Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yoshua—Yaliyomo

      • Majiji ya Walawi (1-42)

        • Ya wazao wa Haruni (9-19)

        • Ya Wakohathi waliobaki (20-26)

        • Ya Wagershoni (27-33)

        • Ya Wamerari (34-40)

      • Ahadi za Yehova zatimia (43-45)

Yoshua 21:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Hes 34:17

Yoshua 21:2

Marejeo

  • +Yos 18:1
  • +Law 25:33, 34; Hes 35:2-4; Yos 14:4

Yoshua 21:3

Marejeo

  • +Hes 35:8
  • +Mwa 49:5, 7

Yoshua 21:4

Marejeo

  • +Mwa 46:11; Hes 3:27-31
  • +1Nya 6:54, 55
  • +Yos 19:1
  • +1Nya 6:60, 64

Yoshua 21:5

Marejeo

  • +1Nya 6:66
  • +1Nya 6:61, 70

Yoshua 21:6

Marejeo

  • +Kut 6:17; Hes 3:21, 22
  • +Hes 32:33; 1Nya 6:62

Yoshua 21:7

Marejeo

  • +Kut 6:19
  • +1Nya 6:63

Yoshua 21:8

Marejeo

  • +Hes 35:2, 5

Yoshua 21:9

Marejeo

  • +1Nya 6:64, 65

Yoshua 21:11

Marejeo

  • +Mwa 23:2; 35:27; Yos 15:13, 14; 20:7; Amu 1:10
  • +2Sa 2:1; 15:10; 1Nya 6:54-56

Yoshua 21:12

Marejeo

  • +Amu 1:20

Yoshua 21:13

Marejeo

  • +Hes 35:6, 15
  • +Yos 15:20, 54
  • +Yos 15:20, 42

Yoshua 21:14

Marejeo

  • +Yos 15:20, 48
  • +Yos 15:20, 50

Yoshua 21:15

Marejeo

  • +Yos 15:20, 51
  • +Yos 15:20, 49; 1Nya 6:57, 58

Yoshua 21:16

Marejeo

  • +Yos 19:1, 7
  • +Yos 15:20, 55

Yoshua 21:17

Marejeo

  • +Yos 9:3; 18:21, 25
  • +1Nya 6:57, 60

Yoshua 21:18

Marejeo

  • +Yer 1:1

Yoshua 21:19

Marejeo

  • +Law 25:33, 34; Hes 35:4

Yoshua 21:21

Marejeo

  • +Hes 35:11, 15
  • +Yos 20:7; 1Fa 12:1
  • +Yos 16:10

Yoshua 21:22

Marejeo

  • +Yos 16:1, 3; 18:11, 13

Yoshua 21:24

Marejeo

  • +Yos 10:12; Amu 1:35; 2Nya 28:18

Yoshua 21:25

Marejeo

  • +Yos 17:11

Yoshua 21:27

Marejeo

  • +Yos 21:6
  • +1Nya 6:71

Yoshua 21:28

Marejeo

  • +1Nya 6:72, 73
  • +Yos 19:12, 16

Yoshua 21:30

Marejeo

  • +1Nya 6:74, 75

Yoshua 21:31

Marejeo

  • +Yos 19:25, 31
  • +Yos 19:28, 31; Amu 1:31

Yoshua 21:32

Marejeo

  • +Hes 35:14, 15
  • +Yos 20:7

Yoshua 21:34

Marejeo

  • +Yos 21:7
  • +Yos 19:10, 11
  • +1Nya 6:77

Yoshua 21:35

Marejeo

  • +Amu 1:30

Yoshua 21:36

Marejeo

  • +Kum 4:41-43; Yos 20:8
  • +1Nya 6:78, 79

Yoshua 21:38

Marejeo

  • +1Nya 6:80, 81
  • +Yos 20:8, 9; 1Fa 22:3
  • +Mwa 32:2; 2Sa 2:8

Yoshua 21:39

Marejeo

  • +Hes 21:26; 32:37
  • +Hes 32:1

Yoshua 21:41

Marejeo

  • +Hes 35:5, 7

Yoshua 21:43

Marejeo

  • +Mwa 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:4
  • +Kut 23:30

Yoshua 21:44

Marejeo

  • +Kut 33:14; Kum 12:10; Yos 1:13; 11:23; 22:4
  • +Kum 28:7
  • +Kum 7:24; 31:3

Yoshua 21:45

Marejeo

  • +Yos 23:14; 1Fa 8:56; Ebr 6:18

Jumla

Yos. 21:1Hes 34:17
Yos. 21:2Yos 18:1
Yos. 21:2Law 25:33, 34; Hes 35:2-4; Yos 14:4
Yos. 21:3Hes 35:8
Yos. 21:3Mwa 49:5, 7
Yos. 21:4Mwa 46:11; Hes 3:27-31
Yos. 21:41Nya 6:54, 55
Yos. 21:4Yos 19:1
Yos. 21:41Nya 6:60, 64
Yos. 21:51Nya 6:66
Yos. 21:51Nya 6:61, 70
Yos. 21:6Kut 6:17; Hes 3:21, 22
Yos. 21:6Hes 32:33; 1Nya 6:62
Yos. 21:7Kut 6:19
Yos. 21:71Nya 6:63
Yos. 21:8Hes 35:2, 5
Yos. 21:91Nya 6:64, 65
Yos. 21:11Mwa 23:2; 35:27; Yos 15:13, 14; 20:7; Amu 1:10
Yos. 21:112Sa 2:1; 15:10; 1Nya 6:54-56
Yos. 21:12Amu 1:20
Yos. 21:13Hes 35:6, 15
Yos. 21:13Yos 15:20, 54
Yos. 21:13Yos 15:20, 42
Yos. 21:14Yos 15:20, 48
Yos. 21:14Yos 15:20, 50
Yos. 21:15Yos 15:20, 51
Yos. 21:15Yos 15:20, 49; 1Nya 6:57, 58
Yos. 21:16Yos 19:1, 7
Yos. 21:16Yos 15:20, 55
Yos. 21:17Yos 9:3; 18:21, 25
Yos. 21:171Nya 6:57, 60
Yos. 21:18Yer 1:1
Yos. 21:19Law 25:33, 34; Hes 35:4
Yos. 21:21Hes 35:11, 15
Yos. 21:21Yos 20:7; 1Fa 12:1
Yos. 21:21Yos 16:10
Yos. 21:22Yos 16:1, 3; 18:11, 13
Yos. 21:24Yos 10:12; Amu 1:35; 2Nya 28:18
Yos. 21:25Yos 17:11
Yos. 21:27Yos 21:6
Yos. 21:271Nya 6:71
Yos. 21:281Nya 6:72, 73
Yos. 21:28Yos 19:12, 16
Yos. 21:301Nya 6:74, 75
Yos. 21:31Yos 19:25, 31
Yos. 21:31Yos 19:28, 31; Amu 1:31
Yos. 21:32Hes 35:14, 15
Yos. 21:32Yos 20:7
Yos. 21:34Yos 21:7
Yos. 21:34Yos 19:10, 11
Yos. 21:341Nya 6:77
Yos. 21:35Amu 1:30
Yos. 21:36Kum 4:41-43; Yos 20:8
Yos. 21:361Nya 6:78, 79
Yos. 21:381Nya 6:80, 81
Yos. 21:38Yos 20:8, 9; 1Fa 22:3
Yos. 21:38Mwa 32:2; 2Sa 2:8
Yos. 21:39Hes 21:26; 32:37
Yos. 21:39Hes 32:1
Yos. 21:41Hes 35:5, 7
Yos. 21:43Mwa 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:4
Yos. 21:43Kut 23:30
Yos. 21:44Kut 33:14; Kum 12:10; Yos 1:13; 11:23; 22:4
Yos. 21:44Kum 28:7
Yos. 21:44Kum 7:24; 31:3
Yos. 21:45Yos 23:14; 1Fa 8:56; Ebr 6:18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yoshua 21:1-45

Yoshua

21 Viongozi wa koo* za Walawi wakaenda kwa kuhani Eleazari+ na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo* za makabila ya Israeli, 2 wakawaambia hivi huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani: “Yehova aliamuru kupitia Musa tupewe majiji ya kuishi na malisho ya mifugo yetu.”+ 3 Basi kwa agizo la Yehova, Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo+ na malisho yake kutoka katika urithi wao wenyewe.+

4 Kura ya kwanza ilikuwa ya koo za Wakohathi,+ na Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Haruni walipewa majiji 13 kwa kura katika maeneo ya kabila la Yuda,+ kabila la Simeoni,+ na kabila la Benjamini.+

5 Na Wakohathi waliobaki walipewa majiji kumi kwa kura katika maeneo ya koo za kabila la Efraimu,+ Dani, na katika eneo la nusu ya kabila la Manase.+

6 Na Wagershoni+ walipewa majiji 13 kwa kura katika maeneo ya koo za kabila la Isakari, Asheri, Naftali, na katika eneo la nusu ya kabila la Manase kule Bashani.+

7 Na Wamerari+ walipewa majiji 12 kulingana na koo zao katika maeneo ya kabila la Rubeni, Gadi, na Zabuloni.+

8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+

9 Yafuatayo ni majina ya majiji+ katika maeneo ya kabila la Yuda na kabila la Simeoni ambayo waliwapa 10 wana wa Haruni wa koo za Walawi Wakohathi, kwa kuwa kura ya kwanza ilikuwa yao. 11 Waliwapa Kiriath-arba+ (Arba alikuwa baba ya Waanaki), yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda, na malisho yake yote. 12 Lakini walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune mashamba ya jiji hilo na vijiji vyake kuwa urithi wake.+

13 Nao wakawapa wana wa kuhani Haruni jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Hebroni,+ na malisho yake, pia Libna+ na malisho yake, 14 Yatiri+ na malisho yake, Eshtemoa+ na malisho yake, 15 Holoni+ na malisho yake, Debiri+ na malisho yake, 16 Aini+ na malisho yake, Yuta+ na malisho yake, na Beth-shemeshi na malisho yake—majiji tisa katika maeneo ya makabila hayo mawili.

17 Na katika eneo la kabila la Benjamini: Gibeoni+ na malisho yake, Geba na malisho yake,+ 18 Anathothi+ na malisho yake, na Almoni na malisho yake—majiji manne.

19 Wazao wa Haruni, makuhani, walipewa jumla ya majiji 13 na malisho yake.+

20 Na Walawi waliobaki wa koo za Wakohathi walipewa majiji kwa kura katika eneo la kabila la Efraimu. 21 Waliwapa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake, 22 Kibsaimu na malisho yake, na Beth-horoni+ na malisho yake—majiji manne.

23 Na katika eneo la kabila la Dani: Elteke na malisho yake, Gibethoni na malisho yake, 24 Aiyaloni+ na malisho yake, Gath-rimoni na malisho yake—majiji manne.

25 Na katika eneo la nusu ya kabila la Manase: Taanaki+ na malisho yake na Gath-rimoni na malisho yake—majiji mawili.

26 Koo zilizobaki za Wakohathi zilipewa jumla ya majiji kumi na malisho yake.

27 Na Wagershoni+ wa koo za Walawi walipewa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji katika eneo la nusu ya kabila la Manase, yaani, jiji la Golani+ kule Bashani pamoja na malisho yake, na Beeshtera na malisho yake—majiji mawili.

28 Na katika eneo la kabila la Isakari:+ Kishioni na malisho yake, Daberathi+ na malisho yake, 29 Yarmuthi na malisho yake, na En-ganimu na malisho yake—majiji manne.

30 Na katika eneo la kabila la Asheri:+ Mishali na malisho yake, Abdoni na malisho yake, 31 Helkathi+ na malisho yake, na Rehobu+ na malisho yake—majiji manne.

32 Na katika eneo la kabila la Naftali: jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Kedeshi+ kule Galilaya na malisho yake, Hamoth-dori na malisho yake, na Kartani na malisho yake—majiji matatu.

33 Wagershoni walipewa jumla ya majiji 13 na malisho yake kulingana na koo zao.

34 Na koo za Wamerari,+ yaani, Walawi waliobaki, walipewa Yokneamu+ na malisho yake, Karta na malisho yake, katika eneo la kabila la Zabuloni,+ 35 Dimna na malisho yake, na Nahalali+ na malisho yake—majiji manne.

36 Na katika eneo la kabila la Rubeni: Beseri+ na malisho yake, Yahazi na malisho yake,+ 37 Kedemothi na malisho yake, na Mefaathi na malisho yake—majiji manne.

38 Na katika eneo la kabila la Gadi:+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi kule Gileadi+ na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake, 39 Heshboni+ na malisho yake, Yazeri+ na malisho yake—jumla ya majiji manne.

40 Majiji yote ambayo Wamerari walipewa kwa kura kulingana na koo zao, yaani, koo zilizobaki za Walawi, yalikuwa majiji 12.

41 Majiji yote ambayo Walawi walipewa katika maeneo ya Waisraeli yalikuwa majiji 48 pamoja na malisho yake.+ 42 Kila moja la majiji hayo lilizungukwa na malisho—hivyo ndivyo ilivyokuwa katika majiji hayo yote.

43 Basi Yehova akawapa Waisraeli nchi yote ambayo aliapa kwamba angewapa mababu zao,+ wakaimiliki na kuishi humo.+ 44 Yehova akawapa pia amani katika nchi yote, kama alivyowaapia mababu zao,+ na hakuna adui hata mmoja kati ya maadui wao wote aliyeweza kuwashinda.+ Yehova aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.+ 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova aliwaahidi Waisraeli; zote zilitimia.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki