Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

      • Mkaribie Mungu kwa woga unaofaa (1-7)

      • Walio chini hutazamwa na walio juu zaidi (8, 9)

      • Ubatili wa utajiri (10-20)

        • Wanaopenda pesa hawatosheki kamwe (10)

        • Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu (12)

Mhubiri 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Chunga hatua zako.”

Marejeo

  • +Zb 15:1, 2
  • +Kum 31:12; Mdo 17:11
  • +1Sa 13:12, 13; 15:22; Met 21:27; Isa 1:13; Ho. 6:6

Mhubiri 5:2

Marejeo

  • +Hes 30:2; 1Sa 14:24
  • +Met 10:19

Mhubiri 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahangaiko mengi sana.”

Marejeo

  • +Mt 6:25, 34; Lu 12:18-20
  • +Met 10:19; 15:2

Mhubiri 5:4

Marejeo

  • +Kum 23:21; Zb 76:11; Mt 5:33
  • +Mhu 10:12
  • +Hes 30:2; Zb 66:13

Mhubiri 5:5

Marejeo

  • +Kum 23:22; Met 20:25

Mhubiri 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwili wako ukufanye.”

  • *

    Au “mjumbe.”

Marejeo

  • +Amu 11:35
  • +Law 5:4
  • +Zb 127:1; Hag 1:11

Mhubiri 5:7

Marejeo

  • +Mhu 5:3
  • +Mhu 12:13

Mhubiri 5:8

Marejeo

  • +Mhu 3:16

Mhubiri 5:9

Marejeo

  • +1Sa 8:11, 12; 1Fa 4:7; 2Nya 26:9, 10; Wim 8:11

Mhubiri 5:10

Marejeo

  • +Mhu 4:8
  • +Mt 6:24; Lu 12:15; 1Ti 6:10

Mhubiri 5:11

Marejeo

  • +1Fa 4:22, 23
  • +Met 23:4, 5; 1Yo 2:16

Mhubiri 5:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “janga kubwa ambalo.”

Mhubiri 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kazi ya msiba.”

Marejeo

  • +Met 23:4, 5; Mt 6:19

Mhubiri 5:15

Marejeo

  • +Ayu 1:21
  • +Zb 49:17; Lu 12:20; 1Ti 6:7

Mhubiri 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hili pia ni janga kubwa.”

Marejeo

  • +Mt 16:26; Yoh 6:27

Mhubiri 5:17

Marejeo

  • +1Ti 6:10

Mhubiri 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hilo ndilo fungu lake.”

Marejeo

  • +1Fa 4:20
  • +Mhu 2:24; 3:22; Isa 65:21, 22

Mhubiri 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “fungu lake.”

Marejeo

  • +1Fa 3:12, 13; Ayu 42:12
  • +Kum 8:10; Mhu 3:12, 13; 1Ti 6:17; Yak 1:17

Mhubiri 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hatakumbuka.”

Marejeo

  • +Kum 28:8; Zb 4:7

Jumla

Mhu. 5:1Zb 15:1, 2
Mhu. 5:1Kum 31:12; Mdo 17:11
Mhu. 5:11Sa 13:12, 13; 15:22; Met 21:27; Isa 1:13; Ho. 6:6
Mhu. 5:2Hes 30:2; 1Sa 14:24
Mhu. 5:2Met 10:19
Mhu. 5:3Mt 6:25, 34; Lu 12:18-20
Mhu. 5:3Met 10:19; 15:2
Mhu. 5:4Hes 30:2; Zb 66:13
Mhu. 5:4Kum 23:21; Zb 76:11; Mt 5:33
Mhu. 5:4Mhu 10:12
Mhu. 5:5Kum 23:22; Met 20:25
Mhu. 5:6Amu 11:35
Mhu. 5:6Law 5:4
Mhu. 5:6Zb 127:1; Hag 1:11
Mhu. 5:7Mhu 5:3
Mhu. 5:7Mhu 12:13
Mhu. 5:8Mhu 3:16
Mhu. 5:91Sa 8:11, 12; 1Fa 4:7; 2Nya 26:9, 10; Wim 8:11
Mhu. 5:10Mhu 4:8
Mhu. 5:10Mt 6:24; Lu 12:15; 1Ti 6:10
Mhu. 5:111Fa 4:22, 23
Mhu. 5:11Met 23:4, 5; 1Yo 2:16
Mhu. 5:14Met 23:4, 5; Mt 6:19
Mhu. 5:15Ayu 1:21
Mhu. 5:15Zb 49:17; Lu 12:20; 1Ti 6:7
Mhu. 5:16Mt 16:26; Yoh 6:27
Mhu. 5:171Ti 6:10
Mhu. 5:181Fa 4:20
Mhu. 5:18Mhu 2:24; 3:22; Isa 65:21, 22
Mhu. 5:191Fa 3:12, 13; Ayu 42:12
Mhu. 5:19Kum 8:10; Mhu 3:12, 13; 1Ti 6:17; Yak 1:17
Mhu. 5:20Kum 28:8; Zb 4:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 5:1-20

Mhubiri

5 Uwe mwangalifu* wakati wowote unapoenda katika nyumba ya Mungu wa kweli;+ ni afadhali ukaribie ili kusikiliza+ badala ya kutoa dhabihu kama wanavyofanya wapumbavu,+ kwa maana hawajui kwamba jambo wanalofanya ni baya.

2 Usifungue kinywa chako haraka, wala usiruhusu moyo wako uzungumze bila kufikiri mbele za Mungu wa kweli,+ kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+ 3 Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi sana,*+ na mpumbavu huropoka kwa sababu ya kuwa na maneno mengi sana.+ 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+ 5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuweka nadhiri na kukosa kuitimiza.+ 6 Usiruhusu kinywa chako kikufanye* utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika* kwamba nilikosea.+ Kwa nini umkasirishe Mungu wa kweli kwa yale unayosema hivi kwamba alazimike kuiharibu kazi ya mikono yako?+ 7 Kwa maana kama vile shughuli nyingi zinavyomfanya mtu aote ndoto,+ vivyo hivyo, maneno mengi huongoza kwenye ubatili. Lakini mwogope Mungu wa kweli.+

8 Ukiona maskini wakikandamizwa kwa njia yoyote ile na haki na uadilifu zikikiukwa katika wilaya yenu, usishangazwe na jambo hilo.+ Kwa maana ofisa huyo mkuu anatazamwa na yule aliye juu zaidi yake, na kuna wengine walio juu zaidi yao.

9 Pia, faida ya nchi hugawanywa miongoni mwao wote; hata mfalme huhudumiwa kutokana na shamba hilo.+

10 Anayependa fedha hatatosheka na fedha, wala anayependa mali hatatosheka na mapato.+ Hili pia ni ubatili.+

11 Vitu vizuri vinapoongezeka, walaji huongezeka.+ Na mwenye vitu hivyo hupata faida gani, ila kuviangalia tu kwa macho yake?+

12 Usingizi wa mtumishi ni mtamu, iwe anakula kidogo au kingi, lakini wingi alionao tajiri haumruhusu kulala usingizi.

13 Kuna msiba mkubwa ambao* nimeona chini ya jua: utajiri uliorundikwa na mtu na kumdhuru yeye mwenyewe. 14 Utajiri huo ulipotea kwa sababu ya mradi ambao haukufanikiwa,* na anapomzaa mwana, habaki na kitu chochote.+

15 Kama mtu alivyotoka katika tumbo la mama yake akiwa uchi, ndivyo atakavyoenda, kama alivyokuja.+ Naye hawezi kwenda na chochote alichopata kutokana na kazi yake yote ngumu.+

16 Huu pia ni msiba mkubwa:* Kama tu alivyokuja, ndivyo atakavyoenda; na mtu ambaye anafanya kazi kwa bidii daima kwa ajili ya upepo anapata faida gani?+ 17 Pia, yeye hula gizani kila siku, akiwa amekata tamaa kabisa na akiwa mgonjwa na akiwa amekasirika kabisa.+

18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+ 19 Pia, Mungu wa kweli anapompa mtu utajiri na mali+ pamoja na uwezo wa kufurahia vitu hivyo, anapaswa kuchukua thawabu yake* na kushangilia katika kazi yake ngumu. Hiyo ndiyo zawadi kutoka kwa Mungu.+ 20 Kwa maana hataona* kwa urahisi jinsi siku za maisha yake zinavyopita, kwa sababu Mungu wa kweli humshughulisha na shangwe ya moyo wake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki