Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 13:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rekebisho.”

Marejeo

  • +Ebr 12:7, 9
  • +1Sa 2:22-25; Met 9:7

Methali 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinywa chake.”

  • *

    Au “Lakini nafsi hasa.”

Marejeo

  • +Met 12:14; 18:20

Methali 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anailinda nafsi yake.”

Marejeo

  • +Zb 39:1; 141:3; Met 21:23
  • +Met 10:19; Mt 12:36

Methali 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atanenepeshwa.”

Marejeo

  • +Met 26:13-15
  • +Met 10:4; 12:24

Methali 13:5

Marejeo

  • +Zb 119:163; Met 8:13; Efe 4:25

Methali 13:6

Marejeo

  • +Zb 25:21

Methali 13:7

Marejeo

  • +Met 12:9

Methali 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawasikii kemeo lolote.”

Marejeo

  • +Yer 41:8
  • +Yer 39:10

Methali 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hushangilia.”

Marejeo

  • +Zb 97:11
  • +Met 24:20

Methali 13:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoshauriana.”

Marejeo

  • +Amu 8:1
  • +Met 11:2; 24:6; Mdo 15:5, 6

Methali 13:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mali inayotokana na ubatili.”

  • *

    Tnn., “anayekusanya kwa mkono.”

Marejeo

  • +Met 28:8; Yer 17:11

Methali 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tumaini lililoahirishwa.”

Marejeo

  • +Zb 143:7
  • +Mwa 21:5-7; Lu 2:29, 30

Methali 13:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neno.”

Marejeo

  • +2Nya 36:15, 16
  • +Zb 19:8, 11; Met 13:18

Methali 13:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheria.”

Marejeo

  • +Met 24:14

Methali 13:16

Marejeo

  • +Met 14:15
  • +1Sa 25:25

Methali 13:17

Marejeo

  • +2Sa 4:9, 10
  • +Met 25:25

Methali 13:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “karipio.”

Marejeo

  • +Zb 141:5; Met 15:32; Ebr 12:11

Methali 13:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi.”

Marejeo

  • +1Fa 1:47, 48
  • +Amo 5:10

Methali 13:20

Marejeo

  • +Mdo 4:13
  • +Mwa 34:1, 2

Methali 13:21

Marejeo

  • +Kum 28:20
  • +Ro 2:9, 10

Methali 13:22

Marejeo

  • +Kum 6:10, 11

Methali 13:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anaweza.”

Methali 13:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “asiyetoa nidhamu; adhabu.”

  • *

    Au labda, “bila kukawia.”

Marejeo

  • +1Sa 3:12, 13; 1Fa 1:5, 6; Met 29:15
  • +Kum 6:6, 7; Met 19:18; 22:15; Efe 6:4; Ebr 12:6

Methali 13:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi.”

Marejeo

  • +Zb 34:10; 37:25
  • +Isa 65:13

Jumla

Met. 13:1Ebr 12:7, 9
Met. 13:11Sa 2:22-25; Met 9:7
Met. 13:2Met 12:14; 18:20
Met. 13:3Zb 39:1; 141:3; Met 21:23
Met. 13:3Met 10:19; Mt 12:36
Met. 13:4Met 26:13-15
Met. 13:4Met 10:4; 12:24
Met. 13:5Zb 119:163; Met 8:13; Efe 4:25
Met. 13:6Zb 25:21
Met. 13:7Met 12:9
Met. 13:8Yer 41:8
Met. 13:8Yer 39:10
Met. 13:9Zb 97:11
Met. 13:9Met 24:20
Met. 13:10Amu 8:1
Met. 13:10Met 11:2; 24:6; Mdo 15:5, 6
Met. 13:11Met 28:8; Yer 17:11
Met. 13:12Zb 143:7
Met. 13:12Mwa 21:5-7; Lu 2:29, 30
Met. 13:132Nya 36:15, 16
Met. 13:13Zb 19:8, 11; Met 13:18
Met. 13:14Met 24:14
Met. 13:16Met 14:15
Met. 13:161Sa 25:25
Met. 13:172Sa 4:9, 10
Met. 13:17Met 25:25
Met. 13:18Zb 141:5; Met 15:32; Ebr 12:11
Met. 13:191Fa 1:47, 48
Met. 13:19Amo 5:10
Met. 13:20Mdo 4:13
Met. 13:20Mwa 34:1, 2
Met. 13:21Kum 28:20
Met. 13:21Ro 2:9, 10
Met. 13:22Kum 6:10, 11
Met. 13:241Sa 3:12, 13; 1Fa 1:5, 6; Met 29:15
Met. 13:24Kum 6:6, 7; Met 19:18; 22:15; Efe 6:4; Ebr 12:6
Met. 13:25Zb 34:10; 37:25
Met. 13:25Isa 65:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 13:1-25

Methali

13 Mwana mwenye hekima hukubali nidhamu ya baba yake,+

Lakini mwenye dhihaka hasikilizi kemeo.*+

 2 Mtu atakula mema kwa sababu ya matunda ya maneno yake,*+

Lakini tamaa hasa* ya wenye hila ni ukatili.

 3 Anayelinda kinywa chake anaulinda uhai wake,*+

Lakini anayefungua wazi midomo yake ataangamia.+

 4 Kuna vitu anavyotamani sana mtu mvivu, ingawa hana chochote,+

Lakini mwenye bidii atatoshelezwa kikamili.*+

 5 Mwadilifu huchukia uwongo,+

Lakini matendo ya waovu huleta aibu na fedheha.

 6 Uadilifu humlinda mtu ambaye njia yake haina hatia,+

Lakini uovu humshusha mtenda dhambi.

 7 Kuna mtu anayejifanya tajiri ingawa hana chochote;+

Kuna mtu anayejifanya maskini ingawa ana mali nyingi.

 8 Utajiri ni fidia ya uhai wa mtu,+

Lakini maskini hata hawatishwi.*+

 9 Nuru ya waadilifu hung’aa kwa uangavu,*+

Lakini taa ya waovu itazimwa.+

10 Kimbelembele husababisha mzozo tu,+

Lakini hekima ni ya wale wanaotafuta ushauri.*+

11 Mali inayopatikana haraka* itapungua,+

Lakini mali ya yule anayeikusanya kidogo kidogo* itaongezeka.

12 Matarajio yaliyoahirishwa* hufanya moyo uwe mgonjwa,+

Lakini tamaa inayotoshelezwa ni mti wa uzima.+

13 Yeyote anayedharau mafundisho* atalipia adhabu yake,+

Lakini anayeheshimu amri atathawabishwa.+

14 Mafundisho* ya mwenye hekima ni chemchemi ya uzima+

Humwepusha mtu na mitego ya kifo.

15 Ufahamu ulio makini huleta kibali,

Lakini njia ya wenye hila ni ngumu sana.

16 Mtu mwerevu hutenda kwa ujuzi,+

Lakini mjinga hufunua ujinga wake mwenyewe.+

17 Mjumbe mwovu huanguka taabani,+

Lakini mjumbe mwaminifu huleta maponyo.+

18 Yeyote anayepuuza nidhamu huwa maskini na kupata aibu,

Lakini anayekubali kurekebishwa* atatukuzwa.+

19 Tamaa inapotoshelezwa ni tamu kwa mtu,*+

Lakini wapumbavu huchukia kuacha uovu.+

20 Anayetembea na wenye hekima atakuwa na hekima,+

Lakini anayeshirikiana na wapumbavu ataumia.+

21 Msiba huwafuatia watenda dhambi,+

Lakini ufanisi huwathawabisha waadilifu.+

22 Mtu mwema huwaachia urithi wajukuu wake,

Lakini mali ya mtenda dhambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+

23 Shamba la maskini lililolimwa huzaa chakula kingi,

Lakini linaweza* kufagiliwa mbali na ukosefu wa haki.

24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+

Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+

25 Mwadilifu hula na kutosheleza hamu* yake,+

Lakini tumbo la waovu liko tupu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki