Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Jihadhari kuhusiana na kutoa dhamana ya mkopo (1-5)

      • “Mwendee chungu, ewe mvivu” (6-11)

      • Mtu mwovu asiyefaa kitu (12-15)

      • Vitu saba ambavyo Yehova anachukia (16-19)

      • Jilinde dhidi ya mwanamke mwovu (20-35)

Methali 6:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “umemwekea dhamana.”

  • *

    Yaani, Unapomdhamini.

Marejeo

  • +Met 17:18
  • +Met 11:15; 20:16

Methali 6:2

Marejeo

  • +Met 18:7

Methali 6:3

Marejeo

  • +Mt 5:25

Methali 6:6

Marejeo

  • +Met 10:26; 26:13-15

Methali 6:8

Marejeo

  • +Met 30:24, 25

Methali 6:10

Marejeo

  • +Met 20:13; 24:33, 34; Mhu 4:5

Methali 6:11

Marejeo

  • +Met 13:4; 20:4; 24:30-34

Methali 6:12

Marejeo

  • +Met 16:27; Yak 3:6

Methali 6:13

Marejeo

  • +Met 10:10; 16:30

Methali 6:14

Marejeo

  • +Zb 36:1, 4; Isa 32:7; Mik 2:1
  • +Met 16:28; Ro 16:17

Methali 6:15

Marejeo

  • +Zb 73:12, 18

Methali 6:17

Marejeo

  • +Zb 101:5; Met 8:13; 16:5
  • +Met 12:22; Ufu 21:8
  • +Mwa 4:8, 10; Hes 35:31; Kum 27:25

Methali 6:18

Marejeo

  • +Met 11:20; Zek 8:17; Mal 2:16

Methali 6:19

Marejeo

  • +Kut 23:1
  • +Law 19:16; Gal 5:20, 21; Yak 3:14, 15

Methali 6:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “usiiache sheria.”

Marejeo

  • +Kum 21:18, 21; Efe 6:1

Methali 6:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “itakufundisha.”

Methali 6:23

Marejeo

  • +Zb 119:105
  • +Isa 51:4
  • +Met 4:13; Ebr 12:11

Methali 6:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mgeni.” Angalia Met 2:16.

Marejeo

  • +Mhu 7:26
  • +Met 5:3; 7:4, 5

Methali 6:25

Marejeo

  • +Mt 5:28; Yak 1:14, 15

Methali 6:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huiwinda nafsi yenye.”

Marejeo

  • +Met 29:3; Lu 15:16, 30

Methali 6:27

Marejeo

  • +Gal 6:7

Methali 6:29

Marejeo

  • +2Sa 11:4; 12:10, 11; Met 6:32-35; Ebr 13:4

Methali 6:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aijaze nafsi yake.”

Methali 6:31

Marejeo

  • +Kut 22:1, 4

Methali 6:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 2:18, 19; 5:20, 23; Mal 3:5; 1Ko 6:9, 10; Ebr 13:4

Methali 6:33

Marejeo

  • +Met 5:8, 9
  • +1Fa 15:5; 1Nya 5:1; Mt 1:6

Methali 6:34

Marejeo

  • +Mwa 39:19, 20

Methali 6:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ridhaa.”

Jumla

Met. 6:1Met 17:18
Met. 6:1Met 11:15; 20:16
Met. 6:2Met 18:7
Met. 6:3Mt 5:25
Met. 6:6Met 10:26; 26:13-15
Met. 6:8Met 30:24, 25
Met. 6:10Met 20:13; 24:33, 34; Mhu 4:5
Met. 6:11Met 13:4; 20:4; 24:30-34
Met. 6:12Met 16:27; Yak 3:6
Met. 6:13Met 10:10; 16:30
Met. 6:14Zb 36:1, 4; Isa 32:7; Mik 2:1
Met. 6:14Met 16:28; Ro 16:17
Met. 6:15Zb 73:12, 18
Met. 6:17Zb 101:5; Met 8:13; 16:5
Met. 6:17Met 12:22; Ufu 21:8
Met. 6:17Mwa 4:8, 10; Hes 35:31; Kum 27:25
Met. 6:18Met 11:20; Zek 8:17; Mal 2:16
Met. 6:19Kut 23:1
Met. 6:19Law 19:16; Gal 5:20, 21; Yak 3:14, 15
Met. 6:20Kum 21:18, 21; Efe 6:1
Met. 6:23Zb 119:105
Met. 6:23Isa 51:4
Met. 6:23Met 4:13; Ebr 12:11
Met. 6:24Mhu 7:26
Met. 6:24Met 5:3; 7:4, 5
Met. 6:25Mt 5:28; Yak 1:14, 15
Met. 6:26Met 29:3; Lu 15:16, 30
Met. 6:27Gal 6:7
Met. 6:292Sa 11:4; 12:10, 11; Met 6:32-35; Ebr 13:4
Met. 6:31Kut 22:1, 4
Met. 6:32Met 2:18, 19; 5:20, 23; Mal 3:5; 1Ko 6:9, 10; Ebr 13:4
Met. 6:33Met 5:8, 9
Met. 6:331Fa 15:5; 1Nya 5:1; Mt 1:6
Met. 6:34Mwa 39:19, 20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 6:1-35

Methali

6 Mwanangu, ikiwa umemdhamini* jirani yako,+

Ikiwa umempa mkono* mtu usiyemjua,+

 2 Ikiwa umenaswa na ahadi yako,

Ukakamatwa na maneno ya kinywa chako,+

 3 Mwanangu, fanya hivi ili ujiokoe,

Kwa maana umeanguka mikononi mwa jirani yako:

Nenda ujinyenyekeze mwenyewe na kumsihi haraka jirani yako.+

 4 Usiruhusu macho yako yapate usingizi,

Wala kope zako kusinzia.

 5 Jiokoe kama swala kutoka mikononi mwa mwindaji,

Kama ndege kutoka mikononi mwa mwindaji wa ndege.

 6 Mwendee chungu, ewe mvivu;+

Zichunguze njia zake uwe na hekima.

 7 Ingawa hana kamanda, ofisa, au mtawala,

 8 Yeye hutayarisha chakula chake wakati wa kiangazi,+

Na kukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

 9 Ewe mvivu, utaendelea kulala hapo mpaka lini?

Utaamka lini kutoka katika usingizi wako?

10 Lala kidogo, sinzia kidogo,

Kunja mikono kidogo ili upumzike,+

11 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,

Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+

12 Mtu mwovu asiyefaa kitu huzurura-zurura akisema maneno mapotovu;+

13 Hukonyeza jicho lake,+ hutoa ishara kwa mguu wake, na kuashiria kwa vidole vyake.

14 Kwa moyo uliopotoka,

Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+

15 Kwa hiyo, msiba wake utakuja ghafla;

Atavunjwa mara moja naye hataweza kupona.+

16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;

Naam, vitu saba vinavyomchukiza:

17 Macho ya kiburi,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

18 Moyo unaopanga njama za uovu,+ na miguu inayokimbilia haraka uovu,

19 Shahidi wa uwongo anayesema uwongo kila anapopumua,+

Na mtu yeyote anayepanda ugomvi miongoni mwa ndugu.+

20 Mwanangu, shika amri ya baba yako,

Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+

21 Zifunge daima kuzunguka moyo wako;

Zifunge shingoni mwako.

22 Unapotembea huku na huku, itakuongoza;

Unapolala, itakulinda;

Na unapoamka, itaongea nawe.*

23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+

Na sheria ni nuru,+

Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+

24 Yatakulinda dhidi ya mwanamke mwovu,+

Dhidi ya ulimi unaoshawishi wa mwanamke mwasherati.*+

25 Usiutamani urembo wake moyoni mwako+

Wala kukubali akunase kwa macho yake yanayovutia,

26 Kwa maana kahaba humfanya mtu abaki tu na kipande cha mkate,+

Lakini mke wa mwanamume mwingine huuwinda uhai wenye* thamani.

27 Je, mtu anaweza kukusanya moto kwenye kifua chake na mavazi yake yasiungue?+

28 Au je, mtu anaweza kutembea juu ya makaa yanayowaka moto na miguu yake isiungue?

29 Ndivyo ilivyo kwa mtu yeyote anayelala na mke wa jirani yake;

Hakuna yeyote anayemgusa mwanamke huyo atakayekosa kuadhibiwa.+

30 Watu hawamdharau mwizi

Akiiba ili ajishibishe* anapokuwa na njaa.

31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba;

Atatoa vitu vyote vyenye thamani vya nyumba yake.+

32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*

Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+

33 Atapata tu majeraha na kuvunjiwa heshima,+

Na aibu yake haitafutiliwa mbali.+

34 Kwa maana wivu humfanya mume awake hasira;

Hataonyesha huruma anapolipiza kisasi.+

35 Hatakubali fidia* yoyote;

Hutamtuliza, hata ukimpa zawadi kubwa kadiri gani.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki