Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Sayuni aliye tasa atapata wana wengi (1-17)

        • Yehova ni mume wa Sayuni (5)

        • Wana wa Sayuni watafundishwa na Yehova (13)

        • Silaha dhidi ya Sayuni zitashindwa (17)

Isaya 54:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watoto.”

  • *

    Au “bwana mkubwa.”

Marejeo

  • +Isa 62:4
  • +Isa 44:23; 49:13
  • +Isa 66:7, 8
  • +Gal 4:26, 27

Isaya 54:2

Marejeo

  • +Isa 49:20
  • +Isa 33:20

Isaya 54:3

Marejeo

  • +Isa 49:8; Eze 36:35

Isaya 54:4

Marejeo

  • +Isa 41:10
  • +Isa 61:7

Isaya 54:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mtengenezaji.”

  • *

    Au “bwana mkubwa.”

Marejeo

  • +Isa 44:2
  • +Eze 16:8; Ho. 2:16
  • +Isa 44:6
  • +Zek 14:9; Ro 3:29

Isaya 54:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyeumizwa rohoni.”

Marejeo

  • +Isa 49:14; 62:4

Isaya 54:7

Marejeo

  • +Kum 30:1, 3; Zb 30:5; 106:47; Isa 27:12; Yer 29:10

Isaya 54:8

Marejeo

  • +Isa 47:6; Eze 39:23
  • +Isa 55:3
  • +Isa 48:17; 49:26

Isaya 54:9

Marejeo

  • +Mwa 7:23
  • +Mwa 8:21
  • +Yer 31:35, 36; Eze 39:29

Isaya 54:10

Marejeo

  • +Isa 51:6
  • +Isa 55:3
  • +Isa 14:1

Isaya 54:11

Marejeo

  • +Isa 52:2
  • +Omb 1:2, 17
  • +Ufu 21:19

Isaya 54:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mawe ya moto.”

Isaya 54:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watoto.”

  • *

    Au “watoto.”

Marejeo

  • +Yer 31:34; Yoh 6:45
  • +Zb 119:165; Isa 66:12; Yer 33:6

Isaya 54:14

Marejeo

  • +Isa 1:26; 60:21
  • +Isa 52:1
  • +Yer 23:4; Sef 3:13

Isaya 54:15

Marejeo

  • +Eze 38:16, 22; Zek 2:8; 12:3

Isaya 54:16

Marejeo

  • +Isa 10:5

Isaya 54:17

Marejeo

  • +Zb 2:2, 4; Isa 41:12
  • +Yer 23:6

Jumla

Isa. 54:1Isa 62:4
Isa. 54:1Isa 44:23; 49:13
Isa. 54:1Isa 66:7, 8
Isa. 54:1Gal 4:26, 27
Isa. 54:2Isa 49:20
Isa. 54:2Isa 33:20
Isa. 54:3Isa 49:8; Eze 36:35
Isa. 54:4Isa 41:10
Isa. 54:4Isa 61:7
Isa. 54:5Isa 44:2
Isa. 54:5Eze 16:8; Ho. 2:16
Isa. 54:5Isa 44:6
Isa. 54:5Zek 14:9; Ro 3:29
Isa. 54:6Isa 49:14; 62:4
Isa. 54:7Kum 30:1, 3; Zb 30:5; 106:47; Isa 27:12; Yer 29:10
Isa. 54:8Isa 47:6; Eze 39:23
Isa. 54:8Isa 55:3
Isa. 54:8Isa 48:17; 49:26
Isa. 54:9Mwa 7:23
Isa. 54:9Mwa 8:21
Isa. 54:9Yer 31:35, 36; Eze 39:29
Isa. 54:10Isa 51:6
Isa. 54:10Isa 55:3
Isa. 54:10Isa 14:1
Isa. 54:11Isa 52:2
Isa. 54:11Omb 1:2, 17
Isa. 54:11Ufu 21:19
Isa. 54:13Yer 31:34; Yoh 6:45
Isa. 54:13Zb 119:165; Isa 66:12; Yer 33:6
Isa. 54:14Isa 1:26; 60:21
Isa. 54:14Isa 52:1
Isa. 54:14Yer 23:4; Sef 3:13
Isa. 54:15Eze 38:16, 22; Zek 2:8; 12:3
Isa. 54:16Isa 10:5
Isa. 54:17Zb 2:2, 4; Isa 41:12
Isa. 54:17Yer 23:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 54:1-17

Isaya

54 “Piga vigelegele kwa shangwe, wewe mwanamke tasa ambaye hujazaa!+

Changamka na upaze sauti kwa shangwe,+ wewe ambaye hukuwahi kupata uchungu wa kuzaa,+

Kwa maana wana* wa aliye ukiwa ni wengi

Kuliko wana wa mwanamke aliye na mume,”*+ asema Yehova.

 2 “Pafanye mahali pa hema lako pawe na nafasi kubwa zaidi.+

Vitandaze vitambaa vya hema lako tukufu la ibada.

Usizuie, refusha kamba za hema lako,

Na uviimarishe vigingi vya hema lako.+

 3 Kwa maana utaenea kulia na kushoto.

Uzao wako utayamiliki mataifa,

Nao watakaa katika majiji yaliyoachwa ukiwa.+

 4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa;+

Usifedheheke, kwa maana hutakatishwa tamaa.

Kwa maana utaisahau aibu ya ujana wako,

Nawe hutaikumbuka tena fedheha ya ujane wako.”

 5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+

Yehova wa majeshi ndilo jina lake,

Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+

Ataitwa Mungu wa dunia yote.+

 6 Kwa maana Yehova alikuita kana kwamba wewe ni mke aliyeachwa na aliye na huzuni,*+

Kama mke aliyeolewa wakati wa ujana kisha akakataliwa,” asema Mungu wako.

 7 “Kwa maana nilikuacha kwa muda mfupi,

Lakini nitakukusanya tena kwa rehema nyingi.+

 8 Kwa furiko la hasira niliuficha uso wangu kutoka kwako kwa muda mfupi,+

Lakini nitakuonyesha rehema kwa upendo mshikamanifu wa milele,”+ asema Mkombozi+ wako, Yehova.

 9 “Jambo hili kwangu ni kama siku za Noa.+

Kama nilivyoapa kwamba maji ya Noa hayataifunika tena dunia,+

Ndivyo ninavyoapa kwamba sitawaka hasira tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+

10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa

Na huenda vilima vikatikiswa,

Lakini upendo wangu mshikamanifu hautaondolewa kwako,+

Wala agano langu la amani halitatikiswa,”+ asema Yehova, Yule anayekuonyesha rehema.+

11 “Ee mwanamke uliyeteseka,+ uliyerushwa na dhoruba, ambaye hajafarijiwa,+

Ninayaweka mawe yako kwa saruji ngumu

Na msingi wako kwa yakuti.+

12 Nitatengeneza minara yako kwa zabarijadi,

Na malango yako kwa mawe yanayong’aa,*

Na mipaka yako yote kwa mawe yenye thamani.

13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+

Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+

14 Utaimarishwa kabisa katika uadilifu.+

Utakuwa mbali sana na ukandamizaji,+

Hutaogopa chochote na hutakuwa na sababu yoyote ya kuhofu,

Kwa maana haitakukaribia.+

15 Mtu yeyote akikushambulia,

Haitakuwa kwa maagizo yangu.

Yeyote anayekushambulia ataanguka kwa sababu yako.”+

16 “Tazama! Mimi mwenyewe nilimuumba fundi,

Anayefukuta moto wa makaa,

Naye hutengeneza silaha kwa kazi yake.

Mimi mwenyewe pia nilimuumba yule mtu mharibifu ili alete uharibifu.+

17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+

Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu.

Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,

Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki