Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 24:1

Marejeo

  • +Zb 26:5; Met 1:10

Methali 24:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Familia.”

Marejeo

  • +Met 9:1; 14:1

Methali 24:4

Marejeo

  • +1Fa 10:23; Met 15:6

Methali 24:5

Marejeo

  • +Met 8:14; 21:22

Methali 24:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwongozo wenye hekima.”

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +Met 20:18; Lu 14:31, 32
  • +Met 11:14; 13:10; 15:22; Mdo 15:5, 6

Methali 24:7

Marejeo

  • +Met 14:6; 1Ko 2:14

Methali 24:8

Marejeo

  • +Met 6:12-14

Methali 24:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Njama za mpumbavu.”

Marejeo

  • +Met 22:10

Methali 24:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyakati za taabu.”

Methali 24:11

Marejeo

  • +Zb 82:4

Methali 24:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayechunguza nia.”

Marejeo

  • +Met 5:21; 17:3; 21:2
  • +Zb 62:12; Mt 16:27; Ro 2:5, 6

Methali 24:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni tamu kwa nafsi yako.”

Marejeo

  • +Zb 19:9, 10; 119:103
  • +Met 23:18

Methali 24:16

Marejeo

  • +Zb 34:19; 2Ko 1:10
  • +1Sa 26:9, 10; Est 7:10

Methali 24:17

Marejeo

  • +Ayu 31:29; Met 17:5; 25:21, 22

Methali 24:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, yule adui.

Marejeo

  • +Eze 26:2, 3; Zek 1:15

Methali 24:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usiwake hasira.”

Methali 24:20

Marejeo

  • +Zb 73:18, 27; Met 10:7
  • +Met 13:9

Methali 24:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wale wanaotaka mabadiliko.”

Marejeo

  • +1Sa 24:6, 7; 1Pe 2:17
  • +2Sa 15:12

Methali 24:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Yehova na mfalme.

Marejeo

  • +Hes 16:2, 31
  • +Met 20:2

Methali 24:23

Marejeo

  • +Law 19:15; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:7; 1Ti 5:21

Methali 24:24

Marejeo

  • +Met 17:15

Methali 24:25

Marejeo

  • +Law 19:17; 1Ti 5:20
  • +Met 28:23

Methali 24:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Kujibu kwa unyoofu ni kama kumbusu mtu.”

Marejeo

  • +Met 27:5

Methali 24:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “familia.”

Methali 24:28

Marejeo

  • +Kut 20:16
  • +Efe 4:25

Methali 24:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitamlipa sawasawa na matendo yake.”

Marejeo

  • +Met 20:22; Ro 12:17, 19; 1Th 5:15

Methali 24:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 6:10, 11

Methali 24:31

Marejeo

  • +Met 20:4; 22:13; Mhu 10:18

Methali 24:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nilipokea nidhamu.”

Methali 24:34

Marejeo

  • +Met 10:4; 23:21

Jumla

Met. 24:1Zb 26:5; Met 1:10
Met. 24:3Met 9:1; 14:1
Met. 24:41Fa 10:23; Met 15:6
Met. 24:5Met 8:14; 21:22
Met. 24:6Met 20:18; Lu 14:31, 32
Met. 24:6Met 11:14; 13:10; 15:22; Mdo 15:5, 6
Met. 24:7Met 14:6; 1Ko 2:14
Met. 24:8Met 6:12-14
Met. 24:9Met 22:10
Met. 24:11Zb 82:4
Met. 24:12Met 5:21; 17:3; 21:2
Met. 24:12Zb 62:12; Mt 16:27; Ro 2:5, 6
Met. 24:14Zb 19:9, 10; 119:103
Met. 24:14Met 23:18
Met. 24:16Zb 34:19; 2Ko 1:10
Met. 24:161Sa 26:9, 10; Est 7:10
Met. 24:17Ayu 31:29; Met 17:5; 25:21, 22
Met. 24:18Eze 26:2, 3; Zek 1:15
Met. 24:20Zb 73:18, 27; Met 10:7
Met. 24:20Met 13:9
Met. 24:211Sa 24:6, 7; 1Pe 2:17
Met. 24:212Sa 15:12
Met. 24:22Hes 16:2, 31
Met. 24:22Met 20:2
Met. 24:23Law 19:15; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:7; 1Ti 5:21
Met. 24:24Met 17:15
Met. 24:25Law 19:17; 1Ti 5:20
Met. 24:25Met 28:23
Met. 24:26Met 27:5
Met. 24:28Kut 20:16
Met. 24:28Efe 4:25
Met. 24:29Met 20:22; Ro 12:17, 19; 1Th 5:15
Met. 24:30Met 6:10, 11
Met. 24:31Met 20:4; 22:13; Mhu 10:18
Met. 24:34Met 10:4; 23:21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 24:1-34

Methali

24 Usiwaonee wivu waovu,

Wala usitamani kushirikiana nao,+

 2 Kwa maana moyo wao hutafakari ukatili,

Na midomo yao huongea kuhusu kuwataabisha wengine.

 3 Nyumba* hujengwa kwa hekima,+

Na kwa utambuzi hufanywa iwe salama.

 4 Kwa ujuzi vyumba hujazwa

Kila aina ya hazina zenye thamani na zinazopendeza.+

 5 Mtu mwenye hekima ana nguvu,+

Na kwa ujuzi mtu huzidisha nguvu zake.

 6 Kwa mwelekezo stadi* utapigana vita vyako,+

Na kupitia washauri wengi kuna ushindi.*+

 7 Mjinga hawezi kupata hekima ya kweli;+

Hana lolote la kusema katika lango la jiji.

 8 Yeyote anayepanga njama ya uovu

Ataitwa stadi wa kupanga hila.+

 9 Njama za upumbavu* ni dhambi,

Na watu humchukia mwenye dhihaka.+

10 Ukivunjika moyo siku ya taabu,*

Nguvu zako zitakuwa chache.

11 Waokoe wale wanaopelekwa kwenye kifo,

Na uwazuie wale wanaopepesuka wakielekea kuchinjwa.+

12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+

Naam, Yule anayekutazama atajua

Naye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

13 Mwanangu, kula asali, kwa sababu ni njema;

Asali ya sega ni tamu kinywani.

14 Vivyo hivyo, jua kwamba hekima ina manufaa kwako.*+

Ukiipata, utakuwa na wakati ujao

Na tumaini lako halitafutiliwa mbali.+

15 Usivizie kwa uovu karibu na makao ya mtu mwadilifu;

Usiharibu mahali pake pa kupumzikia.

16 Kwa maana mwadilifu anaweza kuanguka mara saba, lakini atainuka tena,+

Lakini waovu watakwazwa na msiba.+

17 Adui yako akianguka, usishangilie,

Na akijikwaa, usiruhusu moyo wako uwe na shangwe;+

18 La sivyo, Yehova ataona jambo hilo naye hatafurahi,

Naye ataiondoa hasira yake kumwelekea.*+

19 Usifadhaike* kwa sababu ya waovu;

Usiwaonee wivu watu waovu,

20 Kwa maana mtu yeyote mwovu hana wakati ujao;+

Taa ya waovu itazimwa.+

21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+

Nawe usishirikiane na waasi,*+

22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+

Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+

23 Haya pia ni maneno ya wenye hekima:

Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+

24 Yeyote anayemwambia mtu mwovu, “Wewe ni mwadilifu,”+

Atalaaniwa na watu na kushutumiwa na mataifa.

25 Lakini mambo yatawaendea vema wale wanaomkaripia;+

Watapata baraka ya vitu vyema.+

26 Watu wataibusu midomo ya mtu anayejibu kwa unyoofu.*+

27 Tayarisha kazi yako ya nje, na utayarishe kila kitu shambani;

Kisha uijenge nyumba* yako.

28 Usitoe ushahidi dhidi ya jirani yako pasipo msingi.+

Usiitumie midomo yako kuwadanganya wengine.+

29 Usiseme: “Nitamtendea kama tu alivyonitendea;

Nitamlipiza kwa sababu ya mambo aliyonitendea.”*+

30 Nilipita karibu na shamba la mtu mvivu,+

Karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na busara.*

31 Niliona limejaa magugu;

Ardhi ilifunikwa na miiba,

Na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.+

32 Nilitazama hilo na kulitia moyoni;

Nililiona na kujifunza somo hili:*

33 Lala kidogo, sinzia kidogo,

Kunja mikono kidogo ili upumzike,

34 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,

Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki