Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Uumbaji wa Mungu na sheria yake hutoa ushahidi

        • ‘Mbingu hutangaza utukufu wa Mungu’ (1)

        • Sheria kamilifu ya Mungu hurudisha nguvu (7)

        • “Dhambi nisizojua” (12)

Zaburi 19:1

Marejeo

  • +Zb 8:3, 4; Isa 40:22; Ro 1:20
  • +Zb 150:1; Ufu 4:11

Zaburi 19:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kamba yake ya kupimia imefika.”

Marejeo

  • +Ro 10:18

Zaburi 19:6

Marejeo

  • +Zb 104:19

Zaburi 19:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huirudisha nafsi.”

Marejeo

  • +Zb 119:72
  • +Zb 23:3
  • +Zb 119:111, 129
  • +Met 1:5; 2Ti 3:15

Zaburi 19:8

Marejeo

  • +2Nya 24:9, 10
  • +Met 4:4; 6:23; Mt 6:22

Zaburi 19:9

Marejeo

  • +Kum 10:12; Met 1:7; Mal 3:16
  • +Zb 119:137, 160; Ufu 16:7

Zaburi 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iliyosafishwa.”

Marejeo

  • +Zb 119:127; Met 8:10
  • +Zb 119:103; Met 16:24

Zaburi 19:11

Marejeo

  • +Zb 119:11
  • +Zb 119:165

Zaburi 19:12

Marejeo

  • +1Ko 4:4

Zaburi 19:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhambi nyingi.”

Marejeo

  • +Mwa 20:6; Kum 17:12; 1Sa 15:23; 2Sa 6:7; 2Nya 26:16-18
  • +Zb 119:133
  • +Isa 38:3

Zaburi 19:14

Marejeo

  • +Zb 49:3; 51:15; 143:5; Flp 4:8
  • +Zb 18:2
  • +Ayu 19:25; Isa 43:14

Jumla

Zab. 19:1Zb 8:3, 4; Isa 40:22; Ro 1:20
Zab. 19:1Zb 150:1; Ufu 4:11
Zab. 19:4Ro 10:18
Zab. 19:6Zb 104:19
Zab. 19:7Zb 119:72
Zab. 19:7Zb 23:3
Zab. 19:7Zb 119:111, 129
Zab. 19:7Met 1:5; 2Ti 3:15
Zab. 19:82Nya 24:9, 10
Zab. 19:8Met 4:4; 6:23; Mt 6:22
Zab. 19:9Kum 10:12; Met 1:7; Mal 3:16
Zab. 19:9Zb 119:137, 160; Ufu 16:7
Zab. 19:10Zb 119:127; Met 8:10
Zab. 19:10Zb 119:103; Met 16:24
Zab. 19:11Zb 119:11
Zab. 19:11Zb 119:165
Zab. 19:121Ko 4:4
Zab. 19:13Mwa 20:6; Kum 17:12; 1Sa 15:23; 2Sa 6:7; 2Nya 26:16-18
Zab. 19:13Zb 119:133
Zab. 19:13Isa 38:3
Zab. 19:14Zb 49:3; 51:15; 143:5; Flp 4:8
Zab. 19:14Zb 18:2
Zab. 19:14Ayu 19:25; Isa 43:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 19:1-14

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+

Na anga lililo juu linatangaza kazi ya mikono yake.+

 2 Siku baada ya siku zinabubujisha maneno yake,

Na usiku baada ya usiku zinafunua ujuzi.

 3 Hakuna usemi, wala hakuna maneno;

Sauti zake hazisikiki.

 4 Lakini sauti zake zimefika* katika dunia yote,

Na ujumbe wake umefika mpaka kwenye miisho ya dunia inayokaliwa.+

Amepiga hema mbinguni kwa ajili ya jua;

 5 Ni kama bwana harusi anayetoka katika chumba chake;

Linashangilia kama mwanamume hodari anayekimbia kwenye njia yake.

 6 Linachomoza kutoka mwisho mmoja wa mbingu,

Nalo huzunguka mpaka mwisho mwingine;+

Na hakuna chochote kinachojificha joto lake.

 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni ya uadilifu, huufanya moyo ushangilie;+

Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.+

 9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele.

Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+

10 Zinatamanika kuliko dhahabu,

Kuliko dhahabu nyingi bora,*+

Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.

11 Mtumishi wako ameonywa kupitia hizo;+

Anapozishika anapata thawabu kubwa.+

12 Ni nani anayeweza kutambua makosa?+

Nitangaze kuwa sina hatia ya dhambi nisizojua.

13 Na unizuie mimi mtumishi wako nisitende matendo ya kimbelembele;+

Usiruhusu yanitawale.+

Ndipo nitakapokuwa kamili,+

Na sitakuwa na hatia ya dhambi zilizo wazi.*

14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu

Na yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki