Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mfalme na kuhani kama Melkizedeki

        • ‘Tawala kati ya maadui wako’ (2)

        • Vijana wanaojitoa kwa hiari ni kama matone ya umande (3)

Zaburi 110:1

Marejeo

  • +Ro 8:34; Efe 1:20; Ebr 8:1; 12:2
  • +Mt 22:43, 44; Mk 12:36; Lu 20:42, 43; Mdo 2:34, 35; 1Ko 15:25; Ebr 1:3, 13; 10:12, 13

Zaburi 110:2

Marejeo

  • +Zb 2:8, 9; 45:4, 5; Mt 28:18; Ufu 6:2; 12:5; 19:11, 15

Zaburi 110:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “siku ambayo jeshi lako litakusanyika.”

Zaburi 110:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hataghairi.”

Marejeo

  • +Ebr 7:21, 28
  • +Mwa 14:18; Ebr 5:5, 6; 6:19, 20; 7:3, 11

Zaburi 110:5

Marejeo

  • +Zb 16:8
  • +Zb 2:2; Ro 2:5; Ufu 11:18; 19:19

Zaburi 110:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miongoni mwa.”

  • *

    Tnn., “Ataponda kichwa cha.”

  • *

    Au “dunia nzima.”

Marejeo

  • +Zb 79:6
  • +Yer 25:31-33

Zaburi 110:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Anayerejelewa ni “Bwana wangu” anayetajwa katika mstari wa 1.

Jumla

Zab. 110:1Ro 8:34; Efe 1:20; Ebr 8:1; 12:2
Zab. 110:1Mt 22:43, 44; Mk 12:36; Lu 20:42, 43; Mdo 2:34, 35; 1Ko 15:25; Ebr 1:3, 13; 10:12, 13
Zab. 110:2Zb 2:8, 9; 45:4, 5; Mt 28:18; Ufu 6:2; 12:5; 19:11, 15
Zab. 110:4Ebr 7:21, 28
Zab. 110:4Mwa 14:18; Ebr 5:5, 6; 6:19, 20; 7:3, 11
Zab. 110:5Zb 16:8
Zab. 110:5Zb 2:2; Ro 2:5; Ufu 11:18; 19:19
Zab. 110:6Zb 79:6
Zab. 110:6Yer 25:31-33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 110:1-7

Zaburi

Muziki wa Daudi.

110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu:

“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

 2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema:

“Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+

 3 Watu wako watajitoa kwa hiari katika siku ya jeshi lako.*

Katika utakatifu wenye fahari, kutoka katika tumbo la uzazi la mapambazuko,

Una kundi lako la vijana kama matone ya umande.

 4 Yehova ameapa naye hatabadili nia yake:*

“Wewe ni kuhani milele+

Kwa mfano wa Melkizedeki!”+

 5 Yehova atakuwa kwenye mkono wako wa kulia;+

Atawaponda wafalme katika siku ya hasira yake.+

 6 Atatekeleza hukumu dhidi ya* mataifa;+

Atajaza maiti nchini.+

Atamponda kiongozi wa* nchi kubwa sana.*

 7 Atakunywa* maji ya kijito kilicho kando ya barabara.

Kwa hiyo, atakiinua juu kichwa chake.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki