Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Hekima ya kweli inatoa mwaliko (1-12)

        • “Nitafanya siku zako ziwe nyingi” (11)

      • Mwanamke mpumbavu awaalika watu (13-18)

        • “Maji yaliyoibwa ni matamu” (17)

Methali 9:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Amechinja nyama yake.”

Methali 9:3

Marejeo

  • +Met 1:20-22

Methali 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Methali 9:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Waache wajinga.”

Marejeo

  • +Zb 119:130
  • +Met 4:5; 13:20

Methali 9:7

Marejeo

  • +Met 15:12

Methali 9:8

Marejeo

  • +1Fa 21:20, 21; 22:8; 2Nya 25:15, 16; Mt 7:6
  • +Zb 141:5; Met 27:6; 28:23

Methali 9:9

Marejeo

  • +Met 1:5; 15:31; 17:10; 25:12

Methali 9:10

Marejeo

  • +Zb 111:10
  • +1Nya 28:9; Mt 11:27; Yoh 17:3

Methali 9:11

Marejeo

  • +Kum 6:1, 2; Met 8:35; 10:27

Methali 9:13

Marejeo

  • +Met 7:10, 11

Methali 9:14

Marejeo

  • +Met 23:27, 28

Methali 9:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliopungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 6:32

Methali 9:17

Marejeo

  • +Met 7:18, 19

Methali 9:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 2:18, 19; 7:23, 26; 23:27, 28

Jumla

Met. 9:3Met 1:20-22
Met. 9:6Zb 119:130
Met. 9:6Met 4:5; 13:20
Met. 9:7Met 15:12
Met. 9:81Fa 21:20, 21; 22:8; 2Nya 25:15, 16; Mt 7:6
Met. 9:8Zb 141:5; Met 27:6; 28:23
Met. 9:9Met 1:5; 15:31; 17:10; 25:12
Met. 9:10Zb 111:10
Met. 9:101Nya 28:9; Mt 11:27; Yoh 17:3
Met. 9:11Kum 6:1, 2; Met 8:35; 10:27
Met. 9:13Met 7:10, 11
Met. 9:14Met 23:27, 28
Met. 9:16Met 6:32
Met. 9:17Met 7:18, 19
Met. 9:18Met 2:18, 19; 7:23, 26; 23:27, 28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 9:1-18

Methali

9 Hekima ya kweli imejenga nyumba yake;

Imechonga nguzo zake saba.

 2 Imetayarisha kabisa nyama yake;*

Imechanganya divai yake;

Imepanga pia meza yake.

 3 Imewatuma vijakazi wake

Ili waite kwa sauti kutoka vileleni juu ya jiji:+

 4 “Yeyote ambaye ni mjinga, na aje humu.”

Humwambia yule asiye na busara:*

 5 “Njoo, ule mkate wangu

Na unywe divai niliyochanganya.

 6 Acha ujinga wako* uishi;+

Tembea moja kwa moja katika njia ya uelewaji.”+

 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka hualika aibu,+

Na yeyote anayemkaripia mtu mwovu ataumia.

 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, kwa maana atakuchukia.+

Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.+

 9 Mfundishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima.+

Mfundishe mwadilifu, naye atazidi kuelimika.

10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+

Na kumjua Aliye Mtakatifu Zaidi+ ni uelewaji.

11 Kwa maana nitafanya siku zako ziwe nyingi,+

Na miaka ya maisha yako itaongezwa.

12 Ukipata hekima, unapata hekima kwa faida yako mwenyewe,

Lakini ukiwa mwenye dhihaka, utaibeba dhihaka hiyo peke yako.

13 Mwanamke mpumbavu ana kelele.+

Yeye ni mjinga na hajui chochote.

14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake

Kwenye kiti sehemu zilizoinuka jijini,+

15 Akiwaita kwa sauti wale wanaopita karibu naye,

Waendao moja kwa moja kwenye njia yao:

16 “Yeyote ambaye ni mjinga, aje hapa.”

Huwaambia wale wasio na busara:*+

17 “Maji yaliyoibwa ni matamu,

Na chakula kinacholiwa sirini kinapendeza.”+

18 Lakini hawajui kwamba wale waliokufa ambao hawana uwezo wako hapo,

Na kwamba wageni wake wamo katika vina vya Kaburi.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki