Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sifa kwa Muumba

        • “Mwimbieni wimbo mpya” (3)

        • Yehova aumba kupitia neno lake na roho yake (6)

        • Taifa la Yehova lina furaha (12)

        • Jicho la Yehova hulinda (18)

Zaburi 33:1

Marejeo

  • +Flp 4:4

Zaburi 33:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mpigieni muziki.”

Zaburi 33:3

Marejeo

  • +Zb 40:3; 98:1; 149:1; Isa 42:10; Ufu 5:9

Zaburi 33:4

Marejeo

  • +Zb 12:6

Zaburi 33:5

Marejeo

  • +Ayu 37:23; Zb 11:7; 45:7
  • +Zb 145:16; Mdo 14:17

Zaburi 33:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pumzi ya.”

  • *

    Au “jeshi lote la mbinguni liliumbwa.”

Marejeo

  • +Ebr 11:3

Zaburi 33:7

Marejeo

  • +Mwa 1:9; Ayu 38:8-11; Met 8:29; Yer 5:22

Zaburi 33:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ardhi inayozaa.”

Marejeo

  • +Ufu 14:7

Zaburi 33:9

Marejeo

  • +Zb 148:4, 5
  • +Zb 119:90

Zaburi 33:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashauri ya.”

  • *

    Au “mawazo.”

Marejeo

  • +Isa 8:10; 19:3
  • +Zb 21:8, 11

Zaburi 33:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashauri.”

Marejeo

  • +Met 19:21; Isa 46:10

Zaburi 33:12

Marejeo

  • +Kum 33:29
  • +Zb 65:4; 135:4; 1Pe 2:9

Zaburi 33:13

Marejeo

  • +Zb 11:4; 14:2; Met 15:3; Ebr 4:13

Zaburi 33:15

Marejeo

  • +1Nya 28:9; Ayu 34:21; Met 24:12

Zaburi 33:16

Marejeo

  • +Yos 11:6
  • +2Nya 32:21; Zb 44:4, 5

Zaburi 33:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “la ushindi.”

Marejeo

  • +2Fa 7:6, 7; Zb 20:7; Met 21:31; Isa 31:1

Zaburi 33:18

Marejeo

  • +Ayu 36:7; Zb 34:15

Zaburi 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aokoe nafsi zao.”

Marejeo

  • +Isa 33:15, 16

Zaburi 33:20

Marejeo

  • +Kum 33:29

Zaburi 33:21

Marejeo

  • +Zb 28:7; Met 18:10

Zaburi 33:22

Marejeo

  • +Zb 32:10
  • +Mik 7:7

Jumla

Zab. 33:1Flp 4:4
Zab. 33:3Zb 40:3; 98:1; 149:1; Isa 42:10; Ufu 5:9
Zab. 33:4Zb 12:6
Zab. 33:5Ayu 37:23; Zb 11:7; 45:7
Zab. 33:5Zb 145:16; Mdo 14:17
Zab. 33:6Ebr 11:3
Zab. 33:7Mwa 1:9; Ayu 38:8-11; Met 8:29; Yer 5:22
Zab. 33:8Ufu 14:7
Zab. 33:9Zb 148:4, 5
Zab. 33:9Zb 119:90
Zab. 33:10Isa 8:10; 19:3
Zab. 33:10Zb 21:8, 11
Zab. 33:11Met 19:21; Isa 46:10
Zab. 33:12Kum 33:29
Zab. 33:12Zb 65:4; 135:4; 1Pe 2:9
Zab. 33:13Zb 11:4; 14:2; Met 15:3; Ebr 4:13
Zab. 33:151Nya 28:9; Ayu 34:21; Met 24:12
Zab. 33:16Yos 11:6
Zab. 33:162Nya 32:21; Zb 44:4, 5
Zab. 33:172Fa 7:6, 7; Zb 20:7; Met 21:31; Isa 31:1
Zab. 33:18Ayu 36:7; Zb 34:15
Zab. 33:19Isa 33:15, 16
Zab. 33:20Kum 33:29
Zab. 33:21Zb 28:7; Met 18:10
Zab. 33:22Zb 32:10
Zab. 33:22Mik 7:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 33:1-22

Zaburi

33 Pazeni sauti kwa shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+

Ni jambo linalofaa kwa wanyoofu kumsifu yeye.

 2 Mshukuruni Yehova kwa kinubi;

Mwimbieni sifa* kwa kinanda chenye nyuzi kumi.

 3 Mwimbieni wimbo mpya;+

Pigeni nyuzi kwa ustadi, na kupaza sauti kwa shangwe.

 4 Kwa maana neno la Yehova limenyooka,+

Na kila jambo analofanya linategemeka.

 5 Anapenda uadilifu na haki.+

Dunia imejaa upendo mshikamanifu wa Yehova.+

 6 Kwa neno la Yehova mbingu ziliumbwa,+

Na kwa roho ya* kinywa chake kila kitu kilichomo kiliumbwa.*

 7 Huyakusanya maji ya bahari kana kwamba ni bwawa;+

Huyaweka mawimbi makubwa ya maji katika maghala.

 8 Dunia yote na imwogope Yehova.+

Wakaaji wa nchi* na wamhofu.

 9 Kwa maana alisema, ikawa;+

Aliamuru, ikasimama imara.+

10 Yehova amevuruga njama za* mataifa;+

Ameharibu mipango* ya mataifa.+

11 Lakini maamuzi* ya Yehova yatasimama milele;+

Mawazo ya moyo wake ni ya kizazi baada ya kizazi.

12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+

Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+

13 Yehova anatazama chini kutoka mbinguni;

Anawaona wanadamu wote.+

14 Kutoka katika makao yake,

Anawakazia macho wakaaji wa dunia.

15 Yeye ndiye anayeumba mioyo ya wote;

Huchunguza kazi zao zote.+

16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa;+

Mtu hodari haokolewi na nguvu zake nyingi.+

17 Farasi ni tumaini la uwongo la wokovu;*+

Nguvu zake nyingi hazimhakikishii mtu kwamba ataponyoka.

18 Tazama! Jicho la Yehova linawalinda wale wanaomwogopa,+

Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu,

19 Ili awaokoe* kutoka katika kifo

Na kuwahifadhi hai wakati wa njaa kali.+

20 Tunamtarajia Yehova.

Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+

21 Mioyo yetu hushangilia kwa sababu yake,

Kwa maana tunalitumaini jina lake takatifu.+

22 Upendo wako mshikamanifu na ukae juu yetu, Ee Yehova,+

Tunapoendelea kukungojea.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki