Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 14:1

Marejeo

  • +Met 24:3; 31:26

Methali 14:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zimepotoka.”

Methali 14:5

Marejeo

  • +Met 6:16, 19; 19:5

Methali 14:6

Marejeo

  • +Met 18:15

Methali 14:7

Marejeo

  • +Met 13:20

Methali 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “wapumbavu huwadanganya wengine.”

Marejeo

  • +Met 14:12

Methali 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hufanya mzaha wanapoambiwa wafanye marekebisho.”

  • *

    Au “Lakini kuna nia njema kati ya wanyoofu.”

Marejeo

  • +Met 10:23; 30:20

Methali 14:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uchungu wa nafsi yake.”

Methali 14:11

Marejeo

  • +Met 21:12

Methali 14:12

Marejeo

  • +Met 30:12
  • +Met 16:25

Methali 14:14

Marejeo

  • +Met 1:32
  • +Gal 6:7, 8

Methali 14:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Asiye na uzoefu.”

Marejeo

  • +Ne 6:2, 3; Met 27:12

Methali 14:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ana hasira kali.”

Methali 14:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenye uwezo wa kufikiri.”

Marejeo

  • +Met 12:16; 16:32

Methali 14:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Asiye na uzoefu.”

Marejeo

  • +Met 4:7-9

Methali 14:20

Marejeo

  • +Met 19:7
  • +Met 19:4

Methali 14:21

Marejeo

  • +Zb 41:1; Met 19:17; Isa 58:7, 8

Methali 14:22

Marejeo

  • +Ayu 42:10; Zb 25:10

Methali 14:23

Marejeo

  • +Met 28:19

Methali 14:24

Marejeo

  • +Met 27:22

Methali 14:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi.”

Methali 14:26

Marejeo

  • +Zb 34:9; Ro 8:31
  • +Met 18:10; Yer 15:11

Methali 14:28

Marejeo

  • +1Fa 4:21

Methali 14:29

Marejeo

  • +Met 17:27; Yak 1:19
  • +Met 25:28; 29:11; Mhu 7:9

Methali 14:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “afya.”

Marejeo

  • +Mwa 37:3, 4; 1Sa 18:8, 9

Methali 14:31

Marejeo

  • +Kum 24:14, 15; Zb 12:5
  • +Mt 19:21

Methali 14:32

Marejeo

  • +Met 2:7; 10:9

Methali 14:33

Marejeo

  • +Met 15:28

Methali 14:34

Marejeo

  • +Kum 4:6

Methali 14:35

Marejeo

  • +2Sa 15:32-34; Met 22:29
  • +1Fa 2:44, 46

Jumla

Met. 14:1Met 24:3; 31:26
Met. 14:5Met 6:16, 19; 19:5
Met. 14:6Met 18:15
Met. 14:7Met 13:20
Met. 14:8Met 14:12
Met. 14:9Met 10:23; 30:20
Met. 14:11Met 21:12
Met. 14:12Met 30:12
Met. 14:12Met 16:25
Met. 14:14Met 1:32
Met. 14:14Gal 6:7, 8
Met. 14:15Ne 6:2, 3; Met 27:12
Met. 14:17Met 12:16; 16:32
Met. 14:18Met 4:7-9
Met. 14:20Met 19:7
Met. 14:20Met 19:4
Met. 14:21Zb 41:1; Met 19:17; Isa 58:7, 8
Met. 14:22Ayu 42:10; Zb 25:10
Met. 14:23Met 28:19
Met. 14:24Met 27:22
Met. 14:26Zb 34:9; Ro 8:31
Met. 14:26Met 18:10; Yer 15:11
Met. 14:281Fa 4:21
Met. 14:29Met 17:27; Yak 1:19
Met. 14:29Met 25:28; 29:11; Mhu 7:9
Met. 14:30Mwa 37:3, 4; 1Sa 18:8, 9
Met. 14:31Kum 24:14, 15; Zb 12:5
Met. 14:31Mt 19:21
Met. 14:32Met 2:7; 10:9
Met. 14:33Met 15:28
Met. 14:34Kum 4:6
Met. 14:352Sa 15:32-34; Met 22:29
Met. 14:351Fa 2:44, 46
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 14:1-35

Methali

14 Mwanamke ambaye kwa kweli ana hekima huijenga nyumba yake,+

Lakini aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

 2 Mtu anayetembea kwa unyoofu wake anamwogopa Yehova,

Lakini yule ambaye njia zake ni zenye hila* humdharau Yeye.

 3 Fimbo ya kiburi imo kinywani mwa mpumbavu,

Lakini midomo ya wenye hekima itawalinda.

 4 Mahali pasipo na ng’ombe, hori ni safi,

Lakini nguvu za ng’ombe dume huleta mavuno mengi.

 5 Shahidi mwaminifu hatasema uwongo,

Lakini shahidi wa uwongo husema uwongo kila anapopumua.+

 6 Mtu mwenye dhihaka hutafuta hekima lakini haipati kamwe,

Lakini ujuzi humjia kwa urahisi mtu aliye na uelewaji.+

 7 Kaa mbali na mtu mpumbavu,

Kwa maana hutapata ujuzi katika midomo yake.+

 8 Kwa hekima, mtu mwerevu huelewa njia anayofuata,

Lakini wapumbavu hudanganywa* na ujinga wao.+

 9 Wajinga hufanyia mzaha hatia,*+

Lakini wanyoofu wako tayari kufanya mapatano.*

10 Moyo hujua uchungu wake wenyewe,*

Na hakuna mgeni yeyote anayeweza kushiriki shangwe yake.

11 Nyumba ya mwovu itaharibiwa,+

Lakini hema la mnyoofu litasitawi.

12 Kuna njia inayoonekana kuwa sawa machoni pa mtu,+

Lakini mwishowe inaongoza kwenye kifo.+

13 Hata katika kicheko moyo unaweza kuhisi maumivu,

Na shangwe inaweza kuishia katika huzuni.

14 Mtu aliyepotoka moyoni atavuna matokeo ya njia zake,+

Lakini mtu mwema huvuna thawabu ya matendo yake.+

15 Mjinga* huamini kila neno,

Lakini mwerevu hutafakari kila hatua.+

16 Mwenye hekima hujihadhari na kuepuka uovu,

Lakini mpumbavu hajali,* naye anajiamini kupita kiasi.

17 Yule anayekasirika upesi hutenda kipumbavu,+

Lakini mtu anayechanganua mambo* huchukiwa.

18 Mjinga* atarithi upumbavu,

Lakini werevu huvikwa ujuzi kama taji.+

19 Watu wabaya watalazimika kuinama chini mbele ya watu wema,

Na waovu watainama katika malango ya waadilifu.

20 Maskini huchukiwa hata na majirani zake,+

Lakini tajiri ana marafiki wengi.+

21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,

Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+

22 Je, wale wanaopanga njama zinazodhuru hawatapotea njia?

Lakini wanaokusudia kutenda mema watapata upendo mshikamanifu na uaminifu.+

23 Kila aina ya kazi ngumu ina faida,

Lakini maneno matupu huleta umaskini.+

24 Taji la wenye hekima ni mali yao;

Lakini ujinga wa wapumbavu ni ujinga tu.+

25 Shahidi wa kweli huokoa uhai,*

Lakini shahidi mdanganyifu husema uwongo kila anapopumua.

26 Anayemwogopa Yehova humtumaini kwa uthabiti,+

Na woga huo utakuwa kimbilio kwa watoto wake.+

27 Kumwogopa Yehova ni chemchemi ya uzima,

Humwepusha mtu na mitego ya kifo.

28 Umati wa watu ni fahari ya mfalme,+

Lakini mtawala asiye na raia huangamia.

29 Mtu asiyekasirika upesi ana utambuzi mwingi,+

Lakini asiye na subira hudhihirisha upumbavu.+

30 Moyo mtulivu huupa mwili uzima,*

Lakini wivu huozesha mifupa.+

31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+

Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+

32 Mtu mwovu ataangamizwa na uovu wake mwenyewe,

Lakini mwadilifu atapata kimbilio katika utimilifu wake.+

33 Hekima hutulia katika moyo wa mtu mwenye uelewaji,+

Lakini miongoni mwa wapumbavu ni lazima ijitangaze.

34 Uadilifu hulikweza taifa,+

Lakini dhambi hulifedhehesha taifa.

35 Mfalme hufurahishwa na mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+

Lakini hasira yake huwaka dhidi ya yule anayetenda kwa aibu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki