Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yoshua—Yaliyomo

      • Waisraeli watahiriwa kule Gilgali (1-9)

      • Sherehe ya Pasaka; mwisho wa mana (10-12)

      • Mkuu wa jeshi la Yehova (13-15)

Yoshua 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “upande unaoelekea baharini.”

  • *

    Tnn., “mioyo yao ikayeyuka.”

Marejeo

  • +Mwa 10:15, 16
  • +Hes 13:29
  • +Kut 15:15; Yos 2:24
  • +Yos 2:9-11

Yoshua 5:2

Marejeo

  • +Mwa 17:9-11

Yoshua 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Kilima cha Magovi.”

Marejeo

  • +Yos 5:8, 9

Yoshua 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaume wote wenye umri wa kwenda vitani.”

Marejeo

  • +Hes 14:29; 26:65; Kum 2:14

Yoshua 5:6

Marejeo

  • +Hes 14:33; Kum 1:3
  • +Hes 14:22, 23
  • +Kum 1:35
  • +Mwa 13:14, 15; Kut 33:1
  • +Kut 3:8; Hes 13:26, 27; Eze 20:6

Yoshua 5:7

Marejeo

  • +Hes 14:31

Yoshua 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Kuondoa; Kuondolea Mbali.”

Marejeo

  • +Yos 4:19; 5:3

Yoshua 5:10

Marejeo

  • +Kut 12:24, 25; Hes 9:5

Yoshua 5:11

Marejeo

  • +Kut 12:18

Yoshua 5:12

Marejeo

  • +Kut 16:35
  • +Kum 6:10-12; 8:10

Yoshua 5:13

Marejeo

  • +Mwa 18:2; Amu 13:6; Mdo 1:10
  • +Kut 23:23; Hes 22:23; 1Nya 21:16

Yoshua 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kiongozi.”

Marejeo

  • +Kut 23:20; 1Fa 22:19; Da 10:13

Yoshua 5:15

Marejeo

  • +Kut 3:4, 5

Jumla

Yos. 5:1Mwa 10:15, 16
Yos. 5:1Hes 13:29
Yos. 5:1Kut 15:15; Yos 2:24
Yos. 5:1Yos 2:9-11
Yos. 5:2Mwa 17:9-11
Yos. 5:3Yos 5:8, 9
Yos. 5:4Hes 14:29; 26:65; Kum 2:14
Yos. 5:6Hes 14:33; Kum 1:3
Yos. 5:6Hes 14:22, 23
Yos. 5:6Kum 1:35
Yos. 5:6Mwa 13:14, 15; Kut 33:1
Yos. 5:6Kut 3:8; Hes 13:26, 27; Eze 20:6
Yos. 5:7Hes 14:31
Yos. 5:9Yos 4:19; 5:3
Yos. 5:10Kut 12:24, 25; Hes 9:5
Yos. 5:11Kut 12:18
Yos. 5:12Kut 16:35
Yos. 5:12Kum 6:10-12; 8:10
Yos. 5:13Mwa 18:2; Amu 13:6; Mdo 1:10
Yos. 5:13Kut 23:23; Hes 22:23; 1Nya 21:16
Yos. 5:14Kut 23:20; 1Fa 22:19; Da 10:13
Yos. 5:15Kut 3:4, 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yoshua 5:1-15

Yoshua

5 Mara tu wafalme wote wa Waamori+ waliokuwa upande wa magharibi* wa Yordani na wafalme wote wa Wakanaani+ waliokuwa karibu na bahari waliposikia kwamba Yehova alikausha maji ya Yordani mpaka Waisraeli walipovuka, wakafa moyo*+ na hawakuwa na ujasiri wowote kwa sababu ya Waisraeli.+

2 Wakati huo Yehova akamwambia hivi Yoshua: “Tengeneza visu vya jiwe gumu na uwatahiri+ wanaume Waisraeli tena, mara ya pili.” 3 Basi Yoshua akatengeneza visu vya jiwe gumu na kuwatahiri wanaume Waisraeli kule Gibeath-haaralothi.*+ 4 Yoshua aliwatahiri kwa sababu wanaume wote waliotoka Misri, yaani, wanaume wote wa kwenda vitani,* walikufa nyikani walipotoka Misri.+ 5 Kwa maana watu wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, lakini watu wote waliozaliwa nyikani wakiwa safarini kutoka Misri hawakuwa wametahiriwa. 6 Waisraeli walitembea miaka 40+ nyikani mpaka taifa lote lilipokufa, yaani, wanaume wote wa kwenda vitani waliotoka Misri ambao hawakutii sauti ya Yehova.+ Yehova aliwaapia kwamba hatawaruhusu kamwe waione nchi+ ambayo Yehova alikuwa amewaapia mababu zao kwamba atatupatia,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+ 7 Kwa hiyo, akawainua wana wao badala yao.+ Yoshua akawatahiri wana hao kwa sababu hawakuwa wametahiriwa safarini.

8 Walipomaliza kutahiri taifa lote, wakaendelea kukaa kambini mpaka walipopona.

9 Kisha Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nimewaondolea aibu ya Misri.” Basi tangu wakati huo mahali hapo panaitwa Gilgali.*+

10 Waisraeli wakaendelea kupiga kambi Gilgali, nao wakaadhimisha Pasaka siku ya 14 ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika jangwa tambarare la Yeriko. 11 Kesho yake, baada ya Pasaka, siku hiyohiyo wakaanza kula mazao ya nchi, yaani, mikate isiyo na chachu+ na nafaka zilizokaangwa. 12 Mana ilikoma siku iliyofuata, baada ya Waisraeli kula baadhi ya mazao ya nchi; Waisraeli hawakupata mana tena,+ wakaanza kula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.+

13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?” 14 Akamjibu: “Hapana, mimi ni mkuu* wa jeshi la Yehova.”+ Basi Yoshua akaanguka chini kifudifudi, akasujudu, na kumwambia: “Bwana wangu una ujumbe gani kwangu mimi mtumishi wako?” 15 Mkuu wa jeshi la Yehova akamjibu hivi Yoshua: “Vua viatu vyako, kwa sababu mahali unaposimama ni patakatifu.” Yoshua akavua mara moja.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki