Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Wagalatia—Yaliyomo

      • Uhuru wa Kikristo (1-15)

      • Kutembea kwa roho (16-26)

        • Matendo ya mwili (19-21)

        • Tunda la roho (22, 23)

Wagalatia 5:1

Marejeo

  • +1Ko 16:13; Flp 4:1
  • +Mdo 15:10

Wagalatia 5:2

Marejeo

  • +Gal 6:12

Wagalatia 5:3

Marejeo

  • +Ro 2:25; Gal 3:10

Wagalatia 5:4

Marejeo

  • +Ro 3:20

Wagalatia 5:6

Marejeo

  • +1Ko 7:19; Gal 6:15; Kol 3:10, 11

Wagalatia 5:7

Marejeo

  • +1Ko 9:24; Gal 3:3

Wagalatia 5:9

Marejeo

  • +1Ko 5:6; 15:33; 2Ti 2:16-18

Wagalatia 5:10

Marejeo

  • +Yoh 17:20, 21
  • +Gal 1:7

Wagalatia 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ko 1:23

Wagalatia 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wawe matowashi,” na hivyo wasistahili kufuata sheria ambayo walikuwa wakiitetea.

Wagalatia 5:13

Marejeo

  • +1Pe 2:16
  • +1Ko 9:19

Wagalatia 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “imejumlishwa.”

Marejeo

  • +Law 19:18; Mt 7:12; 22:39; Ro 13:8, 9; Yak 2:8

Wagalatia 5:15

Marejeo

  • +Yak 3:14
  • +Yak 4:1, 2

Wagalatia 5:16

Marejeo

  • +Ro 8:5, 13
  • +Ro 6:12; 1Pe 2:11

Wagalatia 5:17

Marejeo

  • +Ro 7:15, 19, 23

Wagalatia 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki porneiʹa. Angalia Kamusi.

  • *

    Au “ufidhuli; matendo ya kuchukiza yanayofanywa bila aibu.” Kigiriki, a·selʹgei·a. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ko 5:9; Efe 5:3; Kol 3:5; Ufu 2:20
  • +Mk 7:21, 22; Efe 4:19; 2Pe 2:2; Yud 4

Wagalatia 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uchawi.”

Marejeo

  • +Law 19:26, 31; Kum 18:10, 11

Wagalatia 5:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “karamu za kupindukia.”

Marejeo

  • +Kum 21:20, 21; Isa 5:11
  • +1Pe 4:3
  • +1Ko 6:9, 10

Wagalatia 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sifa zinazotokezwa na roho.”

  • *

    Au “ustahimilivu.”

Marejeo

  • +Efe 5:9

Wagalatia 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kujidhibiti; kujiweza.”

Marejeo

  • +Yak 3:17

Wagalatia 5:24

Marejeo

  • +Ro 6:6

Wagalatia 5:25

Marejeo

  • +Ro 8:4

Wagalatia 5:26

Marejeo

  • +Flp 2:3
  • +Mhu 4:4; 1Ko 4:7; Gal 6:4

Jumla

Gal. 5:11Ko 16:13; Flp 4:1
Gal. 5:1Mdo 15:10
Gal. 5:2Gal 6:12
Gal. 5:3Ro 2:25; Gal 3:10
Gal. 5:4Ro 3:20
Gal. 5:61Ko 7:19; Gal 6:15; Kol 3:10, 11
Gal. 5:71Ko 9:24; Gal 3:3
Gal. 5:91Ko 5:6; 15:33; 2Ti 2:16-18
Gal. 5:10Yoh 17:20, 21
Gal. 5:10Gal 1:7
Gal. 5:111Ko 1:23
Gal. 5:131Pe 2:16
Gal. 5:131Ko 9:19
Gal. 5:14Law 19:18; Mt 7:12; 22:39; Ro 13:8, 9; Yak 2:8
Gal. 5:15Yak 3:14
Gal. 5:15Yak 4:1, 2
Gal. 5:16Ro 8:5, 13
Gal. 5:16Ro 6:12; 1Pe 2:11
Gal. 5:17Ro 7:15, 19, 23
Gal. 5:191Ko 5:9; Efe 5:3; Kol 3:5; Ufu 2:20
Gal. 5:19Mk 7:21, 22; Efe 4:19; 2Pe 2:2; Yud 4
Gal. 5:20Law 19:26, 31; Kum 18:10, 11
Gal. 5:21Kum 21:20, 21; Isa 5:11
Gal. 5:211Pe 4:3
Gal. 5:211Ko 6:9, 10
Gal. 5:22Efe 5:9
Gal. 5:23Yak 3:17
Gal. 5:24Ro 6:6
Gal. 5:25Ro 8:4
Gal. 5:26Flp 2:3
Gal. 5:26Mhu 4:4; 1Ko 4:7; Gal 6:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Wagalatia 5:1-26

Kwa Wagalatia

5 Kristo alituweka huru ili tuwe na uhuru kama huo. Kwa hiyo, simameni imara,+ na msijiache mfungwe tena katika nira ya utumwa.+

2 Oneni! Mimi, Paulo, ninawaambia kwamba mkitahiriwa, Kristo hatakuwa na faida kwenu.+ 3 Tena ninatoa ushahidi kwa kila mtu anayetahiriwa kwamba yuko chini ya wajibu wa kuitimiza Sheria yote.+ 4 Mmetenganishwa na Kristo, ninyi mnaojaribu kutangazwa kuwa waadilifu kupitia sheria;+ mmeanguka kutoka kwenye fadhili zake zisizostahiliwa. 5 Kwa upande wetu, kupitia kwa roho tunasubiri kwa hamu uadilifu uliotumainiwa unaotokana na imani. 6 Kwa maana katika muungano na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna faida yoyote,+ bali imani inayotenda kupitia upendo ina faida.

7 Mlikuwa mnakimbia vema.+ Ni nani aliyewazuia kuendelea kuitii kweli? 8 Ushawishi wa namna hii hautoki kwa Yule anayewaita ninyi. 9 Chachu kidogo huchachisha donge zima.+ 10 Nina uhakika kwamba ninyi mlio katika muungano na Bwana+ hamtakuja kufikiria jambo tofauti; lakini yule anayewasababishia taabu,+ hata iwe ni nani, atapokea hukumu anayostahili. 11 Na mimi, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Ikiwa ndivyo, kikwazo cha mti wa mateso*+ kimeondolewa. 12 Ningependa watu wanaojaribu kuwaangusha ninyi wajihasi wenyewe.*

13 Akina ndugu, mliitwa kwenye uhuru; lakini msiutumie uhuru huo kama nafasi ya kufuatilia tamaa za mwili,+ bali mtumikiane kupitia upendo.+ 14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+ 15 Lakini, ikiwa mnaendelea kuumana na kuraruana,+ jihadharini ili msije mkaangamizana.+

16 Lakini ninasema, Endeleeni kutembea kwa roho+ nanyi hamtatenda kwa tamaa za mwili hata kidogo.+ 17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho, na roho inapingana na mwili; vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba hamfanyi mambo mnayotaka kufanya.+ 18 Isitoshe, ikiwa mnaongozwa na roho, ninyi hamko chini ya sheria.

19 Sasa matendo ya mwili huonekana wazi, nayo ni uasherati,*+ uchafu, mwenendo mpotovu,*+ 20 ibada ya sanamu, kuwasiliana na roho,*+ chuki, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, migogoro, migawanyiko, madhehebu, 21 husuda, ulevi,+ karamu zenye vurugu, * na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mapema kuhusu mambo hayo, kama vile nilivyowaonya tayari, kwamba wale wanaozoea kufanya mambo hayo hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

22 Kwa upande mwingine, tunda la roho* ni upendo, shangwe, amani, subira,* fadhili, wema,+ imani, 23 upole, kujizuia.*+ Hakuna sheria dhidi ya mambo hayo. 24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+

25 Ikiwa tunaishi kwa roho, na tuendelee pia kutembea kwa utaratibu kwa roho.+ 26 Tusiwe tukijisifu,+ tusichochee mashindano kati yetu,+ wala tusioneane wivu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki