Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ufafanuzi kumhusu mpumbavu

        • “Hakuna Yehova” (1)

        • “Hakuna yeyote anayetenda mema” (3)

Zaburi 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Asiyetumia akili.”

Marejeo

  • +Zb 10:4; Isa 29:16
  • +Zb 53:utangulizi-6; Ro 3:10-12

Zaburi 14:2

Marejeo

  • +2Nya 16:9; Zb 33:13-15; Ebr 11:6

Zaburi 14:3

Marejeo

  • +Mhu 7:29

Zaburi 14:5

Marejeo

  • +Kut 15:16

Zaburi 14:6

Marejeo

  • +Zb 9:9; 142:5

Zaburi 14:7

Marejeo

  • +Ro 11:26, 27

Jumla

Zab. 14:1Zb 10:4; Isa 29:16
Zab. 14:1Zb 53:utangulizi-6; Ro 3:10-12
Zab. 14:22Nya 16:9; Zb 33:13-15; Ebr 11:6
Zab. 14:3Mhu 7:29
Zab. 14:5Kut 15:16
Zab. 14:6Zb 9:9; 142:5
Zab. 14:7Ro 11:26, 27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 14:1-7

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa Daudi.

14 Mpumbavu* husema moyoni mwake:

“Hakuna Yehova.”+

Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;

Hakuna yeyote anayetenda mema.+

 2 Lakini Yehova anawatazama wanadamu kutoka mbinguni

Ili aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+

 3 Wote wamegeuka kando;+

Wote wamepotoka.

Hakuna yeyote anayetenda mema,

Hakuna hata mmoja.

 4 Je, hakuna mtenda maovu yeyote anayeelewa?

Wanawala watu wangu kana kwamba wanakula mkate.

Hawamwiti Yehova.

 5 Lakini watajawa na hofu kubwa,+

Kwa maana Yehova yuko pamoja na kizazi cha waadilifu.

 6 Ninyi waovu hujaribu kuharibu mipango ya mtu wa hali ya chini,

Lakini Yehova ni kimbilio lake.+

 7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

Yehova anapowakusanya tena watu wake waliotekwa,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki