Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mtawala anayetenda kwa utimilifu

        • ‘Sitavumilia kiburi’ (5)

        • “Nitawatazama waaminifu” (6)

Zaburi 101:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakupigia muziki.”

Zaburi 101:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utimilifu.”

Marejeo

  • +1Fa 9:4; Zb 78:70, 72

Zaburi 101:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “cha ubatili.”

  • *

    Au “Matendo yao hayashikamani nami.”

Marejeo

  • +Zb 97:10

Zaburi 101:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Sitajua.”

Zaburi 101:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitamwangamiza.”

Marejeo

  • +Met 20:19

Zaburi 101:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa utimilifu.”

Zaburi 101:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya macho yangu.”

Zaburi 101:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitawaangamiza.”

Marejeo

  • +Met 20:8

Jumla

Zab. 101:21Fa 9:4; Zb 78:70, 72
Zab. 101:3Zb 97:10
Zab. 101:5Met 20:19
Zab. 101:8Met 20:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 101:1-8

Zaburi

Muziki wa Daudi.

101 Nitaimba kuhusu upendo mshikamanifu na haki.

Nitakuimbia sifa,* Ee Yehova.

 2 Nitatenda kwa busara na bila lawama.*

Utanijia lini?

Nitatembea kwa utimilifu wa moyo+ ndani ya nyumba yangu.

 3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu.

Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+

Sitashirikiana nao kamwe.*

 4 Moyo uliopotoka uko mbali nami;

Sitakubali* jambo lililo ovu.

 5 Yeyote anayemchongea jirani yake kwa siri,+

Nitamnyamazisha.*

Yeyote aliye na macho ya kiburi na moyo wenye majivuno,

Sitamvumilia.

 6 Nitawatazama waaminifu wa dunia,

Ili wakae nami.

Yule anayetembea bila lawama* atanihudumia.

 7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,

Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.*

 8 Kila asubuhi nitawanyamazisha* waovu wote wa dunia,

Nitawaangamiza waovu wote kutoka katika jiji la Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki