Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Amosi—Yaliyomo

      • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (1-16)

        • Moabu (1-3), Yuda (4, 5), Israeli (6-16)

Amosi 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matendo matatu ya uhalifu.”

Marejeo

  • +Yer 48:29, 30; Eze 25:8, 9; Sef 2:8

Amosi 2:2

Marejeo

  • +Yer 48:21, 24
  • +Isa 15:1

Amosi 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwamuzi.”

Marejeo

  • +Isa 16:14; Yer 48:7

Amosi 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +2Fa 17:19; Yer 2:13
  • +Law 26:14-16; 2Nya 36:14
  • +Yer 9:14

Amosi 2:5

Marejeo

  • +1Sa 12:15; 1Nya 28:9; 2Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 37:8; 52:12-14; Ho. 8:14

Amosi 2:6

Marejeo

  • +Kum 28:45; 2Fa 17:6, 7; Eze 23:4, 5; Ho. 4:1, 2
  • +Amo 5:11; 8:4-6

Amosi 2:7

Marejeo

  • +Amo 4:1
  • +Isa 10:1, 2; Amo 5:12

Amosi 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rehani.”

  • *

    Au “hekalu la.”

Marejeo

  • +Ho. 8:11; 10:1
  • +Kut 22:26; Kum 24:12

Amosi 2:9

Marejeo

  • +Hes 21:23-25; Yos 24:8; Zb 135:10, 11
  • +Kum 2:31-33

Amosi 2:10

Marejeo

  • +Kut 12:51
  • +Hes 14:34; Kum 2:7

Amosi 2:11

Marejeo

  • +1Sa 3:20; 1Fa 17:1; 19:19
  • +Hes 6:2; Amu 13:5

Amosi 2:12

Marejeo

  • +Hes 6:3, 4
  • +Isa 30:10, 11; Amo 7:12, 13

Amosi 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Marejeo

  • +Amo 9:1

Amosi 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye miguu myepesi.”

  • *

    Au “nafsi yake.”

Amosi 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye moyo mkuu.”

Marejeo

  • +Kum 28:25

Jumla

Amo. 2:1Yer 48:29, 30; Eze 25:8, 9; Sef 2:8
Amo. 2:2Yer 48:21, 24
Amo. 2:2Isa 15:1
Amo. 2:3Isa 16:14; Yer 48:7
Amo. 2:42Fa 17:19; Yer 2:13
Amo. 2:4Law 26:14-16; 2Nya 36:14
Amo. 2:4Yer 9:14
Amo. 2:51Sa 12:15; 1Nya 28:9; 2Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 37:8; 52:12-14; Ho. 8:14
Amo. 2:6Kum 28:45; 2Fa 17:6, 7; Eze 23:4, 5; Ho. 4:1, 2
Amo. 2:6Amo 5:11; 8:4-6
Amo. 2:7Amo 4:1
Amo. 2:7Isa 10:1, 2; Amo 5:12
Amo. 2:8Ho. 8:11; 10:1
Amo. 2:8Kut 22:26; Kum 24:12
Amo. 2:9Hes 21:23-25; Yos 24:8; Zb 135:10, 11
Amo. 2:9Kum 2:31-33
Amo. 2:10Kut 12:51
Amo. 2:10Hes 14:34; Kum 2:7
Amo. 2:111Sa 3:20; 1Fa 17:1; 19:19
Amo. 2:11Hes 6:2; Amu 13:5
Amo. 2:12Hes 6:3, 4
Amo. 2:12Isa 30:10, 11; Amo 7:12, 13
Amo. 2:14Amo 9:1
Amo. 2:16Kum 28:25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Amosi 2:1-16

Amosi

2 “Yehova anasema hivi:

‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Moabu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu aliiteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu kwa ajili ya chokaa.

 2 Kwa hiyo nitaishushia moto Moabu,

Nao utateketeza kabisa minara ya Keriothi yenye ngome;+

Moabu itakufa katika ghasia,

Kwa kelele za vita, kwa mlio wa pembe.+

 3 Nitamwondoa mtawala* miongoni mwake

Na kuwaua wakuu wake wote pamoja naye,”+ asema Yehova.’

 4 Yehova anasema hivi:

‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova,

Na kwa sababu hawakufuata masharti yake;+

Lakini uwongo uleule ambao mababu zao walifuata umewapotosha.+

 5 Kwa hiyo nitaishushia moto Yuda,

Nao utateketeza kabisa minara ya Yerusalemu yenye ngome.’+

 6 Yehova anasema hivi:

‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu wanamuuza mwadilifu ili wapate fedha,

Na maskini kwa jozi ya viatu.+

 7 Wanavikanyaga-kanyaga vichwa vya watu wa hali ya chini katika mavumbi ya dunia,+

Nao wanaziba njia ya wapole.+

Mtu na baba yake wanalala na msichana yuleyule,

Na hivyo kulichafua jina langu takatifu.

 8 Wanajinyoosha kando ya kila madhabahu+ juu ya nguo walizochukua kwa nguvu kutoka kwa maskini kama dhamana ya mkopo;*+

Na divai wanayokunywa katika nyumba ya* miungu yao waliipata kutoka kwa wale waliowatoza faini.’

 9 ‘Lakini ni mimi niliyemwangamiza Mwamori mbele yao,+

Aliyekuwa mrefu kama mierezi na mwenye nguvu kama mialoni;

Niliyaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.+

10 Nilikupandisha kutoka nchini Misri,+

Nami nikakufanya utembee kupitia nyikani kwa miaka 40,+

Ili umiliki nchi ya Mwamori.

11 Niliwainua baadhi ya wana wako kuwa manabii+

Na baadhi ya vijana wako wa kiume kuwa Wanadhiri.+

Je, sivyo ilivyo, enyi watu wa Israeli?’ asema Yehova.

12 ‘Lakini uliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+

Nawe ukawaamuru hivi manabii: “Hampaswi kutoa unabii.”+

13 Basi nitakupondaponda mahali pako,

Kama vile ambavyo gari la kukokotwa lililojazwa miganda ya nafaka iliyotoka kuvunwa linavyopondaponda kilicho njiani.

14 Mwenye mbio hatakuwa na mahali pa kukimbilia,+

Mwenye nguvu hatabaki na nguvu zake,

Na hakuna shujaa atakayeokoa uhai wake.*

15 Mwanamume anayeshika upinde hatasimama,

Mtu anayekimbia kwa kasi* hataponyoka,

Na mpanda farasi hataokoa uhai wake.*

16 Hata mashujaa wenye ujasiri* zaidi

Watakimbia uchi siku hiyo,’+ asema Yehova.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki