Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Ahadi ya kurudishwa (1-13)

      • Usalama chini ya “chipukizi adilifu” (14-16)

      • Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)

        • Agano kuhusu mchana na usiku (20)

Yeremia 33:1

Marejeo

  • +Ne 3:25; Yer 32:2; 37:21; 38:28

Yeremia 33:3

Marejeo

  • +Isa 48:6

Yeremia 33:4

Marejeo

  • +Kum 28:52; Yer 32:24

Yeremia 33:6

Marejeo

  • +Isa 30:26; Yer 30:17
  • +Isa 54:13

Yeremia 33:7

Marejeo

  • +Kum 30:3; Yer 30:3
  • +Yer 24:6

Yeremia 33:8

Marejeo

  • +Isa 40:2; Zek 13:1
  • +Zb 85:2; Isa 43:25; Yer 31:34; Mik 7:18

Yeremia 33:9

Marejeo

  • +Isa 62:3, 7
  • +Mik 7:17
  • +Ne 6:15, 16

Yeremia 33:11

Marejeo

  • +Yer 31:12
  • +Zek 9:17
  • +2Nya 5:13; Ezr 3:11; Zb 106:1; Isa 12:4; Mik 7:18
  • +Law 7:12; Zb 107:22

Yeremia 33:12

Marejeo

  • +Isa 65:10; Yer 32:43

Yeremia 33:13

Marejeo

  • +Yer 17:26
  • +Yer 32:44

Yeremia 33:14

Marejeo

  • +Yer 29:10

Yeremia 33:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mrithi mwadilifu.”

Marejeo

  • +Isa 53:2; Zek 6:12; Ufu 22:16
  • +Isa 11:1, 4; Yer 23:5; Ebr 1:9

Yeremia 33:16

Marejeo

  • +Isa 45:17
  • +Eze 28:26
  • +Yer 23:6

Yeremia 33:17

Marejeo

  • +2Sa 7:16, 17; 1Fa 2:4; Zb 89:20, 29; Isa 9:7; Lu 1:32, 33

Yeremia 33:20

Marejeo

  • +Mwa 1:16; Isa 54:10; Yer 31:35-37

Yeremia 33:21

Marejeo

  • +2Sa 7:16, 17; 23:5; Zb 89:34, 35; 132:11; Isa 55:3
  • +Isa 9:6; Lu 1:32, 33
  • +Kum 21:5

Yeremia 33:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Yeremia 33:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amri za.”

Marejeo

  • +Mwa 1:16
  • +Zb 104:19; Yer 31:35, 36

Yeremia 33:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Ezr 2:1, 70
  • +Isa 14:1; Yer 31:20

Jumla

Yer. 33:1Ne 3:25; Yer 32:2; 37:21; 38:28
Yer. 33:3Isa 48:6
Yer. 33:4Kum 28:52; Yer 32:24
Yer. 33:6Isa 30:26; Yer 30:17
Yer. 33:6Isa 54:13
Yer. 33:7Kum 30:3; Yer 30:3
Yer. 33:7Yer 24:6
Yer. 33:8Isa 40:2; Zek 13:1
Yer. 33:8Zb 85:2; Isa 43:25; Yer 31:34; Mik 7:18
Yer. 33:9Isa 62:3, 7
Yer. 33:9Mik 7:17
Yer. 33:9Ne 6:15, 16
Yer. 33:11Yer 31:12
Yer. 33:11Zek 9:17
Yer. 33:112Nya 5:13; Ezr 3:11; Zb 106:1; Isa 12:4; Mik 7:18
Yer. 33:11Law 7:12; Zb 107:22
Yer. 33:12Isa 65:10; Yer 32:43
Yer. 33:13Yer 17:26
Yer. 33:13Yer 32:44
Yer. 33:14Yer 29:10
Yer. 33:15Isa 53:2; Zek 6:12; Ufu 22:16
Yer. 33:15Isa 11:1, 4; Yer 23:5; Ebr 1:9
Yer. 33:16Isa 45:17
Yer. 33:16Eze 28:26
Yer. 33:16Yer 23:6
Yer. 33:172Sa 7:16, 17; 1Fa 2:4; Zb 89:20, 29; Isa 9:7; Lu 1:32, 33
Yer. 33:20Mwa 1:16; Isa 54:10; Yer 31:35-37
Yer. 33:212Sa 7:16, 17; 23:5; Zb 89:34, 35; 132:11; Isa 55:3
Yer. 33:21Isa 9:6; Lu 1:32, 33
Yer. 33:21Kum 21:5
Yer. 33:25Mwa 1:16
Yer. 33:25Zb 104:19; Yer 31:35, 36
Yer. 33:26Ezr 2:1, 70
Yer. 33:26Isa 14:1; Yer 31:20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 33:1-26

Yeremia

33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema: 2 “Yehova, Muumba wa dunia, anasema hivi, Yehova aliyeiumba na kuifanya imara kabisa; Yehova ndilo jina lake, 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari mambo makubwa na yasiyoeleweka ambayo hujayajua.’”+

4 “Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu nyumba za jiji hili na kuhusu nyumba za wafalme wa Yuda ambazo zimebomolewa kwa sababu ya maboma ya kuzingira na kwa sababu ya upanga,+ 5 na kuhusu wale wanaokuja kupigana na Wakaldayo, na kujaza maeneo haya mizoga ya wale niliowaua katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu, wale ambao uovu wao umenifanya niufiche uso wangu kutoka kwenye jiji hili: 6 ‘Ninamponya na kumpa afya,+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama nilivyofanya mwanzoni.+ 8 Nami nitawatakasa kutokana na hatia yote ya dhambi walizonitendea,+ nami nitasamehe hatia yote ya dhambi zao na makosa waliyonikosea.+ 9 Naye atakuwa kwangu jina la furaha, sifa, na uzuri mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia kuhusu wema wote nitakaowapa.+ Nao wataogopa na kutetemeka+ kwa sababu ya wema na amani ninayompa.’”+

10 “Yehova anasema hivi, ‘Mahali hapa ambapo mtasema ni nchi iliyo ukiwa, isiyo na wanadamu wala mifugo, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu zilizo tupu, bila wanadamu wala wakaaji wala mifugo, itasikika tena 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi, sauti ya wale wanaosema: “Mshukuruni Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ upendo wake mshikamanifu unadumu milele!”’+

“‘Wataleta matoleo ya shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitawarudisha mateka wa nchi, kama hapo mwanzoni,’ asema Yehova.”

12 “Yehova wa majeshi anasema hivi, ‘Katika eneo hili lenye ukiwa, lisilo na mtu au mifugo, na katika majiji yake yote kutakuwa tena na malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao.’+

13 “‘Katika majiji ya eneo lenye milima, katika majiji ya eneo la chini, katika majiji ya kusini, katika nchi ya Benjamini, katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu+ na katika majiji ya Yuda,+ makundi yatapita tena chini ya mikono ya mtu anayeyahesabu,’ asema Yehova.”

14 “‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nitakapotimiza ahadi nzuri niliyotoa kuhusu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ 15 Siku hizo na wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi adilifu,*+ naye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+ 16 Siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa: Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+

17 “Kwa maana Yehova anasema hivi, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa ukoo wa Daudi atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha nyumba ya Israeli,+ 18 wala makuhani Walawi hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu ili kutoa dhabihu nzima za kuteketeza, kuchoma matoleo ya nafaka, na kutoa dhabihu.’”

19 Nalo neno la Yehova likamjia Yeremia tena, na kusema: 20 “Yehova anasema hivi, ‘Ikiwa mngeweza kulivunja agano langu kuhusu mchana na agano langu kuhusu usiku, ili kuzuia mchana na usiku usije kwa wakati wake,+ 21 hapo ndipo agano langu pamoja na mtumishi wangu Daudi lingeweza kuvunjwa,+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme kwenye kiti chake cha ufalme,+ na pia agano langu pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+ 22 Kama jeshi la mbinguni lisivyoweza kuhesabiwa wala mchanga wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouzidisha uzao wa* mtumishi wangu Daudi na Walawi wanaonihudumia.’”

23 Nalo neno la Yehova likamjia tena Yeremia, na kusema: 24 “Je, hujasikia yale ambayo watu hawa wanasema, ‘Yehova atazikataa familia mbili alizozichagua’? Nao wanawavunjia heshima watu wangu, na hawawatambui tena kuwa taifa.

25 “Yehova anasema hivi: ‘Kwa hakika kama nilivyoweka imara agano langu kuhusu mchana na usiku,+ sheria za* mbingu na dunia,+ 26 vivyo hivyo sitaukataa kamwe uzao wa* Yakobo na wa mtumishi wangu Daudi, hivi kwamba nisichukue kutoka kwa uzao wake* watawala wa wazao wa* Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawakusanya mateka wao+ na kuwahurumia.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki