Nya 20:3; Ne 9:1; Yoe 2:12
  • +Amu 10:10
  • +Amu 2:18

1 Samweli 7:7

Marejeo

  • +Yos 13:2, 3; 1Sa 6:4

1 Samweli 7:8

Marejeo

  • +1Sa 12:19; Isa 37:4

1 Samweli 7:9

Marejeo

  • +Law 1:10
  • +Zb 99:6

1 Samweli 7:10

Marejeo

  • +1Sa 2:10; 2Sa 22:14
  • +Yos 10:10; Amu 4:15
  • +Kum 20:4; 28:7

1 Samweli 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Jiwe la Msaada.”

Marejeo

  • +Yos 4:9; 24:26
  • +Zb 44:3

1 Samweli 7:13

Marejeo

  • +1Sa 9:16; 13:5
  • +1Sa 14:22, 23; 17:51

1 Samweli 7:14

Marejeo

  • +Mwa 15:18, 21

1 Samweli 7:15

Marejeo

  • +1Sa 3:20; 12:11; 25:1; Mdo 13:20

1 Samweli 7:16

Marejeo

  • +Yos 16:1
  • +Yos 15:7, 12; 1Sa 11:15
  • +1Sa 7:5

1 Samweli 7:17

Marejeo

  • +1Sa 1:1; 8:4; 19:18
  • +Kut 20:25

Jumla

1 Sam. 7:12Sa 6:2, 4; 1Nya 13:5, 7
1 Sam. 7:2Ne 9:28
1 Sam. 7:31Sa 12:24
1 Sam. 7:3Yos 24:14, 23; Amu 3:7
1 Sam. 7:3Amu 2:13; 10:6; 1Fa 11:33
1 Sam. 7:3Kum 10:20; 13:4; Lu 4:8
1 Sam. 7:3Kum 28:1
1 Sam. 7:4Amu 10:16
1 Sam. 7:5Amu 20:1; 1Sa 10:17; 2Fa 25:23; Yer 40:6
1 Sam. 7:51Sa 12:23; Yak 5:16
1 Sam. 7:62Nya 20:3; Ne 9:1; Yoe 2:12
1 Sam. 7:6Amu 10:10
1 Sam. 7:6Amu 2:18
1 Sam. 7:7Yos 13:2, 3; 1Sa 6:4
1 Sam. 7:81Sa 12:19; Isa 37:4
1 Sam. 7:9Law 1:10
1 Sam. 7:9Zb 99:6
1 Sam. 7:101Sa 2:10; 2Sa 22:14
1 Sam. 7:10Yos 10:10; Amu 4:15
1 Sam. 7:10Kum 20:4; 28:7
1 Sam. 7:12Yos 4:9; 24:26
1 Sam. 7:12Zb 44:3
1 Sam. 7:131Sa 9:16; 13:5
1 Sam. 7:131Sa 14:22, 23; 17:51
1 Sam. 7:14Mwa 15:18, 21
1 Sam. 7:151Sa 3:20; 12:11; 25:1; Mdo 13:20
1 Sam. 7:16Yos 16:1
1 Sam. 7:16Yos 15:7, 12; 1Sa 11:15
1 Sam. 7:161Sa 7:5
1 Sam. 7:171Sa 1:1; 8:4; 19:18
1 Sam. 7:17Kut 20:25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Samweli 7:1-17

Kitabu cha Kwanza cha Samweli

7 Basi watu wa Kiriath-yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Yehova na kulipandisha katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwanawe ili alilinde Sanduku la Yehova.

2 Muda mrefu ulipita, jumla ya miaka 20, tangu Sanduku hilo lilipoletwa Kiriath-yearimu, na nyumba yote ya Israeli kuanza kumtafuta* Yehova.+ 3 Kisha Samweli akaiambia nyumba yote ya Israeli: “Ikiwa mnamrudia Yehova kwa moyo wenu wote,+ ondoeni miungu ya kigeni+ na sanamu za Ashtorethi+ kutoka kati yenu, nanyi elekezeni moyo wenu kwa Yehova bila kuyumbayumba na kumtumikia yeye peke yake,+ naye atawaokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti.”+ 4 Kwa hiyo Waisraeli wakaondoa Mabaali na sanamu za Ashtorethi na kumtumikia Yehova peke yake.+

5 Kisha Samweli akasema: “Wakusanyeni Waisraeli wote Mispa,+ nami nitasali kwa Yehova kwa ajili yenu.”+ 6 Basi wakakusanyika pamoja huko Mispa, nao wakachota maji na kuyamwaga mbele za Yehova na kufunga siku hiyo.+ Wakiwa huko wakasema: “Tumemtendea dhambi Yehova.”+ Naye Samweli akaanza kutumikia akiwa mwamuzi+ wa Waisraeli huko Mispa.

7 Wafilisti waliposikia kwamba Waisraeli wamekusanyika pamoja Mispa, watawala wa Wafilisti+ wakapanda kwenda kuwashambulia Waisraeli. Waisraeli waliposikia habari hizo, waliogopa kwa sababu ya Wafilisti. 8 Kwa hiyo Waisraeli wakamwambia Samweli: “Usiache kumwomba Yehova Mungu wetu atusaidie+ na kutuokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti.” 9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+ 10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+ 11 Ndipo wanaume wa Israeli wakatoka Mispa na kuwafuatia Wafilisti, wakawaua mpaka upande wa kusini wa Beth-kari. 12 Kisha Samweli akachukua jiwe+ na kuliweka kati ya Mispa na Yeshana, akaliita Ebenezeri,* kwa kuwa alisema: “Yehova ametusaidia mpaka sasa.”+ 13 Kwa hiyo Wafilisti wakashindwa, nao hawakuja tena katika eneo la Waisraeli;+ na mkono wa Yehova ukaendelea kuwashinda Wafilisti siku zote za Samweli.+ 14 Pia, majiji ambayo Wafilisti walikuwa wamechukua kutoka kwa Waisraeli yalirudishwa kwa Waisraeli, kuanzia Ekroni mpaka Gathi, na Waisraeli wakayakomboa maeneo yao kutoka mikononi mwa Wafilisti.

Pia kukawa na amani kati ya Waisraeli na Waamori.+

15 Samweli akaendelea kuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.+ 16 Kila mwaka alisafiri na kuzunguka Betheli,+ Gilgali,+ na Mispa,+ naye alikuwa mwamuzi wa Israeli katika maeneo hayo yote. 17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, na huko pia alitumikia akiwa mwamuzi wa Israeli. Alimjengea Yehova madhabahu huko.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki