Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Mwanakondoo afungua mihuri ya kwanza sita (1-17)

        • Mshindi akiwa kwenye farasi mweupe (1, 2)

        • Aliyepanda farasi wa rangi ya moto aondoa amani (3, 4)

        • Aliyepanda farasi mweusi aleta njaa (5, 6)

        • Aliyepanda farasi wa kijivu anaitwa Kifo (7, 8)

        • Waliouawa, chini ya madhabahu (9-11)

        • Tetemeko kubwa la ardhi (12-17)

Ufunuo 6:1

Marejeo

  • +Ufu 5:6
  • +Ufu 5:5
  • +Ufu 4:7

Ufunuo 6:2

Marejeo

  • +Ufu 19:11
  • +Ufu 14:14
  • +Zb 45:4; 110:1, 2; Ufu 12:7; 17:14

Ufunuo 6:3

Marejeo

  • +Ufu 4:7

Ufunuo 6:4

Marejeo

  • +Mt 24:7; Lu 21:10

Ufunuo 6:5

Marejeo

  • +Ufu 5:5
  • +Ufu 4:7

Ufunuo 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Sarafu ya fedha ya Kiroma iliyolingana na mshahara wa siku moja. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Mt 20:2
  • +Mk 13:8

Ufunuo 6:7

Marejeo

  • +Ufu 4:7

Ufunuo 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hadesi.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Lu 21:11
  • +Yer 15:2, 3; Eze 14:21

Ufunuo 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni uhai unaowakilishwa na damu yao iliyomwagwa kwenye madhabahu. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Law 4:7; Ufu 8:3
  • +Law 17:11
  • +Mt 24:9, 14; Yoh 18:37; Ufu 17:6; 20:4

Ufunuo 6:10

Marejeo

  • +1Yo 5:20
  • +Kum 32:43; Lu 18:7; Ufu 19:1, 2

Ufunuo 6:11

Marejeo

  • +Ufu 3:5
  • +Mt 24:9; Mdo 9:1; 2Ko 1:8

Ufunuo 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Huenda lililotengenezwa kwa manyoya ya mbuzi.

Marejeo

  • +Yoe 2:31; Mt 24:29

Ufunuo 6:14

Marejeo

  • +Isa 34:4
  • +Ufu 16:20

Ufunuo 6:15

Marejeo

  • +Isa 2:10, 19

Ufunuo 6:16

Marejeo

  • +Ho. 10:8; Lu 23:30
  • +Ufu 4:2, 3
  • +Ufu 5:6

Ufunuo 6:17

Marejeo

  • +Sef 1:14, 18; Ro 2:5
  • +Yoe 2:11

Jumla

Ufu. 6:1Ufu 5:6
Ufu. 6:1Ufu 5:5
Ufu. 6:1Ufu 4:7
Ufu. 6:2Ufu 19:11
Ufu. 6:2Ufu 14:14
Ufu. 6:2Zb 45:4; 110:1, 2; Ufu 12:7; 17:14
Ufu. 6:3Ufu 4:7
Ufu. 6:4Mt 24:7; Lu 21:10
Ufu. 6:5Ufu 5:5
Ufu. 6:5Ufu 4:7
Ufu. 6:6Mt 20:2
Ufu. 6:6Mk 13:8
Ufu. 6:7Ufu 4:7
Ufu. 6:8Lu 21:11
Ufu. 6:8Yer 15:2, 3; Eze 14:21
Ufu. 6:9Law 4:7; Ufu 8:3
Ufu. 6:9Law 17:11
Ufu. 6:9Mt 24:9, 14; Yoh 18:37; Ufu 17:6; 20:4
Ufu. 6:101Yo 5:20
Ufu. 6:10Kum 32:43; Lu 18:7; Ufu 19:1, 2
Ufu. 6:11Ufu 3:5
Ufu. 6:11Mt 24:9; Mdo 9:1; 2Ko 1:8
Ufu. 6:12Yoe 2:31; Mt 24:29
Ufu. 6:14Isa 34:4
Ufu. 6:14Ufu 16:20
Ufu. 6:15Isa 2:10, 19
Ufu. 6:16Ho. 10:8; Lu 23:30
Ufu. 6:16Ufu 4:2, 3
Ufu. 6:16Ufu 5:6
Ufu. 6:17Sef 1:14, 18; Ro 2:5
Ufu. 6:17Yoe 2:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 6:1-17

Ufunuo kwa Yohana

6 Naye Mwanakondoo+ alipofungua mmoja wa ile mihuri saba,+ nikaona, na kumsikia mmoja wa wale viumbe hai wanne+ akisema kwa sauti kama ya ngurumo: “Njoo!” 2 Nami nikaona, na tazama! farasi mweupe,+ na yule aliyeketi juu yake alikuwa na upinde; naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda na kukamilisha ushindi wake.+

3 Alipofungua muhuri wa pili, nikamsikia kiumbe hai wa pili+ akisema: “Njoo!” 4 Mwingine akatokea, farasi mwenye rangi ya moto, na yule aliyeketi juu yake akapewa ruhusa ya kuondoa amani duniani ili wauane, naye akapewa upanga mkubwa.+

5 Alipofungua muhuri wa tatu,+ nikamsikia kiumbe hai wa tatu+ akisema: “Njoo!” Nami nikaona, na tazama! farasi mweusi, na yule aliyeketi juu yake alikuwa na mizani mkononi mwake. 6 Nami nikasikia kitu kama sauti katikati ya wale viumbe hai wanne ikisema: “Kibaba* cha ngano kwa dinari*+ moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; na usidhuru divai na mafuta ya zeituni.”+

7 Alipofungua muhuri wa nne, nikasikia sauti ya kiumbe hai wa nne+ akisema: “Njoo!” 8 Nami nikaona, na tazama! farasi wa rangi ya kijivu, na yule aliyeketi juu yake alikuwa na jina Kifo. Na Kaburi* lilikuwa likimfuata kwa ukaribu. Nao wakapewa mamlaka juu ya sehemu ya nne ya dunia, ili kuua kwa upanga mrefu na kwa upungufu wa chakula+ na kwa ugonjwa hatari na kwa wanyama wa mwituni wa dunia.+

9 Alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi*+ za wale waliouawa kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya ushahidi waliokuwa wametoa.+ 10 Wakasema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, mtakatifu na wa kweli,+ utajizuia mpaka lini kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”+ 11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe,+ nao wakaambiwa waendelee kupumzika kwa muda mfupi, mpaka idadi itimie ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa kama vile wao walivyouawa.+

12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la ardhi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia la manyoya,* na mwezi mzima ukawa kama damu,+ 13 na nyota za mbinguni zikaanguka duniani kama mtini unaotikiswa na upepo mkali unavyoangusha tini zake mbichi. 14 Na mbingu ikaondoka kama kitabu cha kukunjwa kinachokunjwa,+ na kila mlima na kila kisiwa vikaondolewa mahali pake.+ 15 Na wafalme wa dunia, maofisa wa cheo cha juu, viongozi wa kijeshi, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa, na kila mtu aliye huru wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.+ 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka kwenye uso wa Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwanakondoo,+ 17 kwa sababu siku kuu ya ghadhabu yao imekuja,+ na ni nani anayeweza kusimama?”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki