Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Upendo​—⁠njia bora zaidi (1-13)

1 Wakorintho 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kusogeza.”

  • *

    Au “sifai kitu.”

Marejeo

  • +1Ko 12:8
  • +1Yo 4:20

1 Wakorintho 13:3

Marejeo

  • +Mt 6:2
  • +2Ko 9:7

1 Wakorintho 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ustahimilivu.”

Marejeo

  • +1Yo 4:8
  • +1Th 5:14
  • +Ro 13:10; Efe 4:32
  • +Gal 5:26
  • +1Pe 5:5

1 Wakorintho 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makosa.”

Marejeo

  • +Ro 13:13; 1Ko 14:40
  • +1Ko 10:24; Flp 2:4
  • +Mt 5:39; Yak 1:19
  • +Efe 4:32; Kol 3:13

1 Wakorintho 13:6

Marejeo

  • +Ro 12:9

1 Wakorintho 13:7

Marejeo

  • +1Pe 4:8
  • +Mdo 17:11
  • +Ro 8:25; 12:12
  • +1Th 1:3

1 Wakorintho 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kuzungumza lugha nyingine kimuujiza.

1 Wakorintho 13:9

Marejeo

  • +Met 4:18

1 Wakorintho 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iliyo hafifu.”

  • *

    Au “kikamili.”

1 Wakorintho 13:13

Marejeo

  • +Mt 22:37; Ro 13:10

Jumla

1 Kor. 13:21Ko 12:8
1 Kor. 13:21Yo 4:20
1 Kor. 13:3Mt 6:2
1 Kor. 13:32Ko 9:7
1 Kor. 13:41Yo 4:8
1 Kor. 13:41Th 5:14
1 Kor. 13:4Ro 13:10; Efe 4:32
1 Kor. 13:4Gal 5:26
1 Kor. 13:41Pe 5:5
1 Kor. 13:5Ro 13:13; 1Ko 14:40
1 Kor. 13:51Ko 10:24; Flp 2:4
1 Kor. 13:5Mt 5:39; Yak 1:19
1 Kor. 13:5Efe 4:32; Kol 3:13
1 Kor. 13:6Ro 12:9
1 Kor. 13:71Pe 4:8
1 Kor. 13:7Mdo 17:11
1 Kor. 13:7Ro 8:25; 12:12
1 Kor. 13:71Th 1:3
1 Kor. 13:9Met 4:18
1 Kor. 13:13Mt 22:37; Ro 13:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wakorintho 13:1-13

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

13 Nikisema kwa lugha za wanadamu na za malaika lakini sina upendo, nimekuwa chuma kinachovuma au toazi linalolia. 2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii nami ninazielewa siri zote takatifu na ujuzi wote,+ na ikiwa nina imani yenye nguvu hata niweze kuhamisha* milima, lakini sina upendo, mimi si kitu.*+ 3 Nami nikitoa mali zangu zote ili kuwalisha wengine,+ na nikiutoa mwili wangu ili nijisifu, lakini sina upendo,+ sipati faida yoyote.

4 Upendo+ ni wenye subira*+ na fadhili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujigambi, haujivuni,+ 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.*+ 6 Haushangilii ukosefu wa uadilifu,+ bali hushangilia pamoja na kweli. 7 Huhimili mambo yote,+ huamini mambo yote,+ hutumaini mambo yote,+ huvumilia mambo yote.+

8 Upendo haushindwi kamwe. Lakini kama kuna zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuna lugha,* zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa. 9 Kwa maana tuna ujuzi usio kamili+ nasi tunatoa unabii usio kamili; 10 lakini kile kilicho kamili kitakapokuja, kile kisicho kamili kitaondolewa. 11 Nilipokuwa mtoto, nilikuwa nikisema kama mtoto, nikifikiri kama mtoto, nikiwaza kama mtoto; lakini kwa kuwa sasa nimekuwa mtu mzima, nimeziacha tabia za mtoto. 12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi* kupitia kioo cha chuma, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa sijui kikamili, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi,* kama vile ninavyojulikana kwa usahihi. 13 Hata hivyo, sasa yanabaki mambo haya matatu: imani, tumaini, upendo; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki