Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Wanawake saba kwa mwanamume mmoja (1)

      • Atakachochipusha Yehova kitakuwa chenye utukufu (2-6)

Isaya 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, aibu ya kutoolewa na kutokuwa na watoto.

Marejeo

  • +Isa 3:25
  • +Mwa 30:22, 23; Lu 1:24, 25

Isaya 4:2

Marejeo

  • +Isa 30:23; Yoe 3:18; Zek 9:17

Isaya 4:3

Marejeo

  • +Kut 32:32, 33

Isaya 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinyesi cha.”

  • *

    Au “kuondoa.”

Marejeo

  • +Eze 36:25
  • +Eze 22:20-22

Isaya 4:5

Marejeo

  • +Kut 13:21; Hes 9:15; Zek 2:4, 5

Isaya 4:6

Marejeo

  • +Zb 121:5
  • +Isa 25:4

Jumla

Isa. 4:1Isa 3:25
Isa. 4:1Mwa 30:22, 23; Lu 1:24, 25
Isa. 4:2Isa 30:23; Yoe 3:18; Zek 9:17
Isa. 4:3Kut 32:32, 33
Isa. 4:4Eze 36:25
Isa. 4:4Eze 22:20-22
Isa. 4:5Kut 13:21; Hes 9:15; Zek 2:4, 5
Isa. 4:6Zb 121:5
Isa. 4:6Isa 25:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 4:1-6

Isaya

4 Siku hiyo, wanawake saba watamkamata mwanamume mmoja,+ wakisema:

“Tutakula mkate wetu wenyewe

Na kuvaa nguo zetu wenyewe;

Lakini turuhusu tu tuitwe kwa jina lako

Ili kuondoa aibu yetu.”*+

2 Siku hiyo kile ambacho Yehova atachipusha kitakuwa kizuri sana na chenye utukufu, na mazao ya nchi yatakuwa kitu cha kujivunia na urembo kwa ajili ya waokokaji wa Israeli.+ 3 Yeyote atakayebaki Sayuni na kuachwa Yerusalemu ataitwa mtakatifu, wale wote walio Yerusalemu walioandikwa kwa ajili ya uzima.+

4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+ 5 Yehova pia ataumba juu ya eneo lote la Mlima Sayuni na juu ya mahali pa makusanyiko yake wingu na moshi wakati wa mchana na moto mwangavu unaowaka wakati wa usiku;+ kwa maana juu ya utukufu wote kutakuwa na mahali pa kujificha. 6 Na kutakuwa na kibanda chenye kivuli cha kujikinga na joto wakati wa mchana,+ nacho kitakuwa kimbilio na ulinzi wakati wa dhoruba na mvua.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki