Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Ahadi za kurudishwa na kuponywa (1-24)

Yeremia 30:3

Marejeo

  • +Kum 30:3; Eze 39:25
  • +Ezr 2:1; Yer 29:14; 32:44; Eze 20:42; Amo 9:14

Yeremia 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kiuno chake.”

Marejeo

  • +Yer 4:31; Mik 4:9

Yeremia 30:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ni kuu.”

Marejeo

  • +Yoe 2:11; Sef 1:14

Yeremia 30:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pingu zako nitazikata.”

  • *

    Au “wageni kutoka nchi nyingine.”

  • *

    Au “hawatawafanya.”

Yeremia 30:9

Marejeo

  • +Eze 34:23; 37:24; Ho. 3:5

Yeremia 30:10

Marejeo

  • +Isa 41:13
  • +Isa 49:25; Yer 3:18
  • +Yer 33:16; Eze 34:25; Ho. 2:18; Mik 4:4

Yeremia 30:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakurekebisha.”

Marejeo

  • +Yer 50:29; 51:24
  • +Law 26:44; Ne 9:31; Omb 3:22; Amo 9:8
  • +Kut 34:6, 7; Yer 46:27, 28

Yeremia 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jeraha lako la kuvunjika.”

Marejeo

  • +2Nya 36:15, 16; Isa 6:10; Yer 8:21, 22

Yeremia 30:14

Marejeo

  • +Omb 1:2, 19
  • +Omb 2:5
  • +Yer 5:6

Yeremia 30:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jeraha lako la kuvunjika.”

Marejeo

  • +2Nya 36:14

Yeremia 30:16

Marejeo

  • +Isa 41:11; Yer 25:12
  • +Yer 51:29, 56; Mik 5:9
  • +Zek 2:8, 9

Yeremia 30:17

Marejeo

  • +Zb 102:13; Yer 33:6, 7
  • +Omb 2:15

Yeremia 30:18

Marejeo

  • +Zb 85:1; Yer 24:6; 29:10
  • +Mik 4:8

Yeremia 30:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “waheshimiwe.”

Marejeo

  • +Ezr 3:12; Ne 8:17; Isa 35:10
  • +Kum 30:5; Isa 27:6; Zek 10:8
  • +Isa 60:22; Mik 4:7

Yeremia 30:20

Marejeo

  • +Isa 1:26
  • +Isa 49:26; Yer 50:18

Yeremia 30:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoa moyo wake kuwa rehani ili anikaribie?”

Yeremia 30:22

Marejeo

  • +Ho. 2:23
  • +Yer 31:1; Eze 11:20; 36:28

Yeremia 30:23

Marejeo

  • +Yer 25:32

Yeremia 30:24

Marejeo

  • +Yer 4:28
  • +Yer 23:20

Jumla

Yer. 30:3Kum 30:3; Eze 39:25
Yer. 30:3Ezr 2:1; Yer 29:14; 32:44; Eze 20:42; Amo 9:14
Yer. 30:6Yer 4:31; Mik 4:9
Yer. 30:7Yoe 2:11; Sef 1:14
Yer. 30:9Eze 34:23; 37:24; Ho. 3:5
Yer. 30:10Isa 41:13
Yer. 30:10Isa 49:25; Yer 3:18
Yer. 30:10Yer 33:16; Eze 34:25; Ho. 2:18; Mik 4:4
Yer. 30:11Yer 50:29; 51:24
Yer. 30:11Law 26:44; Ne 9:31; Omb 3:22; Amo 9:8
Yer. 30:11Kut 34:6, 7; Yer 46:27, 28
Yer. 30:122Nya 36:15, 16; Isa 6:10; Yer 8:21, 22
Yer. 30:14Omb 1:2, 19
Yer. 30:14Omb 2:5
Yer. 30:14Yer 5:6
Yer. 30:152Nya 36:14
Yer. 30:16Isa 41:11; Yer 25:12
Yer. 30:16Yer 51:29, 56; Mik 5:9
Yer. 30:16Zek 2:8, 9
Yer. 30:17Zb 102:13; Yer 33:6, 7
Yer. 30:17Omb 2:15
Yer. 30:18Zb 85:1; Yer 24:6; 29:10
Yer. 30:18Mik 4:8
Yer. 30:19Ezr 3:12; Ne 8:17; Isa 35:10
Yer. 30:19Kum 30:5; Isa 27:6; Zek 10:8
Yer. 30:19Isa 60:22; Mik 4:7
Yer. 30:20Isa 1:26
Yer. 30:20Isa 49:26; Yer 50:18
Yer. 30:22Ho. 2:23
Yer. 30:22Yer 31:1; Eze 11:20; 36:28
Yer. 30:23Yer 25:32
Yer. 30:24Yer 4:28
Yer. 30:24Yer 23:20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 30:1-24

Yeremia

30 Neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema: 2 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Andika katika kitabu maneno yote ninayokuambia. 3 Kwa maana “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapowakusanya watu wangu waliotekwa, Israeli na Yuda,”+ asema Yehova, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao wataimiliki tena.”’”+

4 Haya ndiyo maneno ambayo Yehova aliwaambia watu wa Israeli na Yuda.

 5 Yehova anasema hivi:

“Tumesikia sauti za kutetemeka;

Kuna hofu, na hakuna amani.

 6 Ulizeni, tafadhali, ikiwa mwanamume anaweza kujifungua mtoto.

Hivyo basi, kwa nini ninamwona kila mwanamume mwenye nguvu akishika tumbo lake*

Kama mwanamke anayejifungua?+

Kwa nini kila uso umegeuka rangi?

 7 Ole wangu! Kwa maana siku hiyo inatisha sana.*+

Hakuna nyingine kama hiyo,

Wakati wa taabu kwa Yakobo.

Lakini ataokolewa kutokana nayo.”

8 “Na siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitaivunja nira kutoka shingoni mwako, na mikanda yako nitaikata* vipande viwili; na wageni* hawatamfanya* tena kuwa mtumwa wao. 9 Watamtumikia Yehova Mungu wao na Daudi mfalme wao, ambaye nitamweka juu yao.”+

10 “Nawe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,” asema Yehova,

“Wala usihofu, Ee Israeli.+

Kwa maana nitakuokoa kutoka mbali

Na uzao wako kutoka katika nchi waliyopelekwa utekwani.+

Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,

Na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+

11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe.

Lakini nitaleta maangamizi katika mataifa yote ambako nilikutawanya;+

Lakini wewe, sitakuangamiza.+

Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,

Nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

12 Kwa maana Yehova anasema hivi:

“Hakuna matibabu kwa ajili ya jeraha lako.*+

Kidonda chako hakiwezi kupona.

13 Hakuna mtu wa kukutetea,

Hakuna njia ya kukiponya kidonda chako.

Hakuna dawa ya kukuponya.

14 Wapenzi wako wote wamekusahau.+

Hawakutafuti tena.

Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+

Kwa adhabu ya mtu mkatili,

Kwa sababu ya hatia yako kubwa na dhambi zako nyingi.+

15 Kwa nini unapaza kilio kwa sababu ya jeraha lako?*

Maumivu yako hayawezi kupona!

Kwa sababu ya hatia yako kubwa na dhambi zako nyingi+

Nimekutendea hivyo.

16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza, watamezwa,+

Na maadui wako wote watapelekwa pia utekwani.+

Wale wanaokupora wataporwa,

Nami nitawatia mikononi mwa waporaji wale wote wanaokupora.”+

17 “Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,”+ asema Yehova,

“Ingawa walikuita mtu aliyetengwa:

‘Sayuni, asiyetafutwa na yeyote.’”+

18 Yehova anasema hivi:

“Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+

Nami nitayahurumia makao yake.

Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+

Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa.

19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+

Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+

Nitawafanya kuwa wengi,*

Nao hawatakuwa duni.+

20 Wanawe watakuwa kama walivyokuwa zamani,

Na kusanyiko lake litaimarishwa kabisa mbele zangu.+

Nitakabiliana na wote wanaomkandamiza.+

21 Mtu wake mashuhuri atatoka kati yake,

Na mtawala wake atatoka kati yake.

Nitamfanya akaribie, naye atanikaribia.”

“La sivyo, ni nani anayeweza kuthubutu kunikaribia?”* asema Yehova.

22 “Nanyi mtakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu.”+

23 Tazameni! Dhoruba ya Yehova ya upepo italipuka kwa ghadhabu,+

Tufani inayofagia ambayo inazunguka ikishuka juu ya kichwa cha waovu.

24 Hasira inayowaka ya Yehova haitapoa

Mpaka atakapotekeleza na kutimiza makusudi ya moyo wake.+

Mtaelewa jambo hilo katika siku za mwisho.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki