Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zekaria—Yaliyomo

      • Maono ya 3: Mtu mwenye kamba ya kupimia (1-13)

        • Yerusalemu litapimwa (2)

        • Yehova, “ukuta wa moto kulizunguka pande zote” (5)

        • Kugusa mboni ya jicho la Mungu (8)

        • Watu wa mataifa mengi watajiunga na Yehova (11)

Zekaria 2:1

Marejeo

  • +Zek 1:16

Zekaria 2:2

Marejeo

  • +Yer 31:38, 39

Zekaria 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ambalo halijazingirwa na kuta.

Marejeo

  • +Isa 44:26; Yer 30:18; Eze 36:10
  • +Isa 33:20; Yer 31:24; 33:10, 11; Zek 8:4, 5

Zekaria 2:5

Marejeo

  • +Zb 125:2; Isa 26:1
  • +Isa 12:6; 60:19, 20; Hag 2:9

Zekaria 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwenye pande nne za mbingu.”

Marejeo

  • +Isa 11:12, 16
  • +Kum 28:64; Eze 5:12

Zekaria 2:7

Marejeo

  • +Isa 48:20; 52:2; Yer 50:8; Mik 4:10

Zekaria 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “baada ya utukufu.”

  • *

    Au “analigusa jicho langu.”

Marejeo

  • +2Fa 24:2; Mik 4:11
  • +Kum 32:9, 10; Zb 105:14, 15; 2Th 1:6

Zekaria 2:9

Marejeo

  • +Isa 14:2

Zekaria 2:10

Marejeo

  • +Isa 35:10
  • +Isa 40:9, 10
  • +Law 26:11, 12; Isa 12:6

Zekaria 2:11

Marejeo

  • +Zb 22:27; Isa 2:2, 3; Zek 8:22, 23

Zekaria 2:12

Marejeo

  • +2Nya 6:6; Zek 1:17

Zekaria 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanadamu.”

Jumla

Zek. 2:1Zek 1:16
Zek. 2:2Yer 31:38, 39
Zek. 2:4Isa 44:26; Yer 30:18; Eze 36:10
Zek. 2:4Isa 33:20; Yer 31:24; 33:10, 11; Zek 8:4, 5
Zek. 2:5Zb 125:2; Isa 26:1
Zek. 2:5Isa 12:6; 60:19, 20; Hag 2:9
Zek. 2:6Isa 11:12, 16
Zek. 2:6Kum 28:64; Eze 5:12
Zek. 2:7Isa 48:20; 52:2; Yer 50:8; Mik 4:10
Zek. 2:82Fa 24:2; Mik 4:11
Zek. 2:8Kum 32:9, 10; Zb 105:14, 15; 2Th 1:6
Zek. 2:9Isa 14:2
Zek. 2:10Isa 35:10
Zek. 2:10Isa 40:9, 10
Zek. 2:10Law 26:11, 12; Isa 12:6
Zek. 2:11Zb 22:27; Isa 2:2, 3; Zek 8:22, 23
Zek. 2:122Nya 6:6; Zek 1:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zekaria 2:1-13

Zekaria

2 Nami nikatazama juu na kumwona mtu akiwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake. 2 Kwa hiyo nikamuuliza: “Unaenda wapi?”

Akanijibu: “Naenda kupima jiji la Yerusalemu, ili nijue upana wake na urefu wake.”+

3 Na tazama! malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, na malaika mwingine akaja kukutana naye. 4 Kisha akamwambia: “Kimbia ukamwambie yule kijana, ‘“Yerusalemu litakaliwa+ kama eneo la mashambani lililo wazi,* kwa sababu ya watu wengi na mifugo mingi iliyomo.+ 5 Nitakuwa ukuta wa moto kulizunguka pande zote,”+ asema Yehova, “nami nitakuwa utukufu ndani yake.”’”+

6 “Njooni! Njooni! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini,”+ asema Yehova.

“Kwa maana nimewatawanya kuelekea pepo nne za mbinguni,”*+ asema Yehova.

7 “Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe unayekaa na binti ya Babiloni.+ 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+ 9 Kwa maana sasa nitaupunga mkono wangu dhidi yao, nao watakuwa nyara kwa watumwa wao wenyewe.’+ Na hakika mtajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma.

10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova. 11 “Mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu. 12 Yehova atamiliki Yuda kama fungu lake katika ardhi takatifu, naye atalichagua tena jiji la Yerusalemu.+ 13 Nyamazeni, enyi nyote wenye mwili,* mbele za Yehova, kwa maana anachukua hatua kutoka katika makao yake matakatifu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki