Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zekaria—Yaliyomo

      • Yehova aleta amani na ukweli Sayuni (1-23)

        • Yerusalemu, “jiji la ukweli” (3)

        • “Kila mtu amwambie mwenzake ukweli” (16)

        • Siku za kufunga zitakuwa siku za sherehe (18, 19)

        • ‘Twendeni kwa bidii kumtafuta Yehova’ (21)

        • Watu kumi watashika joho la Myahudi (23)

Zekaria 8:2

Marejeo

  • +Yoe 2:18; Zek 1:14

Zekaria 8:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uaminifu.”

Marejeo

  • +Zek 1:16
  • +Isa 12:6; Yoe 3:17; Zek 2:11; 8:8
  • +Isa 1:26; 60:14; Yer 33:16
  • +Isa 2:2; 11:9; 66:20; Yer 31:23

Zekaria 8:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa sababu ya wingi wa siku.”

Marejeo

  • +Isa 65:20; Yer 30:10

Zekaria 8:5

Marejeo

  • +Yer 30:19; 31:4, 27; Zek 2:4

Zekaria 8:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nchi ya mawio ya jua na nchi ya machweo ya jua.”

Marejeo

  • +Zb 107:2, 3

Zekaria 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uaminifu.”

Marejeo

  • +Yer 3:17; Yoe 3:20; Amo 9:14
  • +Law 26:12; Yer 30:22; Eze 11:20

Zekaria 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iweni jasiri.”

Marejeo

  • +Isa 35:4; Hag 2:4
  • +Ezr 5:1

Zekaria 8:10

Marejeo

  • +Hag 1:6

Zekaria 8:11

Marejeo

  • +Hag 2:19

Zekaria 8:12

Marejeo

  • +Law 26:4; Kum 28:4; Isa 30:23
  • +Isa 35:10; 61:7

Zekaria 8:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Iweni jasiri.”

Marejeo

  • +Kum 28:37; Yer 42:18
  • +Mwa 22:18; Isa 19:24, 25
  • +Isa 41:10
  • +Isa 35:4

Zekaria 8:14

Marejeo

  • +Yer 4:28; Eze 24:14

Zekaria 8:15

Marejeo

  • +Yer 31:28; 32:42
  • +Isa 43:1; Sef 3:16

Zekaria 8:16

Marejeo

  • +Law 19:11; Met 12:19; Efe 4:25
  • +Zek 7:9

Zekaria 8:17

Marejeo

  • +Zek 7:10
  • +Zek 5:4
  • +Met 6:16-19

Zekaria 8:19

Marejeo

  • +Yer 52:6, 7
  • +Yer 52:12-14
  • +2Fa 25:25; Zek 7:5
  • +Yer 52:4
  • +Isa 35:10; Yer 31:12

Zekaria 8:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tukautulize uso wa Yehova.”

Marejeo

  • +Yer 50:4, 5

Zekaria 8:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuutuliza uso wa Yehova.”

Marejeo

  • +Zb 22:27; Isa 2:2, 3; 11:10; 55:5; 60:3; Ho. 1:10; Mik 4:2; Hag 2:7

Zekaria 8:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “upindo wa vazi.”

  • *

    Tnn., “mwanamume Myahudi.”

Marejeo

  • +Zek 2:11; Ufu 7:9; 14:6
  • +Kut 12:37, 38
  • +Isa 45:14

Jumla

Zek. 8:2Yoe 2:18; Zek 1:14
Zek. 8:3Zek 1:16
Zek. 8:3Isa 12:6; Yoe 3:17; Zek 2:11; 8:8
Zek. 8:3Isa 1:26; 60:14; Yer 33:16
Zek. 8:3Isa 2:2; 11:9; 66:20; Yer 31:23
Zek. 8:4Isa 65:20; Yer 30:10
Zek. 8:5Yer 30:19; 31:4, 27; Zek 2:4
Zek. 8:7Zb 107:2, 3
Zek. 8:8Yer 3:17; Yoe 3:20; Amo 9:14
Zek. 8:8Law 26:12; Yer 30:22; Eze 11:20
Zek. 8:9Isa 35:4; Hag 2:4
Zek. 8:9Ezr 5:1
Zek. 8:10Hag 1:6
Zek. 8:11Hag 2:19
Zek. 8:12Law 26:4; Kum 28:4; Isa 30:23
Zek. 8:12Isa 35:10; 61:7
Zek. 8:13Kum 28:37; Yer 42:18
Zek. 8:13Mwa 22:18; Isa 19:24, 25
Zek. 8:13Isa 41:10
Zek. 8:13Isa 35:4
Zek. 8:14Yer 4:28; Eze 24:14
Zek. 8:15Yer 31:28; 32:42
Zek. 8:15Isa 43:1; Sef 3:16
Zek. 8:16Law 19:11; Met 12:19; Efe 4:25
Zek. 8:16Zek 7:9
Zek. 8:17Zek 7:10
Zek. 8:17Zek 5:4
Zek. 8:17Met 6:16-19
Zek. 8:19Yer 52:6, 7
Zek. 8:19Yer 52:12-14
Zek. 8:192Fa 25:25; Zek 7:5
Zek. 8:19Yer 52:4
Zek. 8:19Isa 35:10; Yer 31:12
Zek. 8:21Yer 50:4, 5
Zek. 8:22Zb 22:27; Isa 2:2, 3; 11:10; 55:5; 60:3; Ho. 1:10; Mik 4:2; Hag 2:7
Zek. 8:23Zek 2:11; Ufu 7:9; 14:6
Zek. 8:23Kut 12:37, 38
Zek. 8:23Isa 45:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zekaria 8:1-23

Zekaria

8 Neno la Yehova wa majeshi lilinijia tena, likisema: 2 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitakuwa na bidii kwa ajili ya Sayuni, bidii nyingi,+ na kwa hasira kali nitakuwa na bidii kwa ajili yake.’”

3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+

4 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Wanaume wazee na wanawake wazee wataketi tena katika viwanja vya jiji la Yerusalemu, kila mmoja wao akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake mkubwa.*+ 5 Na viwanja vya jiji vitajaa wavulana na wasichana wanaocheza.’”+

6 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Ingawa jambo hilo huenda likaonekana kuwa gumu kwa watu wa taifa hili watakaobaki siku hizo, je, linaweza kuwa gumu sana machoni pangu pia?’ asema Yehova wa majeshi.”

7 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Tazama, ninawaokoa watu wangu kutoka katika nchi ya mashariki na nchi ya magharibi.*+ 8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”

9 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Mikono yenu na iwe na nguvu,*+ ninyi ambao sasa mnasikia maneno haya yanayotoka katika kinywa cha manabii,+ maneno yaleyale yaliyosemwa siku ambayo msingi wa nyumba ya Yehova wa majeshi uliwekwa ili hekalu lijengwe. 10 Kwa maana kabla ya wakati huo, mshahara haukulipwa kwa ajili ya mwanadamu wala kwa ajili ya mnyama;+ na haikuwa salama kuingia wala kutoka kwa sababu ya maadui, kwa maana nilisababisha uadui kati ya watu wote.’

11 “‘Lakini sasa sitawatendea watu waliobaki wa taifa hili kama nilivyowatendea zamani,’+ asema Yehova wa majeshi. 12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+ 13 Na kama mlivyokuwa kitu cha kulaaniwa miongoni mwa mataifa,+ Ee nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli, vivyo hivyo nitawaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope!+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’*+

14 “Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘“Kama nilivyokusudia kuwaletea msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,” asema Yehova wa majeshi, “nami sikughairi,+ 15 ndivyo nilivyokusudia sasa kulitendea mema jiji la Yerusalemu na nyumba ya Yuda.+ Msiogope!”’+

16 “‘Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya: Kila mtu amwambie mwenzake ukweli,+ na hukumu mnazotoa katika malango yenu zinapaswa kutetea ukweli na amani.+ 17 Msipangiane njama za msiba mioyoni mwenu,+ nanyi msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana hayo yote ni mambo ninayochukia,’+ asema Yehova.”

18 Neno la Yehova wa majeshi lilinijia tena, likisema: 19 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Mfungo wa mwezi wa nne,+ mfungo wa mwezi wa tano,+ mfungo wa mwezi wa saba,+ na mfungo wa mwezi wa kumi+ zitakuwa pindi za shangwe na kushangilia kwa ajili ya nyumba ya Yuda—sherehe za kushangilia.+ Kwa hiyo pendeni ukweli na amani.’

20 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Itatukia kwamba mataifa na wakaaji wa majiji mengi watakuja; 21 na wakaaji wa jiji moja wataenda kwa wakaaji wa jiji lingine na kuwaambia: “Twendeni kwa bidii tukamsihi Yehova atupe kibali chake* na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi pia nitaenda.”+ 22 Na mataifa mengi na mataifa yenye nguvu yatakuja Yerusalemu kumtafuta Yehova wa majeshi + na kumsihi Yehova awape kibali chake.’*

23 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Siku hizo watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika, naam, watashika kwa nguvu joho* la Myahudi,* wakisema: “Tunataka kwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia kwamba Mungu yupo pamoja nanyi.”’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki