Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 29
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI ZILIZONAKILIWA NA WATU WA MFALME HEZEKIA (25:1–29:27)

Methali 29:1

Marejeo

  • +Kut 11:10; 2Nya 36:11-13
  • +1Sa 2:22-25; 2Nya 36:15, 16

Methali 29:2

Marejeo

  • +Est 3:13, 15

Methali 29:3

Marejeo

  • +Met 27:11
  • +Met 5:8-10; 6:26; Lu 15:13, 14

Methali 29:4

Marejeo

  • +2Sa 8:15; Zb 89:14; Isa 9:7

Methali 29:5

Marejeo

  • +Met 26:28; Ro 16:18

Methali 29:6

Marejeo

  • +Met 5:22
  • +Zb 97:11

Methali 29:7

Marejeo

  • +Zb 41:1
  • +Yer 5:28

Methali 29:8

Marejeo

  • +Yak 3:6
  • +Mdo 19:29, 35

Methali 29:9

Marejeo

  • +Met 26:4

Methali 29:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “lawama.”

  • *

    Au labda, “Lakini mnyoofu hujaribu kuulinda uhai wake.”

Marejeo

  • +Mwa 27:41; 1Sa 20:31; 1Yo 3:11, 12

Methali 29:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho yake yote.”

Marejeo

  • +Met 12:16; 25:28
  • +Met 14:29

Methali 29:12

Marejeo

  • +1Fa 21:8-11; Yer 38:4, 5

Methali 29:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hukutana pamoja.”

  • *

    Yaani, Huwapa uhai.

Methali 29:14

Marejeo

  • +Zb 72:1, 2
  • +Met 20:28; 25:5; Isa 9:7

Methali 29:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nidhamu; Adhabu.”

Marejeo

  • +Met 22:6, 15; 23:13; Efe 6:4

Methali 29:16

Marejeo

  • +Zb 37:34; Ufu 18:20

Methali 29:17

Marejeo

  • +Ebr 12:11

Methali 29:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maono ya kinabii; ufunuo.”

Marejeo

  • +Ho. 4:6
  • +Met 19:16; Yoh 13:17; Yak 1:25

Methali 29:19

Marejeo

  • +Met 26:3

Methali 29:20

Marejeo

  • +Mhu 5:2; Yak 1:19
  • +Met 14:29; 21:5

Methali 29:22

Marejeo

  • +Met 15:18
  • +1Sa 18:8, 9; Yak 3:16

Methali 29:23

Marejeo

  • +Est 6:6, 10; Yak 4:6
  • +Met 18:12; Mt 18:4; Flp 2:8, 9

Methali 29:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kiapo kinachohusisha laana.”

Marejeo

  • +Law 5:1

Methali 29:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kutetemeshwa na.”

Marejeo

  • +Mt 10:28; 26:75
  • +2Nya 14:11; Met 18:10

Methali 29:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kutafuta kibali cha.” Tnn., “kuutafuta uso wa.”

Marejeo

  • +Zb 62:12; Lu 18:6, 7

Methali 29:27

Marejeo

  • +Zb 119:115; 139:21
  • +Yoh 7:7; 1Yo 3:13

Jumla

Met. 29:1Kut 11:10; 2Nya 36:11-13
Met. 29:11Sa 2:22-25; 2Nya 36:15, 16
Met. 29:2Est 3:13, 15
Met. 29:3Met 27:11
Met. 29:3Met 5:8-10; 6:26; Lu 15:13, 14
Met. 29:42Sa 8:15; Zb 89:14; Isa 9:7
Met. 29:5Met 26:28; Ro 16:18
Met. 29:6Met 5:22
Met. 29:6Zb 97:11
Met. 29:7Zb 41:1
Met. 29:7Yer 5:28
Met. 29:8Yak 3:6
Met. 29:8Mdo 19:29, 35
Met. 29:9Met 26:4
Met. 29:10Mwa 27:41; 1Sa 20:31; 1Yo 3:11, 12
Met. 29:11Met 12:16; 25:28
Met. 29:11Met 14:29
Met. 29:121Fa 21:8-11; Yer 38:4, 5
Met. 29:14Zb 72:1, 2
Met. 29:14Met 20:28; 25:5; Isa 9:7
Met. 29:15Met 22:6, 15; 23:13; Efe 6:4
Met. 29:16Zb 37:34; Ufu 18:20
Met. 29:17Ebr 12:11
Met. 29:18Ho. 4:6
Met. 29:18Met 19:16; Yoh 13:17; Yak 1:25
Met. 29:19Met 26:3
Met. 29:20Mhu 5:2; Yak 1:19
Met. 29:20Met 14:29; 21:5
Met. 29:22Met 15:18
Met. 29:221Sa 18:8, 9; Yak 3:16
Met. 29:23Est 6:6, 10; Yak 4:6
Met. 29:23Met 18:12; Mt 18:4; Flp 2:8, 9
Met. 29:24Law 5:1
Met. 29:25Mt 10:28; 26:75
Met. 29:252Nya 14:11; Met 18:10
Met. 29:26Zb 62:12; Lu 18:6, 7
Met. 29:27Zb 119:115; 139:21
Met. 29:27Yoh 7:7; 1Yo 3:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 29:1-27

Methali

29 Mtu anayeifanya shingo yake kuwa ngumu baada ya kukaripiwa sana+

Atavunjwa kwa ghafla, naye hataweza kupona.+

 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia,

Lakini mwovu anapotawala, watu hulia kwa maumivu.+

 3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+

Lakini rafiki ya makahaba hutumia vibaya mali yake.+

 4 Kwa haki mfalme huleta uthabiti nchini,+

Lakini mtu anayetafuta rushwa huiharibu.

 5 Mtu anayemsifusifu jirani yake

Anautandaza wavu wa kuinasa miguu yake.+

 6 Kosa la mtu mbaya humnasa yeye mwenyewe,+

Lakini mwadilifu hupaza sauti kwa shangwe na kufurahi.+

 7 Mwadilifu hujali haki za kisheria za maskini,+

Lakini mwovu hajali kamwe.+

 8 Watu wanaojigamba huuwasha moto mji,+

Lakini wenye hekima hutuliza hasira.+

 9 Mtu mwenye hekima anapobishana na mpumbavu,

Kutakuwa na kelele na dhihaka, lakini hawataridhika.+

10 Watu wenye kiu ya damu humchukia mtu yeyote asiye na hatia,*+

Nao hujaribu kumuua mnyoofu.*

11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+

Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+

12 Mtawala anaposikiliza uwongo,

Watumishi wake wote watakuwa waovu.+

13 Maskini na mkandamizaji wanafanana katika jambo hili:*

Yehova huyapa nuru macho ya wote wawili.*

14 Mfalme anapowahukumu maskini kwa haki,+

Kiti chake cha ufalme kitakuwa salama daima.+

15 Fimbo* na karipio hufunza hekima,+

Lakini mtoto aliyeachiliwa humwaibisha mama yake.

16 Waovu wanapoongezeka, uovu huongezeka,

Lakini waadilifu watawaona wakianguka.+

17 Mtie nidhamu mwana wako naye atakupumzisha;

Atakufurahisha sana.+

18 Wakati hakuna maono,* watu hufanya wapendavyo,+

Lakini wenye furaha ni wale wanaoishika sheria.+

19 Mtumishi hatakubali kurekebishwa kwa maneno,

Kwa maana ingawa anaelewa, hatii.+

20 Je, umemwona mtu anayeongea bila kufikiri?+

Kuna tumaini zaidi kwa mjinga kuliko yeye.+

21 Mtumishi akibembelezwa tangu ujana wake,

Baadaye atakuwa mtu asiye na shukrani.

22 Mtu anayekasirika upesi huchochea ugomvi;+

Yeyote aliye mwepesi wa ghadhabu hufanya makosa mengi.+

23 Kiburi cha mtu kitamnyenyekeza,+

Lakini yeyote aliye mnyenyekevu rohoni atapata utukufu.+

24 Rafiki ya mwizi hujichukia mwenyewe.

Huenda akasikia tangazo la kutoa ushahidi,* lakini hatoi habari yoyote.+

25 Kuwaogopa* wanadamu ni mtego,+

Lakini yule anayemtumaini Yehova atalindwa.+

26 Watu wengi hutaka kukutana na* mfalme,

Lakini mtu hupata haki kutoka kwa Yehova.+

27 Mtu asiyetenda haki humchukiza mwadilifu,+

Lakini yule ambaye njia yake imenyooka humchukiza mwovu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki