Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala katika kitanda cha ugonjwa

        • Mungu huwategemeza wagonjwa (3)

        • Asalitiwa na rafiki wa karibu (9)

Zaburi 41:1

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Zb 112:9; Met 14:21; 22:9

Zaburi 41:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hutamtia kamwe katika tamaa ya maadui wake; au katika nafsi ya maadui wake.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 5:7
  • +2Pe 2:9

Zaburi 41:3

Marejeo

  • +2Fa 20:5; Zb 103:3

Zaburi 41:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iponye nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 51:1
  • +Zb 6:2; 147:3
  • +Zb 32:5; 38:3; Met 28:13

Zaburi 41:8

Marejeo

  • +Zb 3:2; 71:10, 11

Zaburi 41:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amenigeuka.”

Marejeo

  • +2Sa 15:12; Ayu 19:19; Zb 55:12, 13
  • +Mk 14:18; Yoh 13:18, 26

Zaburi 41:11

Marejeo

  • +Zb 31:8; Yer 20:13

Zaburi 41:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uwepo wako.”

Marejeo

  • +Zb 25:21; Met 2:7
  • +Zb 34:15

Zaburi 41:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Milele na milele.”

Marejeo

  • +1Nya 16:36; 29:10

Jumla

Zab. 41:1Kum 15:7, 8; Zb 112:9; Met 14:21; 22:9
Zab. 41:2Mt 5:7
Zab. 41:22Pe 2:9
Zab. 41:32Fa 20:5; Zb 103:3
Zab. 41:4Zb 51:1
Zab. 41:4Zb 6:2; 147:3
Zab. 41:4Zb 32:5; 38:3; Met 28:13
Zab. 41:8Zb 3:2; 71:10, 11
Zab. 41:92Sa 15:12; Ayu 19:19; Zb 55:12, 13
Zab. 41:9Mk 14:18; Yoh 13:18, 26
Zab. 41:11Zb 31:8; Yer 20:13
Zab. 41:12Zb 25:21; Met 2:7
Zab. 41:12Zb 34:15
Zab. 41:131Nya 16:36; 29:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 41:1-13

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+

Yehova atamwokoa siku ya msiba.

 2 Yehova atamlinda na kumhifadhi hai.

Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+

Hutamtia kamwe mikononi mwa maadui wake ili wamtendee wapendavyo.*+

 3 Yehova atamtegemeza kwenye kitanda chake cha ugonjwa;+

Wakati huo wa ugonjwa utakibadili kabisa kitanda chake.

 4 Kwa maana nilisema: “Ee Yehova, nionyeshe kibali.+

Niponye,*+ kwa maana nimekutendea dhambi.”+

 5 Lakini maadui wangu wanasema mambo maovu kunihusu:

“Atakufa lini jina lake litoweke?”

 6 Mmoja wao akija kuniona, moyo wake husema uwongo.

Hukusanya mambo yenye kudhuru ya kusema;

Kisha hutoka nje na kuyaeneza kotekote.

 7 Wote wanaonichukia wananong’onezana;

Wanapanga njama ya uovu dhidi yangu:

 8 “Amepatwa na jambo linaloogopesha;

Sasa kwa kuwa yuko chini, hatainuka tena.”+

 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+

Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+

10 Lakini wewe, Ee Yehova, nionyeshe kibali na kuniinua,

Ili niwalipize.

11 Kwa njia hii nitajua kwamba unapendezwa nami:

Adui yangu asipoweza kupaza sauti kwa ushindi dhidi yangu.+

12 Lakini mimi, unanitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu;+

Utaniweka mbele zako* milele.+

13 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiwe

Kwa umilele wote.*+

Amina na Amina.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki