Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Nuru kuu kwa ajili ya nchi ya Galilaya (1-7)

        • “Mkuu wa Amani” azaliwa (6, 7)

      • Mkono wa Mungu dhidi ya Israeli (8-21)

Isaya 9:1

Marejeo

  • +2Fa 15:29

Isaya 9:2

Marejeo

  • +Mt 4:13-16; Lu 1:78, 79; 2:30-32; Yoh 1:9; 8:12

Isaya 9:4

Marejeo

  • +Amu 8:12, 28; Isa 10:26, 27

Isaya 9:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “serikali; utawala wa kifalme.”

Marejeo

  • +Lu 1:35; 2:11
  • +Mwa 49:10; Zb 2:6; Zek 6:13; Lu 22:29; Ufu 19:16
  • +Isa 11:2; Mt 7:28, 29; 12:42
  • +Zb 45:3; Yoh 1:18

Isaya 9:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “serikali yake; utawala wake wa kifalme.”

Marejeo

  • +Zb 72:1, 7; Da 2:44
  • +Lu 1:32, 33
  • +2Sa 7:16, 17; Ufu 11:15
  • +Isa 42:1; Mt 12:18
  • +Zb 45:6; Isa 32:1; Yer 23:5; Ebr 1:8

Isaya 9:8

Marejeo

  • +2Fa 17:6

Isaya 9:10

Marejeo

  • +Amo 5:11

Isaya 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoka nyuma.”

Marejeo

  • +2Nya 28:18
  • +Kum 31:17
  • +Isa 5:25; 10:4

Isaya 9:13

Marejeo

  • +2Fa 17:13, 14; Ho. 7:10; Amo 4:6; 5:6

Isaya 9:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tawi la mtende na tete.”

Marejeo

  • +2Fa 17:6; Ho. 10:15

Isaya 9:15

Marejeo

  • +Kum 13:1-3

Isaya 9:17

Marejeo

  • +Kum 4:25, 26
  • +Isa 5:25

Isaya 9:21

Marejeo

  • +2Nya 28:6
  • +Isa 5:25

Jumla

Isa. 9:12Fa 15:29
Isa. 9:2Mt 4:13-16; Lu 1:78, 79; 2:30-32; Yoh 1:9; 8:12
Isa. 9:4Amu 8:12, 28; Isa 10:26, 27
Isa. 9:6Lu 1:35; 2:11
Isa. 9:6Mwa 49:10; Zb 2:6; Zek 6:13; Lu 22:29; Ufu 19:16
Isa. 9:6Isa 11:2; Mt 7:28, 29; 12:42
Isa. 9:6Zb 45:3; Yoh 1:18
Isa. 9:7Zb 72:1, 7; Da 2:44
Isa. 9:7Lu 1:32, 33
Isa. 9:72Sa 7:16, 17; Ufu 11:15
Isa. 9:7Isa 42:1; Mt 12:18
Isa. 9:7Zb 45:6; Isa 32:1; Yer 23:5; Ebr 1:8
Isa. 9:82Fa 17:6
Isa. 9:10Amo 5:11
Isa. 9:122Nya 28:18
Isa. 9:12Kum 31:17
Isa. 9:12Isa 5:25; 10:4
Isa. 9:132Fa 17:13, 14; Ho. 7:10; Amo 4:6; 5:6
Isa. 9:142Fa 17:6; Ho. 10:15
Isa. 9:15Kum 13:1-3
Isa. 9:17Kum 4:25, 26
Isa. 9:17Isa 5:25
Isa. 9:212Nya 28:6
Isa. 9:21Isa 5:25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 9:1-21

Isaya

9 Hata hivyo, utusitusi huo hautakuwa kama nchi ilipokuwa na taabu, kama nyakati za zamani nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali zilipodharauliwa.+ Lakini baadaye Yeye ataifanya iheshimiwe—njia iliyo kando ya bahari, katika eneo la Yordani, Galilaya ya mataifa.

 2 Watu waliokuwa wakitembea gizani

Wameona nuru kuu.

Na wale wanaokaa katika nchi ya kivuli kizito,

Nuru imewaangazia.+

 3 Umelifanya taifa hilo liwe na watu wengi;

Umefanya shangwe yake iwe kubwa

Wanashangilia mbele zako

Kama watu wanavyoshangilia wakati wa mavuno,

Kama wale wanaogawana nyara kwa shangwe.

 4 Kwa maana umeivunjavunja nira ya mzigo wao,

Fimbo iliyo kwenye mabega yao, gongo la msimamizi wa kazi,

Kama katika siku ya Midiani.+

 5 Kila kiatu cha askari kinachotikisa dunia kinapopiga mwendo

Na kila vazi lililoloweshwa katika damu

Litakuwa kuni kwa ajili ya moto.

 6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+

Tumepewa mwana

Na utawala* utakaa juu ya bega lake.+

Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.

 7 Kwa wingi wa utawala wake*

Na amani, hakutakuwa na mwisho,+

Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake

Ili kuuimarisha kabisa+ na kuutegemeza

Kupitia haki+ na uadilifu,+

Kuanzia sasa mpaka milele.

Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.

 8 Yehova alituma neno dhidi ya Yakobo,

Nalo limekuja dhidi ya Israeli.+

 9 Na watu wote watalijua

—Efraimu na wakaaji wa Samaria—

Ambao wanasema kwa kiburi chao na mioyo yao yenye dharau:

10 “Matofali yameanguka,

Lakini tutajenga kwa mawe yaliyochongwa.+

Mikuyu imekatwa,

Lakini tutaweka mierezi badala yake.”

11 Yehova atawainua wapinzani wa Resini dhidi yake

Naye atawachochea maadui wake wachukue hatua,

12 Siria kutoka mashariki na Wafilisti kutoka magharibi,*+

Watamnyafua Israeli kwa vinywa vilivyo wazi.+

Kwa sababu ya hayo yote, hasira yake haijapoa,

Lakini mkono wake bado umenyooshwa ili kupiga.+

13 Kwa maana watu hawajarudi kwa Yule anayewapiga;

Hawajamtafuta Yehova wa majeshi.+

14 Yehova atakata kabisa kutoka Israeli

Kichwa na mkia, chipukizi na utete,* katika siku moja.+

15 Mzee na anayeheshimiwa sana ndiye kichwa,

Na nabii anayetoa mafundisho ya uwongo ndiye mkia.+

16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawafanya watangetange;

Na wale wanaoongozwa wamevurugika.

17 Ndiyo sababu Yehova hatawashangilia vijana wao,

Naye hatawaonyesha rehema mayatima wao na wajane wao;

Kwa sababu wote ni waasi imani na watenda maovu+

Na kila kinywa kinasema kwa upumbavu.

Kwa sababu ya hayo yote, hasira yake haijapoa,

Lakini mkono wake bado umenyooshwa ili kupiga.+

18 Kwa maana uovu unawaka kama moto,

Ukiteketeza vichaka vya miiba na magugu.

Utawasha moto vichaka vya msitu,

Navyo vitapanda juu katika mawingu ya moshi.

19 Katika ghadhabu ya Yehova wa majeshi

Nchi imewashwa moto,

Na watu watakuwa kuni kwa ajili ya huo moto.

Hakuna yeyote atakayemhurumia hata ndugu yake.

20 Mtu atakata upande wa kulia

Lakini bado atakuwa na njaa,

Na mtu atakula upande wa kushoto

Lakini hatashiba.

Kila mtu atainyafua nyama ya mkono wake mwenyewe,

21 Manase atamnyafua Efraimu,

Na Efraimu atamnyafua Manase.

Wote pamoja watapigana na Yuda.+

Kwa sababu ya hayo yote, hasira yake haijapoa,

Lakini mkono wake bado umenyooshwa ili kupiga.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki