Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumkimbilia Yehova

        • “Yehova yumo katika hekalu lake takatifu” (4)

        • Mungu humchukia yeyote anayependa ukatili (5)

Zaburi 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiambia nafsi yangu.”

Marejeo

  • +2Nya 14:11; Zb 7:1; 56:11

Zaburi 11:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Misingi ya haki.”

Zaburi 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yanayong’aa.”

Marejeo

  • +Mik 1:2; Hab 2:20
  • +2Nya 20:6; Zb 103:19; Ufu 4:2, 3
  • +2Nya 16:9; Met 15:3; Zek 4:10; Ebr 4:13

Zaburi 11:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yake inamchukia; Yeye binafsi anamchukia.”

Marejeo

  • +Mwa 6:5; 7:1
  • +Met 3:31; 6:16, 17

Zaburi 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “makaa ya mawe yanayowaka.”

Marejeo

  • +Mwa 19:24; Eze 38:22

Zaburi 11:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watajionea kibali chake.”

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Zb 146:8
  • +Ayu 36:7; Zb 34:15; 1Pe 3:12

Jumla

Zab. 11:12Nya 14:11; Zb 7:1; 56:11
Zab. 11:4Mik 1:2; Hab 2:20
Zab. 11:42Nya 20:6; Zb 103:19; Ufu 4:2, 3
Zab. 11:42Nya 16:9; Met 15:3; Zek 4:10; Ebr 4:13
Zab. 11:5Mwa 6:5; 7:1
Zab. 11:5Met 3:31; 6:16, 17
Zab. 11:6Mwa 19:24; Eze 38:22
Zab. 11:7Kum 32:4
Zab. 11:7Zb 146:8
Zab. 11:7Ayu 36:7; Zb 34:15; 1Pe 3:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 11:1-7

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa Daudi.

11 Nimemkimbilia Yehova.+

Basi mnawezaje kuniambia:*

“Kimbilia kwenye mlima wako kama ndege!

 2 Tazama jinsi waovu wanavyoukunja upinde;

Huutia mshale wao kwenye kamba ya upinde,

Ili wawapige kutoka gizani wale walio wanyoofu moyoni.

 3 Misingi* inapobomolewa,

Mtu mwadilifu anaweza kufanya nini?”

 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+

Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+

 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu;+

Humchukia* mtu yeyote anayependa ukatili.+

 6 Atawanyeshea waovu mitego;*

Moto na kiberiti+ na upepo unaounguza vitakuwa fungu la kikombe chao.

 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye hupenda matendo ya uadilifu.+

Wanyoofu watauona uso wake.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki