Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Amosi—Yaliyomo

      • Maono ya kikapu kilichojaa matunda ya wakati wa kiangazi (1-3)

      • Wakandamizaji washutumiwa (4-14)

        • Njaa ya kiroho (11)

Amosi 8:2

Marejeo

  • +Amo 4:12; 7:8

Amosi 8:3

Marejeo

  • +Ho. 10:5; Amo 5:23
  • +Amo 6:9, 10

Amosi 8:4

Marejeo

  • +Amo 2:6, 7

Amosi 8:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Hes 10:10
  • +Kut 20:8
  • +Law 19:35, 36; Ho. 12:7; Mik 6:10, 11

Amosi 8:6

Marejeo

  • +Law 25:39; Amo 2:6

Amosi 8:7

Marejeo

  • +Kum 33:26; Zb 68:34
  • +Ho. 8:13

Amosi 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dunia.”

Marejeo

  • +Ho. 4:3
  • +Amo 9:5

Amosi 8:9

Marejeo

  • +Mik 3:6

Amosi 8:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maombolezo.”

Marejeo

  • +Ho. 2:11

Amosi 8:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate.”

Marejeo

  • +Zb 74:9; Eze 7:26; Mt 4:4

Amosi 8:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mawio ya jua.”

Amosi 8:14

Marejeo

  • +Ho. 8:5; 10:5
  • +1Fa 12:28-30
  • +Amo 5:5
  • +2Fa 18:11; Ho. 13:16

Jumla

Amo. 8:2Amo 4:12; 7:8
Amo. 8:3Ho. 10:5; Amo 5:23
Amo. 8:3Amo 6:9, 10
Amo. 8:4Amo 2:6, 7
Amo. 8:5Hes 10:10
Amo. 8:5Kut 20:8
Amo. 8:5Law 19:35, 36; Ho. 12:7; Mik 6:10, 11
Amo. 8:6Law 25:39; Amo 2:6
Amo. 8:7Kum 33:26; Zb 68:34
Amo. 8:7Ho. 8:13
Amo. 8:8Ho. 4:3
Amo. 8:8Amo 9:5
Amo. 8:9Mik 3:6
Amo. 8:10Ho. 2:11
Amo. 8:11Zb 74:9; Eze 7:26; Mt 4:4
Amo. 8:14Ho. 8:5; 10:5
Amo. 8:141Fa 12:28-30
Amo. 8:14Amo 5:5
Amo. 8:142Fa 18:11; Ho. 13:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Amosi 8:1-14

Amosi

8 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova alinionyesha mambo haya: Tazama! Kulikuwa na kikapu chenye matunda ya wakati wa kiangazi. 2 Kisha akaniuliza, “Unaona nini, Amosi?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda ya wakati wa kiangazi.” Kisha Yehova akaniambia: “Mwisho wa watu wangu Waisraeli umefika. Sitawasamehe tena.+ 3 ‘Siku hiyo nyimbo za hekalu zitabadilika kuwa kilio kikubwa,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kutakuwa na mizoga mingi iliyotupwa kila mahali+—kimya cha ajabu!’

 4 Sikieni hili, ninyi mnaowakandamiza maskini

Na kuwaangamiza wapole nchini,+

 5 Mnaosema, ‘Sherehe ya mwezi mpya itakwisha lini,+ ili tuuze nafaka yetu,

Na Sabato+ itakwisha lini, tukauze nafaka?

Ili tupunguze kipimo cha efa*

Na kuongeza uzito wa shekeli,*

Kuipotosha mizani yetu ya udanganyifu;+

 6 Ili tuwanunue wenye uhitaji kwa fedha

Na maskini kwa jozi ya viatu,+

Na kuuza makapi ya nafaka.’

 7 Yehova ameapa kwa Fahari ya Yakobo,+

‘Sitasahau kamwe matendo yao yote.+

 8 Kwa sababu hiyo nchi* itatetemeka,

Na kila mkaaji nchini ataomboleza.+

Je, nchi yote haitapanda kama Mto Nile,

Na kuinuka na kushuka chini kama Mto Nile wa Misri?’+

 9 ‘Siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,

‘Nitalifanya jua litue wakati wa adhuhuri,

Nami nitaitia nchi giza siku nyangavu.+

10 Nitabadili sherehe zenu ziwe maombolezo+

Na nyimbo zenu zote ziwe nyimbo za huzuni.*

Nitavisha nyonga zote nguo za magunia na kukitia kila kichwa upara;

Nitafanya wakati huo uwe kama wakati wa kumwombolezea mwana wa pekee,

Na mwisho wake kama siku yenye uchungu.’

11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,

‘Nitakapoleta njaa kali nchini,

Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,

Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+

12 Watapepesuka kutoka bahari mpaka bahari

Na kutoka kaskazini mpaka mashariki.*

Watatangatanga wakitafuta neno la Yehova, lakini hawatalipata.

13 Siku hiyo mabikira warembo watazimia,

Na pia vijana wa kiume, kwa sababu ya kiu;

14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,

“Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+

Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+

Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki