Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yoshua—Yaliyomo

      • Yehova amtia moyo Yoshua (1-9)

        • Soma Sheria kwa sauti ya chini (8)

      • Matayarisho ya kuvuka Yordani (10-18)

Yoshua 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yehoshua,” maana yake “Yehova Ni Wokovu.”

Marejeo

  • +Kum 31:14
  • +Kut 24:13; Hes 11:28

Yoshua 1:2

Marejeo

  • +Kum 34:5
  • +Kum 3:28

Yoshua 1:3

Marejeo

  • +Kum 11:24

Yoshua 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Mediterania.

  • *

    Au “kuelekea machweo ya jua.”

Marejeo

  • +Hes 13:29
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; Hes 34:2, 3; Kum 1:7; Yos 15:1, 4

Yoshua 1:5

Marejeo

  • +Kum 7:24; 11:25
  • +Kut 3:12; Yos 3:7
  • +Kum 31:6

Yoshua 1:6

Marejeo

  • +Kum 31:23
  • +Mwa 12:7; 15:18; 26:3

Yoshua 1:7

Marejeo

  • +Kum 5:32
  • +Kum 29:9; 1Fa 2:3

Yoshua 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukitafakari.”

Marejeo

  • +Kum 6:6; 30:14
  • +Kum 17:18, 19; Zb 1:1, 2; 1Ti 4:15; Yak 1:25
  • +1Nya 22:13

Yoshua 1:9

Marejeo

  • +Kut 23:27; Kum 31:7, 8

Yoshua 1:11

Marejeo

  • +Kum 9:1; Yos 3:2, 3

Yoshua 1:13

Marejeo

  • +Hes 32:20-22; Yos 22:1-4

Yoshua 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, upande wa mashariki.

Marejeo

  • +Kum 3:19, 20; 29:8; Yos 13:8
  • +Hes 1:3; 26:2
  • +Kum 3:18

Yoshua 1:15

Marejeo

  • +Hes 32:33; Yos 22:4, 9

Yoshua 1:16

Marejeo

  • +Hes 32:17, 25

Yoshua 1:17

Marejeo

  • +Hes 27:18, 20; Kum 34:9

Yoshua 1:18

Marejeo

  • +Kum 17:12
  • +Kum 31:7; Yos 1:6, 9

Jumla

Yos. 1:1Kum 31:14
Yos. 1:1Kut 24:13; Hes 11:28
Yos. 1:2Kum 34:5
Yos. 1:2Kum 3:28
Yos. 1:3Kum 11:24
Yos. 1:4Hes 13:29
Yos. 1:4Mwa 15:18; Kut 23:31; Hes 34:2, 3; Kum 1:7; Yos 15:1, 4
Yos. 1:5Kum 7:24; 11:25
Yos. 1:5Kut 3:12; Yos 3:7
Yos. 1:5Kum 31:6
Yos. 1:6Kum 31:23
Yos. 1:6Mwa 12:7; 15:18; 26:3
Yos. 1:7Kum 5:32
Yos. 1:7Kum 29:9; 1Fa 2:3
Yos. 1:8Kum 6:6; 30:14
Yos. 1:8Kum 17:18, 19; Zb 1:1, 2; 1Ti 4:15; Yak 1:25
Yos. 1:81Nya 22:13
Yos. 1:9Kut 23:27; Kum 31:7, 8
Yos. 1:11Kum 9:1; Yos 3:2, 3
Yos. 1:13Hes 32:20-22; Yos 22:1-4
Yos. 1:14Kum 3:19, 20; 29:8; Yos 13:8
Yos. 1:14Hes 1:3; 26:2
Yos. 1:14Kum 3:18
Yos. 1:15Hes 32:33; Yos 22:4, 9
Yos. 1:16Hes 32:17, 25
Yos. 1:17Hes 27:18, 20; Kum 34:9
Yos. 1:18Kum 17:12
Yos. 1:18Kum 31:7; Yos 1:6, 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yoshua 1:1-18

Yoshua

1 Baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua*+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa: 2 “Musa mtumishi wangu amekufa.+ Sasa jitayarishe, vuka Mto Yordani pamoja na watu hawa wote, mwingie katika nchi ambayo ninawapa Waisraeli.+ 3 Nitawapa kila mahali mtakapokanyaga, kama nilivyomwahidi Musa.+ 4 Eneo lenu litaanzia nyikani mpaka kwenye Mlima Lebanoni hadi ule mto mkubwa, Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ mpaka kwenye Bahari Kuu,* upande wa magharibi.*+ 5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+ 6 Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia mababu zao kwamba nitawapa.+

7 “Ila tu uwe jasiri na imara kabisa, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote kama Musa mtumishi wangu alivyokuamuru. Usiende kushoto wala kulia,+ ili utende kwa hekima mahali popote utakapoenda.+ 8 Kitabu hiki cha Sheria kisiondoke kinywani mwako,+ ni lazima ukisome kwa sauti ya chini* mchana na usiku ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yaliyoandikwa humo;+ ndipo utakapofanikisha njia yako na kutenda kwa hekima.+ 9 Je, si mimi niliyekuamuru uwe jasiri na imara? Basi uwe jasiri na imara. Usitetemeke wala kuogopa, kwa maana mimi Yehova Mungu wako nipo pamoja nawe mahali popote utakapoenda.”+

10 Ndipo Yoshua akawaamuru viongozi wa watu akisema, 11 “Piteni katika kambi yote na kuwaamuru watu hivi: ‘Tayarisheni vyakula, kwa sababu baada ya siku tatu mtavuka Mto Yordani ili kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa.’”+

12 Kisha Yoshua akawaambia hivi watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase: 13 “Kumbukeni amri ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa aliposema,+ ‘Yehova Mungu wenu anawapumzisha, naye amewapa nchi hii. 14 Wake zenu, watoto wenu, na wanyama wenu wa kufugwa watakaa katika nchi ambayo Musa amewapa upande huu* wa Yordani,+ lakini ninyi nyote mashujaa hodari+ mnapaswa kuvuka na kuwatangulia ndugu zenu mkiwa mmejipanga kivita.+ Mnapaswa kuwasaidia 15 mpaka Yehova atakapowapa ndugu zenu mahali pa kupumzika, kama alivyowapa ninyi, nao pia wamiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa. Kisha rudini na kuimiliki nchi yenu ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa upande wa mashariki wa Yordani.’”+

16 Wakamwambia Yoshua: “Tutafanya yote ambayo umetuamuru, na tutaenda mahali popote unapotaka twende.+ 17 Kama tulivyomtii Musa katika mambo yote, ndivyo tutakavyokutii. Yehova Mungu wako na awe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na Musa.+ 18 Mtu yeyote atakayeasi agizo lako na asiyetii amri yoyote utakayotoa atauawa.+ Lakini uwe jasiri na imara.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki