Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sefania 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Sefania—Yaliyomo

      • Yerusalemu, jiji lenye uasi na upotovu (1-7)

      • Kuhukumiwa na kurudishwa (8-20)

        • Wapewa lugha safi (9)

        • Wanyenyekevu na wapole wataokolewa (12)

        • Yehova atashangilia kwa sababu ya Sayuni (17)

Sefania 3:1

Marejeo

  • +Isa 5:7; Yer 6:6

Sefania 3:2

Marejeo

  • +Yer 22:21; 32:23
  • +Zb 50:17; Isa 1:5; Yer 5:3
  • +Zb 78:22; Yer 17:5
  • +Isa 29:13

Sefania 3:3

Marejeo

  • +Isa 1:23; Eze 22:27

Sefania 3:4

Marejeo

  • +Omb 2:14
  • +Yer 23:11
  • +Eze 22:25, 26; Mik 3:9

Sefania 3:5

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Yer 21:12
  • +Yer 3:3; 8:12; Sef 2:1

Sefania 3:6

Marejeo

  • +Law 18:28

Sefania 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kurekebishwa.”

  • *

    Au “niliadhibu.”

Marejeo

  • +Isa 5:3, 4; 63:8; 2Pe 3:9
  • +Yer 7:5-7; 25:5, 6
  • +Mik 2:1

Sefania 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuningojea kwa subira.”

  • *

    Au labda, “nitakapoinuka nikiwa shahidi.”

Marejeo

  • +Zb 37:34; 130:7; Isa 30:18
  • +Isa 34:2; Yoe 3:2; Ufu 16:14; 19:19
  • +Eze 36:5

Sefania 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wamwabudu kwa umoja.”

Marejeo

  • +Zek 8:23

Sefania 3:10

Marejeo

  • +Isa 60:4

Sefania 3:11

Marejeo

  • +Isa 45:17; 54:4
  • +Isa 11:9

Sefania 3:12

Marejeo

  • +Isa 57:15; 61:1

Sefania 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Watajilisha malishoni.”

Marejeo

  • +Isa 10:22; Mik 4:7
  • +Isa 60:21
  • +Yer 30:10; Eze 34:28; 39:25, 26; Ho. 2:18; Mik 4:4

Sefania 3:14

Marejeo

  • +Ezr 3:11; Isa 12:5, 6; Zek 2:10
  • +Mik 4:8

Sefania 3:15

Marejeo

  • +Isa 40:2; Zek 8:13
  • +Mik 7:10; Zek 2:8, 9
  • +Eze 48:35
  • +Amo 9:15; Zek 14:11

Sefania 3:16

Marejeo

  • +Yer 46:28

Sefania 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atanyamaza; Atatulia; Ataridhika.”

Marejeo

  • +Isa 12:6
  • +Kum 30:9; Zb 147:11; Isa 62:3; 65:19; Yer 32:41

Sefania 3:18

Marejeo

  • +Omb 1:4; 2:6
  • +Omb 5:1

Sefania 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jina.”

Marejeo

  • +Isa 60:14; Zek 14:3
  • +Mik 4:6, 7
  • +Isa 11:11, 12; 27:12; Eze 28:25; 34:15, 16; Amo 9:14

Sefania 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jina.”

Marejeo

  • +Isa 60:15
  • +Isa 61:7; Yer 30:10; 33:7, 9; Eze 39:25, 27

Jumla

Sef. 3:1Isa 5:7; Yer 6:6
Sef. 3:2Yer 22:21; 32:23
Sef. 3:2Zb 50:17; Isa 1:5; Yer 5:3
Sef. 3:2Zb 78:22; Yer 17:5
Sef. 3:2Isa 29:13
Sef. 3:3Isa 1:23; Eze 22:27
Sef. 3:4Omb 2:14
Sef. 3:4Yer 23:11
Sef. 3:4Eze 22:25, 26; Mik 3:9
Sef. 3:5Kum 32:4
Sef. 3:5Yer 21:12
Sef. 3:5Yer 3:3; 8:12; Sef 2:1
Sef. 3:6Law 18:28
Sef. 3:7Isa 5:3, 4; 63:8; 2Pe 3:9
Sef. 3:7Yer 7:5-7; 25:5, 6
Sef. 3:7Mik 2:1
Sef. 3:8Zb 37:34; 130:7; Isa 30:18
Sef. 3:8Isa 34:2; Yoe 3:2; Ufu 16:14; 19:19
Sef. 3:8Eze 36:5
Sef. 3:9Zek 8:23
Sef. 3:10Isa 60:4
Sef. 3:11Isa 45:17; 54:4
Sef. 3:11Isa 11:9
Sef. 3:12Isa 57:15; 61:1
Sef. 3:13Isa 10:22; Mik 4:7
Sef. 3:13Isa 60:21
Sef. 3:13Yer 30:10; Eze 34:28; 39:25, 26; Ho. 2:18; Mik 4:4
Sef. 3:14Ezr 3:11; Isa 12:5, 6; Zek 2:10
Sef. 3:14Mik 4:8
Sef. 3:15Isa 40:2; Zek 8:13
Sef. 3:15Mik 7:10; Zek 2:8, 9
Sef. 3:15Eze 48:35
Sef. 3:15Amo 9:15; Zek 14:11
Sef. 3:16Yer 46:28
Sef. 3:17Isa 12:6
Sef. 3:17Kum 30:9; Zb 147:11; Isa 62:3; 65:19; Yer 32:41
Sef. 3:18Omb 1:4; 2:6
Sef. 3:18Omb 5:1
Sef. 3:19Isa 60:14; Zek 14:3
Sef. 3:19Mik 4:6, 7
Sef. 3:19Isa 11:11, 12; 27:12; Eze 28:25; 34:15, 16; Amo 9:14
Sef. 3:20Isa 60:15
Sef. 3:20Isa 61:7; Yer 30:10; 33:7, 9; Eze 39:25, 27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Sefania 3:1-20

Sefania

3 Ole kwa jiji lenye uasi, lenye uchafu, lenye ukandamizaji!+

2 Halijatii sauti yoyote;+ halijakubali nidhamu yoyote.+

Halijamtumaini Yehova;+ halijamkaribia Mungu wake.+

 3 Wakuu wake walio ndani yake ni simba wanaonguruma.+

Waamuzi wake ni mbwamwitu wakati wa usiku;

Hawaachi hata mfupa mmoja wa kuguguna mpaka asubuhi.

 4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+

Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+

Wanaitendea sheria kikatili.+

 5 Yehova ni mwadilifu miongoni mwake;+ hatendi kosa lolote.

Asubuhi baada ya asubuhi hutangaza hukumu zake,+

Kama nuru ya mchana isivyokosa kuangaza.

Lakini asiye mwadilifu haoni aibu hata kidogo.+

 6 “Niliyaangamiza mataifa; minara yao ya pembeni iliachwa ukiwa.

Niliharibu barabara zao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyepita.

Majiji yao yaliachwa magofu, bila mtu yeyote, bila mkaaji yeyote.+

 7 Nikasema, ‘Hakika mtaniogopa na kukubali nidhamu,’*+

Ili makao yake yasiweze kuharibiwa+

—Ni lazima nilifanye liwajibike* kwa sababu ya mambo hayo yote.

Lakini walitamani hata zaidi kutenda kwa upotovu.+

 8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’*+ asema Yehova,

‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,*

Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,

Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+

Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

 9 Kwa maana wakati huo nitabadili lugha ya mataifa iwe lugha safi,

Ili wote waweze kuliitia jina la Yehova,

Wamtumikie bega kwa bega.’*+

10 Kutoka eneo la mito ya Ethiopia,

Wale wanaonisihi, binti ya watu wangu waliotawanywa, wataniletea zawadi.+

11 Siku hiyo hamtaaibishwa

Kwa sababu ya matendo yenu yote ya uasi mliyonitendea,+

Kwa maana wakati huo nitawaondoa kati yenu watu wenye kiburi wanaojigamba;

Nanyi hamtakuwa tena na kiburi katika mlima wangu mtakatifu.+

12 Nitawaruhusu watu wanyenyekevu na wapole wabaki miongoni mwenu,+

Nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.

13 Waisraeli watakaobaki+ hawatatenda mambo yasiyo ya uadilifu;+

Hawatasema uwongo, wala hawatakuwa na ndimi za udanganyifu vinywani mwao;

Watakula* na kulala, na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+

14 Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni!

Paza sauti kwa ushindi, Ee Israeli!+

Shangilia na kufurahi kwa moyo wako wote, Ee binti ya Yerusalemu!+

15 Yehova ameondoa hukumu ulizokabili.+

Amemfukuza adui yako.+

Mfalme wa Israeli, Yehova, yuko katikati yako.+

Hutaogopa msiba tena.+

16 Siku hiyo jiji la Yerusalemu litaambiwa:

“Usiogope, Ee Sayuni.+

Usilegeze mikono yako.

17 Yehova Mungu wako yuko katikati yako.+

Akiwa Mwenye nguvu, ataokoa.

Atakushangilia kwa shangwe kubwa.+

Atakaa kimya* katika upendo wake.

Atakushangilia kwa kelele za shangwe.

18 Nitawakusanya pamoja wale wanaohuzunika kwa sababu ya kukosa sherehe zako;+

Hawakuwa pamoja nawe kwa sababu ya kubeba shutuma yake.+

19 Tazama! Wakati huo nitawachukulia hatua wote wanaokukandamiza;+

Nami nitamwokoa yule anayechechemea,+

Nitawakusanya pamoja waliotawanyika.+

Nitawafanya kuwa kitu cha sifa na umaarufu*

Katika kila nchi ambamo waliaibishwa.

20 Wakati huo nitawaleta ndani,

Wakati nitakapowakusanya pamoja.

Kwa maana nitawafanya kuwa kitu cha umaarufu* na sifa+ miongoni mwa mataifa yote duniani,

Nitakapowakusanya mateka wenu mbele ya macho yenu,” asema Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki