Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Habakuki—Yaliyomo

      • Nabii asali ili Yehova achukue hatua (1-19)

        • Mungu atawaokoa watiwa-mafuta wake (13)

        • Nitashangilia katika Yehova (17, 18)

Habakuki 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyimbo za maombolezo.”

Habakuki 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “wakati wetu!”

  • *

    Au labda, “wakati wetu!”

Marejeo

  • +Omb 3:32

Habakuki 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kum 33:2; Amu 5:4; Zb 68:7, 8
  • +Kut 19:16

Habakuki 3:4

Marejeo

  • +Kut 13:21

Habakuki 3:5

Marejeo

  • +Hes 14:11, 12; 16:46; 25:1, 9

Habakuki 3:6

Marejeo

  • +Isa 13:13; Hag 2:21
  • +Kut 14:25; 23:27
  • +Zb 114:1, 4; Nah 1:5

Habakuki 3:7

Marejeo

  • +Kut 15:14, 15; Hes 22:3, 4

Habakuki 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yalikuwa wokovu.”

Marejeo

  • +Zb 114:1, 3; Isa 50:2; Nah 1:4
  • +Kum 33:26
  • +Zb 68:17

Habakuki 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mishale imepewa.”

  • *

    Au labda, “Viapo vya makabila vimesemwa.”

Habakuki 3:10

Marejeo

  • +Kut 19:18; Zb 114:1, 4
  • +Zb 77:16

Habakuki 3:11

Marejeo

  • +Yos 10:12
  • +Zb 77:17, 18

Habakuki 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ukayapura.”

Habakuki 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ulikipondaponda kichwa cha.”

  • *

    Tnn., “shingoni.”

Habakuki 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “fito.”

Habakuki 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na tumbo langu likatetemeka.”

Marejeo

  • +Zb 119:120; Yer 23:9; Da 8:27
  • +Zb 42:5; Isa 26:20; Omb 3:26

Habakuki 3:18

Marejeo

  • +Kut 15:2; 1Sa 2:1; Zb 18:2; 27:1; Isa 61:10

Habakuki 3:19

Marejeo

  • +Isa 12:2; Flp 4:13
  • +2Sa 22:34

Jumla

Hab. 3:2Omb 3:32
Hab. 3:3Kum 33:2; Amu 5:4; Zb 68:7, 8
Hab. 3:3Kut 19:16
Hab. 3:4Kut 13:21
Hab. 3:5Hes 14:11, 12; 16:46; 25:1, 9
Hab. 3:6Isa 13:13; Hag 2:21
Hab. 3:6Kut 14:25; 23:27
Hab. 3:6Zb 114:1, 4; Nah 1:5
Hab. 3:7Kut 15:14, 15; Hes 22:3, 4
Hab. 3:8Zb 114:1, 3; Isa 50:2; Nah 1:4
Hab. 3:8Kum 33:26
Hab. 3:8Zb 68:17
Hab. 3:10Kut 19:18; Zb 114:1, 4
Hab. 3:10Zb 77:16
Hab. 3:11Yos 10:12
Hab. 3:11Zb 77:17, 18
Hab. 3:16Zb 119:120; Yer 23:9; Da 8:27
Hab. 3:16Zb 42:5; Isa 26:20; Omb 3:26
Hab. 3:18Kut 15:2; 1Sa 2:1; Zb 18:2; 27:1; Isa 61:10
Hab. 3:19Isa 12:2; Flp 4:13
Hab. 3:192Sa 22:34
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Habakuki 3:1-19

Habakuki

3 Sala ya nabii Habakuki, aliyoitoa kama nyimbo za huzuni:*

 2 Ee Yehova, nimesikia habari kukuhusu.

Ninaogopa matendo yako, Ee Yehova.

Uyafufue kati ya ile miaka!*

Uyafanye yajulikane kati ya hiyo miaka.*

Nawe ukumbuke kuonyesha rehema wakati wa msukosuko.+

 3 Mungu alikuja kutoka Temani,

Yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani.+ (Sela)*

Utukufu wake ulifunika mbingu;+

Na dunia ikajaa sifa yake.

 4 Aling’aa kama nuru.+

Miale miwili ilimweka kutoka mkononi mwake,

Ambamo nguvu zake zilikuwa zimefichika.

 5 Ugonjwa hatari ulitangulia mbele zake,+

Na homa kali ilimfuata miguuni.

 6 Alisimama tuli na kuitikisa dunia.+

Alitazama mara moja tu, akayafanya mataifa yaruke.+

Milima ya milele ikavunjwavunjwa,

Na vilima vya kale vikainama chini.+

Vijia vya zamani za kale ni vyake.

 7 Niliona taabu katika mahema ya Kushani.

Vitambaa vya mahema ya nchi ya Midiani vilitetemeka.+

 8 Je, umeikasirikia mito, Ee Yehova,

Je, hasira yako inawaka dhidi ya mito?

Au unaikasirikia vikali bahari?+

Kwa sababu ulipanda farasi wako;+

Magari yako ya vita yalishinda.*+

 9 Upinde wako umefunuliwa na uko tayari.

Fito zimepewa* kazi kwa kiapo.* (Sela)

Unaipasua dunia kwa mito.

10 Milima ilipindapinda kwa maumivu ilipokuona.+

Mvua kubwa ilinyesha nchini.

Kilindi cha maji kilinguruma kwa sauti yake.+

Kikainua mikono yake juu.

11 Jua na mwezi vilisimama tuli kwenye makao yake yaliyo juu sana.+

Mishale yako ilitoka kama nuru.+

Radi ya mkuki wako ilikuwa nyangavu.

12 Ulipiga mwendo duniani kwa ghadhabu.

Ukayakanyaga-kanyaga* mataifa kwa hasira.

13 Ulitoka ili kuwaokoa watu wako, kumwokoa mtiwa-mafuta wako.

Ulimpondaponda kiongozi wa* nyumba ya waovu.

Ilifunuliwa wazi kuanzia kwenye msingi hadi juu.* (Sela)

14 Uliwachoma vichwa mashujaa wake kwa silaha* zake mwenyewe

Walipoondoka kwa kishindo ili kunitawanya.

Walishangilia sana kumnyafua kisiri mtu anayeteseka.

15 Ulivuka bahari kwa farasi wako,

Katikati ya mawimbi yaliyoinuka ya maji mengi.

16 Nilisikia nikatetemeka kwa ndani;*

Niliposikia sauti hiyo midomo yangu ilitetemeka.

Uozo ukaingia mifupani mwangu;+

Miguu yangu ikatetemeka.

Lakini nangojea kimyakimya ile siku ya taabu,+

Kwa sababu inawajia watu wanaotushambulia.

17 Ingawa huenda mtini usichanue,

Na huenda mizabibu isiwe na matunda;

Ingawa huenda mizeituni isizae,

Na mashamba yasiwe na mazao yoyote;

Ingawa huenda mazizi yasiwe na kondoo,

Na mabanda yasiwe na ng’ombe;

18 Lakini mimi nitashangilia katika Yehova;

Nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

19 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ni nguvu zangu;+

Ataifanya miguu yangu iwe kama ya paa

Na kuniwezesha kutembea mahali palipoinuka.+

Kwa kiongozi; kwa kutumia vinanda vyangu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki