Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 3 Yohana
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

3 Yohana—Yaliyomo

    • Salamu na sala (1-4)

    • Gayo apongezwa (5-8)

    • Diotrefe aliyependa makuu (9, 10)

    • Demetrio ashuhudiwa vema (11, 12)

    • Mipango ya kutembelea na salamu (13, 14)

3 Yohana 1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mzee.”

3 Yohana 2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yako inavyositawi.”

3 Yohana 3

Marejeo

  • +2Yo 4

3 Yohana 4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “sababu ya kushukuru.”

Marejeo

  • +1Ko 4:15; 2Ti 1:2; Tit 1:4; Flm 10

3 Yohana 5

Marejeo

  • +Ebr 13:2

3 Yohana 6

Marejeo

  • +Tit 3:13

3 Yohana 7

Marejeo

  • +1Ko 9:11, 12

3 Yohana 8

Marejeo

  • +Mt 10:41; Flm 22; 1Pe 4:9
  • +Ro 12:13

3 Yohana 9

Marejeo

  • +Mdo 20:29, 30
  • +Ro 12:10; Flp 2:3; Ebr 13:17

3 Yohana 10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akipiga porojo kutuhusu kwa maneno maovu.”

Marejeo

  • +Zb 101:5; Met 6:16, 19
  • +Mdo 15:25, 27; Efe 6:21; Flp 2:19; Kol 4:7; Tit 1:5

3 Yohana 11

Marejeo

  • +Ro 12:9; 1Pe 3:11
  • +1Yo 3:9
  • +1Yo 3:6, 10

Jumla

3 Yoh. 32Yo 4
3 Yoh. 41Ko 4:15; 2Ti 1:2; Tit 1:4; Flm 10
3 Yoh. 5Ebr 13:2
3 Yoh. 6Tit 3:13
3 Yoh. 71Ko 9:11, 12
3 Yoh. 8Mt 10:41; Flm 22; 1Pe 4:9
3 Yoh. 8Ro 12:13
3 Yoh. 9Mdo 20:29, 30
3 Yoh. 9Ro 12:10; Flp 2:3; Ebr 13:17
3 Yoh. 10Mdo 15:25, 27; Efe 6:21; Flp 2:19; Kol 4:7; Tit 1:5
3 Yoh. 10Zb 101:5; Met 6:16, 19
3 Yoh. 11Ro 12:9; 1Pe 3:11
3 Yoh. 111Yo 3:9
3 Yoh. 111Yo 3:6, 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
3 Yohana 1-14

Barua ya Tatu ya Yohana

1 Mwanamume mzee,* kwa Gayo mpendwa, ninayempenda kweli.

2 Mpendwa, ninasali kwamba katika mambo yote uendelee kusitawi na kuwa na afya njema, kama unavyositawi* sasa. 3 Kwa maana nilishangilia sana akina ndugu walipokuja na kutoa ushahidi kuhusu kweli unayoshika, unapoendelea kutembea katika kweli.+ 4 Sina shangwe kubwa* kuliko hii: kwamba nisikie watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli.+

5 Mpendwa, unaonyesha uaminifu kwa yale unayofanya kwa ajili ya akina ndugu, hata kama ni wageni.+ 6 Wametoa ushahidi kuhusu upendo wako mbele ya kutaniko. Tafadhali shughulikia safari yao kwa njia inayomfaa Mungu.+ 7 Kwa maana walisafiri kwa ajili ya jina lake, bila kuchukua kitu chochote+ kutoka kwa watu wa mataifa. 8 Kwa hiyo, tuna wajibu wa kuwakaribisha watu kama hao,+ ili tuwe wafanyakazi wenzi katika kweli.+

9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, anayependa kuwa wa kwanza kati yao,+ hakubali kwa heshima jambo lolote kutoka kwetu.+ 10 Hiyo ndiyo sababu nikija, nitayashughulikia matendo anayofanya kwa kueneza maneno mabaya kutuhusu.*+ Hatosheki na hayo, bali pia anakataa kuwakaribisha kwa heshima akina ndugu;+ na wale wanaotaka kuwakaribisha, anajaribu kuwazuia na kuwatupa nje ya kutaniko.

11 Mpendwa, usiige yaliyo mabaya, bali iga yaliyo mema.+ Mtu anayetenda mema anatokana na Mungu.+ Mtu anayetenda mabaya hajamwona Mungu.+ 12 Demetrio ameshuhudiwa vema nao wote na ile kweli yenyewe. Kwa kweli, sisi pia tunatoa ushahidi kumhusu, nanyi mnajua ushahidi tunaotoa ni wa kweli.

13 Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sitaki kuendelea kukuandikia kwa kalamu na wino. 14 Hata hivyo, ninatumaini kukuona hivi karibuni, nasi tutazungumza uso kwa uso.

Na uwe na amani.

Rafiki wanakutumia salamu zao. Wape rafiki salamu zangu kwa jina.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki