Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema la Yehova?

        • Husema ukweli moyoni mwake (2)

        • Hachongei (3)

        • Hutimiza ahadi hata inapomletea madhara (4)

Zaburi 15:1

Marejeo

  • +Zb 2:6; 24:3, 4

Zaburi 15:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa utimilifu.”

Marejeo

  • +Zb 1:1
  • +Isa 33:15, 16; Mdo 10:34, 35
  • +Met 3:32; Efe 4:25

Zaburi 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawaaibishi.”

Marejeo

  • +Law 19:16; Zb 101:5; Met 20:19
  • +Met 14:21; Ro 12:17
  • +Kut 23:1

Zaburi 15:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Havunji kiapo chake, hata kinapomletea hasara.”

Marejeo

  • +Est 3:2
  • +Yos 9:18-20; Amu 11:34, 35; Zb 50:14; Mt 5:33

Zaburi 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hatapepesuka (hatayumbayumba) kamwe.”

Marejeo

  • +Kut 22:25
  • +Kut 23:8
  • +Zb 16:7, 8; Met 12:3; 2Pe 1:10

Jumla

Zab. 15:1Zb 2:6; 24:3, 4
Zab. 15:2Zb 1:1
Zab. 15:2Isa 33:15, 16; Mdo 10:34, 35
Zab. 15:2Met 3:32; Efe 4:25
Zab. 15:3Law 19:16; Zb 101:5; Met 20:19
Zab. 15:3Met 14:21; Ro 12:17
Zab. 15:3Kut 23:1
Zab. 15:4Est 3:2
Zab. 15:4Yos 9:18-20; Amu 11:34, 35; Zb 50:14; Mt 5:33
Zab. 15:5Kut 22:25
Zab. 15:5Kut 23:8
Zab. 15:5Zb 16:7, 8; Met 12:3; 2Pe 1:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 15:1-5

Zaburi

Muziki wa Daudi.

15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako?

Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+

 2 Yule anayetembea bila kosa,*+

Anayezoea kutenda yaliyo sawa+

Na kusema ukweli moyoni mwake.+

 3 Hachongei kwa ulimi wake,+

Hamtendei jirani yake jambo lolote ovu,+

Naye hawaharibii sifa* rafiki zake.+

 4 Humkataa mtu yeyote anayedharauliwa,+

Lakini huwaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.

Havunji ahadi yake, hata ikimletea hasara.*+

 5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+

Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+

Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki