Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 138
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu anajali, ingawa amekwezwa

        • ‘Ulijibu sala yangu’ (3)

        • ‘Hata katikati ya hatari, unaniokoa’ (7)

Zaburi 138:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Nitaipinga miungu mingine kwa kukupigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 9:1

Zaburi 138:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali pake patakatifu.”

  • *

    Au labda, “umelitukuza neno lako juu ya jina lako lote.”

Marejeo

  • +1Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 28:2
  • +Yoh 17:6

Zaburi 138:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “niwe na ujasiri katika nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 18:6
  • +Zb 29:11; Isa 12:2; 41:10

Zaburi 138:4

Marejeo

  • +Zb 102:15; Isa 60:3

Zaburi 138:5

Marejeo

  • +1Fa 8:10, 11

Zaburi 138:6

Marejeo

  • +1Sa 2:8; Zb 113:6-8; Isa 57:15
  • +Yak 4:6; 1Pe 5:5

Zaburi 138:7

Marejeo

  • +Zb 71:20

Zaburi 138:8

Marejeo

  • +Zb 103:17
  • +Ayu 14:15; Zb 71:18

Jumla

Zab. 138:1Zb 9:1
Zab. 138:21Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 28:2
Zab. 138:2Yoh 17:6
Zab. 138:3Zb 18:6
Zab. 138:3Zb 29:11; Isa 12:2; 41:10
Zab. 138:4Zb 102:15; Isa 60:3
Zab. 138:51Fa 8:10, 11
Zab. 138:61Sa 2:8; Zb 113:6-8; Isa 57:15
Zab. 138:6Yak 4:6; 1Pe 5:5
Zab. 138:7Zb 71:20
Zab. 138:8Zb 103:17
Zab. 138:8Ayu 14:15; Zb 71:18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 138:1-8

Zaburi

Wa Daudi.

138 Nitakusifu kwa moyo wangu wote.+

Mbele ya miungu mingine,

Nitaimba sifa.*

 2 Nitainama chini kuelekea hekalu lako takatifu,*+

Nami nitalisifu jina lako+

Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako.

Kwa maana umelitukuza neno lako na jina lako juu ya vitu vingine vyote.*

 3 Siku niliyokuita, ulinijibu;+

Ulinifanya niwe jasiri* na mwenye nguvu.+

 4 Wafalme wote wa dunia watakusifu wewe, Ee Yehova,+

Kwa maana watakuwa wamesikia ahadi ulizotoa.

 5 Wataimba kuhusu njia za Yehova,

Kwa maana utukufu wa Yehova ni mkuu.+

 6 Ingawa Yehova yuko juu, yeye huwaona wanyenyekevu,+

Lakini anajitenga mbali na wenye kiburi.+

 7 Hata nikitembea katikati ya hatari, utanihifadhi hai.+

Unaunyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya maadui wangu;

Mkono wako wa kuume utaniokoa.

 8 Yehova atayatimiza mambo yote kwa niaba yangu.

Ee Yehova, upendo wako mshikamanifu unadumu milele;+

Usiziache kazi za mikono yako.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki