Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sefania 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Sefania—Yaliyomo

      • Mtafuteni Yehova kabla ya siku yake ya hasira (1-3)

        • Tafuteni uadilifu na upole (3)

        • “Huenda mtafichwa” (3)

      • Mataifa jirani yahukumiwa (4-15)

Sefania 2:1

Marejeo

  • +Yoe 1:14; 2:15, 16
  • +Isa 1:4; Yer 6:15

Sefania 2:2

Marejeo

  • +2Fa 23:26; 2Nya 36:16, 17; Yer 23:20; Omb 4:11

Sefania 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanyenyekevu.”

  • *

    Tnn., “hukumu yake.”

  • *

    Au “unyenyekevu.”

  • *

    Au “Inaelekea.”

Marejeo

  • +Isa 55:6; Amo 5:6
  • +Mwa 7:13, 16; Isa 26:20; Yoe 2:12, 14; Amo 5:15

Sefania 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhuhuri.”

Marejeo

  • +Yer 47:5
  • +Yer 25:17, 20; Amo 1:6-8; Zek 9:5, 6

Sefania 2:5

Marejeo

  • +Eze 25:16, 17

Sefania 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atawatunza.”

Marejeo

  • +Isa 11:11; Yer 31:7; Hag 1:12
  • +Zb 126:1; Yer 23:3; Eze 39:25; Amo 9:14; Mik 2:12; 4:10; Sef 3:20

Sefania 2:8

Marejeo

  • +Yer 48:26, 27; Eze 25:8, 9
  • +Yer 49:1; Eze 25:3
  • +Zb 83:2, 4

Sefania 2:9

Marejeo

  • +Eze 25:11; Amo 2:1, 2
  • +Mwa 19:24, 25
  • +Amo 1:13-15; Yud 7

Sefania 2:10

Marejeo

  • +Isa 16:6; Yer 48:29

Sefania 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atawatisha.”

  • *

    Au “ataidhoofisha.”

  • *

    Au “vitamwabudu.”

Marejeo

  • +Zb 22:27; Mal 1:11

Sefania 2:12

Marejeo

  • +Isa 43:3; Eze 30:4, 5

Sefania 2:13

Marejeo

  • +Nah 3:7

Sefania 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kila mnyama wa mwituni katika taifa.”

Sefania 2:15

Marejeo

  • +Nah 3:1, 19

Jumla

Sef. 2:1Yoe 1:14; 2:15, 16
Sef. 2:1Isa 1:4; Yer 6:15
Sef. 2:22Fa 23:26; 2Nya 36:16, 17; Yer 23:20; Omb 4:11
Sef. 2:3Isa 55:6; Amo 5:6
Sef. 2:3Mwa 7:13, 16; Isa 26:20; Yoe 2:12, 14; Amo 5:15
Sef. 2:4Yer 47:5
Sef. 2:4Yer 25:17, 20; Amo 1:6-8; Zek 9:5, 6
Sef. 2:5Eze 25:16, 17
Sef. 2:7Isa 11:11; Yer 31:7; Hag 1:12
Sef. 2:7Zb 126:1; Yer 23:3; Eze 39:25; Amo 9:14; Mik 2:12; 4:10; Sef 3:20
Sef. 2:8Yer 48:26, 27; Eze 25:8, 9
Sef. 2:8Yer 49:1; Eze 25:3
Sef. 2:8Zb 83:2, 4
Sef. 2:9Eze 25:11; Amo 2:1, 2
Sef. 2:9Mwa 19:24, 25
Sef. 2:9Amo 1:13-15; Yud 7
Sef. 2:10Isa 16:6; Yer 48:29
Sef. 2:11Zb 22:27; Mal 1:11
Sef. 2:12Isa 43:3; Eze 30:4, 5
Sef. 2:13Nah 3:7
Sef. 2:15Nah 3:1, 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Sefania 2:1-15

Sefania

2 Kusanyikeni pamoja, naam, jikusanyeni,+

Ewe taifa lisiloona aibu.+

 2 Kabla amri haijatekelezwa,

Kabla siku hiyo haijapeperuka kama makapi,

Kabla hasira inayowaka ya Yehova haijaja juu yenu,+

Kabla siku ya hasira ya Yehova haijaja juu yenu,

 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,

Mnaoshika amri zake za uadilifu.*

Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.*

Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

 4 Kwa maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa mahame;

Na Ashkeloni litafanywa ukiwa.+

Waashdodi watafukuzwa kweupe kabisa wakati wa mchana,*

Na Ekroni litang’olewa.+

 5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+

Neno la Yehova liko dhidi yenu.

Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,

Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.

 6 Na eneo la pwani litakuwa eneo la malisho,

Lenye visima kwa ajili ya wachungaji na mazizi ya mawe kwa ajili ya kondoo.

 7 Litakuwa eneo la watu waliobaki wa nyumba ya Yuda;+

Watalisha huko.

Jioni watalala chini katika nyumba za Ashkeloni.

Kwa maana Yehova Mungu wao atawaelekezea uangalifu,*

Naye atawakusanya na kuwarudisha mateka wao.”+

 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+

Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+

 9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

“Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

Na Waamoni kama Gomora,+

Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

Watu wangu waliobaki watawapora,

Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

10 Hayo ndiyo watakayopata badala ya kiburi chao,+

Kwa sababu waliwadhihaki na kujikweza dhidi ya watu wa Yehova wa majeshi.

11 Yehova atawaogopesha sana;*

Kwa maana ataiharibu kabisa* miungu yote ya dunia,

Na visiwa vyote vya mataifa vitamwinamia,*+

Kila kisiwa kikiwa mahali pake.

12 Ninyi Waethiopia mtauawa pia kwa upanga wangu.+

13 Ataunyoosha mkono wake kuelekea kaskazini na kuangamiza Ashuru,

Naye atalifanya Ninawi liwe ukiwa,+ liwe kavu kama jangwa.

14 Mifugo italala ndani yake, kila aina ya wanyama wa mwituni.*

Mwari na nungunungu watalala usiku kati ya nguzo zake zilizoanguka.

Sauti itaimba dirishani.

Kutakuwa na uharibifu kwenye kizingiti;

Kwa maana atafunua mbao za mierezi zinazopamba kuta.

15 Hili ndilo jiji lenye kiburi lililokuwa likikaa kwa usalama,

Lililokuwa likisema moyoni mwake, ‘Mimi ndiye, na hakuna mwingine yeyote.’

Jinsi ambavyo limekuwa kitu chenye kutisha,

Mahali ambapo wanyama wa mwituni wanalala!

Kila mtu anayepita karibu nalo atapiga mluzi na kutikisa ngumi yake.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki