Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 136
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Upendo mshikamanifu wa Yehova hudumu milele

        • Mbingu na dunia ziliumbwa kwa ustadi (5, 6)

        • Farao alikufa katika Bahari Nyekundu (15)

        • Mungu huwakumbuka walioshuka moyo (23)

        • Huwapa chakula viumbe wote walio hai (25)

Zaburi 136:1

Marejeo

  • +Lu 18:19
  • +2Nya 7:3; 20:21; Zb 106:1; 107:1

Zaburi 136:2

Marejeo

  • +Zb 97:9; Da 2:47

Zaburi 136:4

Marejeo

  • +Kut 15:11; Ufu 15:3
  • +Zb 103:17

Zaburi 136:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa uelewaji.”

Marejeo

  • +Ayu 38:36; Met 3:19, 20

Zaburi 136:6

Marejeo

  • +Mwa 1:9; Zb 24:1, 2

Zaburi 136:7

Marejeo

  • +Mwa 1:14

Zaburi 136:8

Marejeo

  • +Mwa 1:16; Yer 31:35

Zaburi 136:9

Marejeo

  • +Zb 8:3

Zaburi 136:10

Marejeo

  • +Kut 12:29

Zaburi 136:11

Marejeo

  • +Kut 12:51

Zaburi 136:12

Marejeo

  • +Kut 13:14

Zaburi 136:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “sehemu sehemu.”

Marejeo

  • +Kut 14:21

Zaburi 136:14

Marejeo

  • +Kut 14:29

Zaburi 136:15

Marejeo

  • +Kut 14:27, 28

Zaburi 136:16

Marejeo

  • +Kut 13:18; 15:22

Zaburi 136:17

Marejeo

  • +Yos 12:7, 8

Zaburi 136:19

Marejeo

  • +Hes 21:21-24

Zaburi 136:20

Marejeo

  • +Hes 21:33-35

Zaburi 136:21

Marejeo

  • +Hes 32:33

Zaburi 136:23

Marejeo

  • +Kum 32:36
  • +Ne 9:32

Zaburi 136:24

Marejeo

  • +Amu 3:9; 6:9

Zaburi 136:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Huipa chakula miili yote.”

Marejeo

  • +Zb 145:15; 147:9

Jumla

Zab. 136:1Lu 18:19
Zab. 136:12Nya 7:3; 20:21; Zb 106:1; 107:1
Zab. 136:2Zb 97:9; Da 2:47
Zab. 136:4Kut 15:11; Ufu 15:3
Zab. 136:4Zb 103:17
Zab. 136:5Ayu 38:36; Met 3:19, 20
Zab. 136:6Mwa 1:9; Zb 24:1, 2
Zab. 136:7Mwa 1:14
Zab. 136:8Mwa 1:16; Yer 31:35
Zab. 136:9Zb 8:3
Zab. 136:10Kut 12:29
Zab. 136:11Kut 12:51
Zab. 136:12Kut 13:14
Zab. 136:13Kut 14:21
Zab. 136:14Kut 14:29
Zab. 136:15Kut 14:27, 28
Zab. 136:16Kut 13:18; 15:22
Zab. 136:17Yos 12:7, 8
Zab. 136:19Hes 21:21-24
Zab. 136:20Hes 21:33-35
Zab. 136:21Hes 32:33
Zab. 136:23Kum 32:36
Zab. 136:23Ne 9:32
Zab. 136:24Amu 3:9; 6:9
Zab. 136:25Zb 145:15; 147:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 136:1-26

Zaburi

136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema;+

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

 2 Mshukuruni Mungu wa miungu,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

 3 Mshukuruni Bwana wa mabwana,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

 4 Yeye peke yake ndiye anayetenda mambo makuu yanayostaajabisha,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

 5 Aliziumba mbingu kwa ustadi,*+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

 6 Aliitandaza dunia juu ya maji,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

 7 Aliiumba ile mianga mikubwa,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

 8 Jua litawale mchana,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

 9 Mwezi na nyota zitawale usiku,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

10 Aliwaua wazaliwa wa kwanza wa Misri,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

11 Aliwatoa Waisraeli kutoka kati yao,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

12 Kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

13 Aliigawa Bahari Nyekundu sehemu mbili,*+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

14 Aliwavusha Waisraeli katikati yake,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

16 Aliwaongoza watu wake kupitia nyikani,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

17 Aliwaua wafalme wakuu,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

18 Aliwaua wafalme hodari,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

19 Sihoni+ mfalme wa Waamori,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

20 Na Ogu+ mfalme wa Bashani,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

21 Aliitoa nchi yao kuwa urithi,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

22 Urithi kwa Israeli mtumishi wake,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

23 Alitukumbuka tulipokuwa wanyonge,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

24 Alituokoa tena na tena kutoka kwa maadui wetu,+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

25 Huwapa chakula viumbe wote walio hai,*+

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni,

Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki