Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 20:1

Marejeo

  • +Mwa 9:20, 21; Met 23:29-35
  • +Isa 28:7
  • +1Ko 6:10; Gal 5:21; Efe 5:18

Methali 20:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kuogopesha.”

  • *

    Au “mwanasimba mwenye manyoya marefu shingoni.”

Marejeo

  • +Met 19:12; Mhu 10:4
  • +1Fa 2:22-24

Methali 20:3

Marejeo

  • +Met 14:29; 2Ti 2:23
  • +Met 18:6; Mhu 7:9

Methali 20:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Atatazama wakati wa mavuno lakini hatapata chochote.”

Marejeo

  • +Met 6:10, 11; 2Th 3:10

Methali 20:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Makusudio.” Tnn., “Mashauri.”

Methali 20:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

Marejeo

  • +Ayu 1:1; Lu 1:5, 6
  • +Zb 37:25, 26

Methali 20:8

Marejeo

  • +1Fa 7:7
  • +1Fa 3:28; Zb 72:1, 4; Met 16:12

Methali 20:9

Marejeo

  • +Ayu 14:4
  • +Zb 51:5; Mhu 7:20; Yak 3:2

Methali 20:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mawe mawili ya kupimia yaliyo tofauti na vyombo viwili vya kupimia vilivyo tofauti.”

Marejeo

  • +Met 11:1; Amo 8:5; Mik 6:11

Methali 20:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mvulana.”

Marejeo

  • +Met 22:15

Methali 20:12

Marejeo

  • +Kut 4:11

Methali 20:13

Marejeo

  • +Met 10:4
  • +Met 12:11

Methali 20:14

Marejeo

  • +Law 19:13; Met 21:6

Methali 20:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 3:13-15

Methali 20:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mgeni.”

Marejeo

  • +Met 11:15
  • +Met 27:13

Methali 20:17

Marejeo

  • +Met 6:30, 31

Methali 20:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashauri.”

  • *

    Au “itaimarishwa.”

  • *

    Au “mwongozo wenye hekima.”

Marejeo

  • +Met 15:22
  • +Met 11:14; 24:6; Lu 14:31, 32

Methali 20:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayeshawishi kwa midomo yake.”

Marejeo

  • +Law 19:16; Met 11:13; 25:9, 23

Methali 20:20

Marejeo

  • +Kut 20:12; Law 20:9; Met 19:26

Methali 20:21

Marejeo

  • +Met 28:8, 20; 1Ti 6:9, 10

Methali 20:22

Marejeo

  • +Kum 32:35; Met 24:29; Mt 5:38, 39; Ro 12:17, 19; 1Th 5:15
  • +Zb 37:34
  • +Zb 34:7; 1Pe 4:19

Methali 20:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mawe mawili ya kupimia yaliyo tofauti yanamchukiza.”

Methali 20:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “njia ya kufuata.”

Marejeo

  • +Zb 37:23; Yer 10:23

Methali 20:25

Marejeo

  • +Law 27:9
  • +Hes 30:2; Mhu 5:4, 6; Mt 5:33

Methali 20:26

Marejeo

  • +Zb 101:8
  • +Isa 28:27

Methali 20:28

Marejeo

  • +Zb 61:6, 7
  • +Zb 21:7

Methali 20:29

Marejeo

  • +Mhu 11:9
  • +Law 19:32; Met 16:31

Methali 20:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “husugua na kuondoa.”

Marejeo

  • +Zb 119:71

Jumla

Met. 20:1Mwa 9:20, 21; Met 23:29-35
Met. 20:1Isa 28:7
Met. 20:11Ko 6:10; Gal 5:21; Efe 5:18
Met. 20:2Met 19:12; Mhu 10:4
Met. 20:21Fa 2:22-24
Met. 20:3Met 14:29; 2Ti 2:23
Met. 20:3Met 18:6; Mhu 7:9
Met. 20:4Met 6:10, 11; 2Th 3:10
Met. 20:7Ayu 1:1; Lu 1:5, 6
Met. 20:7Zb 37:25, 26
Met. 20:81Fa 7:7
Met. 20:81Fa 3:28; Zb 72:1, 4; Met 16:12
Met. 20:9Ayu 14:4
Met. 20:9Zb 51:5; Mhu 7:20; Yak 3:2
Met. 20:10Met 11:1; Amo 8:5; Mik 6:11
Met. 20:11Met 22:15
Met. 20:12Kut 4:11
Met. 20:13Met 10:4
Met. 20:13Met 12:11
Met. 20:14Law 19:13; Met 21:6
Met. 20:15Met 3:13-15
Met. 20:16Met 11:15
Met. 20:16Met 27:13
Met. 20:17Met 6:30, 31
Met. 20:18Met 15:22
Met. 20:18Met 11:14; 24:6; Lu 14:31, 32
Met. 20:19Law 19:16; Met 11:13; 25:9, 23
Met. 20:20Kut 20:12; Law 20:9; Met 19:26
Met. 20:21Met 28:8, 20; 1Ti 6:9, 10
Met. 20:22Kum 32:35; Met 24:29; Mt 5:38, 39; Ro 12:17, 19; 1Th 5:15
Met. 20:22Zb 37:34
Met. 20:22Zb 34:7; 1Pe 4:19
Met. 20:24Zb 37:23; Yer 10:23
Met. 20:25Law 27:9
Met. 20:25Hes 30:2; Mhu 5:4, 6; Mt 5:33
Met. 20:26Zb 101:8
Met. 20:26Isa 28:27
Met. 20:28Zb 61:6, 7
Met. 20:28Zb 21:7
Met. 20:29Mhu 11:9
Met. 20:29Law 19:32; Met 16:31
Met. 20:30Zb 119:71
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 20:1-30

Methali

20 Divai ni mdhihaki,+ kileo ni vurugu;+

Yeyote anayepotoshwa navyo hana hekima.+

 2 Kutisha* kwa mfalme ni kama mngurumo wa simba;*+

Yeyote anayemkasirisha anauhatarisha uhai wake mwenyewe.+

 3 Ni heshima kwa mtu kujiepusha na ugomvi,+

Lakini kila mjinga atajitumbukiza humo.+

 4 Mvivu halimi katika majira ya baridi kali,

Kwa hiyo atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, wakati hana chochote.*+

 5 Mawazo* yaliyo moyoni mwa mtu ni kama maji yenye kina,

Lakini mtu mwenye utambuzi huyateka.

 6 Watu wengi hutangaza upendo wao mshikamanifu,

Lakini ni nani anayeweza kumpata mtu mwaminifu?

 7 Mwadilifu anatembea kwa utimilifu wake.+

Watoto* wake wanaokuja baada yake watakuwa na furaha.+

 8 Mfalme anapoketi kwenye kiti cha ufalme ili kuhukumu,+

Hupepeta uovu wote kwa macho yake.+

 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+

Mimi ni safi kutokana na dhambi yangu”?+

10 Vipimo vya udanganyifu na mizani za uwongo*

—Vyote viwili humchukiza Yehova.+

11 Hata mtoto* hujulikana kwa matendo yake,

Kama tabia yake ni safi na ya unyoofu.+

12 Sikio linalosikia na jicho linaloona

—Yehova ameviumba vyote viwili.+

13 Usipende usingizi, la sivyo utakuwa maskini.+

Fungua macho yako, nawe utashiba mkate.+

14 “Si kizuri, si kizuri!” asema mnunuzi;

Kisha anaenda zake na kujigamba.+

15 Kuna dhahabu, pia kuna marijani* kwa wingi,

Lakini midomo ya ujuzi ni kitu chenye thamani.+

16 Chukua vazi la mtu ikiwa amemwekea dhamana mtu asiyemjua;+

Chukua dhamana kutoka kwake ikiwa alimfanyia hivyo mwanamke mgeni.*+

17 Mkate uliopatikana kwa udanganyifu ni mtamu kwa mtu,

Lakini baadaye kinywa chake kitajaa changarawe.+

18 Kwa mashauriano,* mipango itafanikiwa,*+

Na kwa mwelekezo stadi* pigana vita vyako.+

19 Mchongezi huzurura-zurura akifunua mazungumzo ya siri;+

Usishirikiane na mtu anayependa kupiga porojo.*

20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,

Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+

21 Urithi unaopatikana kwa pupa mwanzoni

Hautakuwa baraka mwishoni.+

22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+

Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+

23 Vipimo vya udanganyifu vinamchukiza* Yehova,

Na mizani za uwongo si nzuri.

24 Hatua za mtu huongozwa na Yehova;+

Mwanadamu anawezaje kuelewa njia yake mwenyewe?*

25 Ni mtego kwa mtu kutangaza haraka-haraka, “Ni kitakatifu!”+

Kisha anachunguza baadaye alichoweka nadhiri.+

26 Mfalme mwenye hekima huwapepeta waovu+

Na kuwakanyaga kwa gurudumu la kupuria.+

27 Pumzi ya mtu ni taa ya Yehova,

Inayochunguza kikamili utu wake wa ndani kabisa.

28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+

Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+

29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao,+

Na fahari ya wazee ni mvi zao.+

30 Michubuko na majeraha huondolea mbali* uovu,+

Na mapigo husafisha utu wa ndani kabisa wa mtu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki