Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

        • Tupa mkate wako juu ya maji (1)

Mhubiri 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sambaza.”

Marejeo

  • +Met 22:9
  • +Kum 15:10, 11; Met 19:17; Lu 14:13, 14; Ebr 6:10

Mhubiri 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “janga gani litakalotokea.”

Marejeo

  • +Zb 37:21; Lu 6:38; 2Ko 9:7; 1Ti 6:18

Mhubiri 11:4

Marejeo

  • +Met 20:4

Mhubiri 11:5

Marejeo

  • +Zb 139:15
  • +Ayu 26:14; Zb 40:5; Mhu 8:17; Ro 11:33

Mhubiri 11:6

Marejeo

  • +Mhu 9:10; 2Ko 9:6; Kol 3:23

Mhubiri 11:8

Marejeo

  • +Mhu 5:18; 8:15
  • +Mhu 12:1

Mhubiri 11:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atakufanya uwajibike.”

Marejeo

  • +Mhu 3:17; 12:14; Ro 2:6

Mhubiri 11:10

Marejeo

  • +Zb 25:7; 2Ti 2:22

Jumla

Mhu. 11:1Met 22:9
Mhu. 11:1Kum 15:10, 11; Met 19:17; Lu 14:13, 14; Ebr 6:10
Mhu. 11:2Zb 37:21; Lu 6:38; 2Ko 9:7; 1Ti 6:18
Mhu. 11:4Met 20:4
Mhu. 11:5Zb 139:15
Mhu. 11:5Ayu 26:14; Zb 40:5; Mhu 8:17; Ro 11:33
Mhu. 11:6Mhu 9:10; 2Ko 9:6; Kol 3:23
Mhu. 11:8Mhu 5:18; 8:15
Mhu. 11:8Mhu 12:1
Mhu. 11:9Mhu 3:17; 12:14; Ro 2:6
Mhu. 11:10Zb 25:7; 2Ti 2:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 11:1-10

Mhubiri

11 Tupa* mkate wako juu ya maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+ 2 Wagawie watu saba au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea* duniani.

3 Mawingu yakijaa maji, mvua itanyesha duniani; na mti ukianguka kuelekea kusini au kaskazini, utabaki mahali ulipoanguka.

4 Anayeangalia upepo hatapanda mbegu, na anayetazama mawingu hatavuna.+

5 Kama usivyojua jinsi roho inavyofanya kazi ndani ya mifupa ya mtoto aliye tumboni mwa mama yake,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+

6 Panda mbegu zako asubuhi na usipumzishe mkono wako mpaka jioni;+ kwa maana hujui ni mbegu gani itakayofanikiwa, hii au ile, au ikiwa zote mbili zitafanikiwa.

7 Mwangaza ni mtamu, na ni vizuri macho yaone jua. 8 Kwa maana ikiwa mwanadamu ataishi miaka mingi, na aifurahie yote.+ Lakini anapaswa kukumbuka kwamba huenda siku za giza zikawa nyingi; yote yatakayokuja ni ubatili.+

9 Shangilia, ewe kijana, wakati ungali kijana, na moyo wako ushangilie siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na uende mahali ambapo macho yako yanakuongoza; lakini ujue kwamba Mungu wa kweli atakuhukumu* kwa sababu ya mambo hayo yote.+ 10 Kwa hiyo ondoa mahangaiko moyoni mwako, na ujiepushe na mambo yanayodhuru mwili wako, kwa maana ujana na upeo wa maisha ni ubatili.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki