Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 127
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Bila Mungu, kila kitu ni bure

        • “Yehova asipoijenga nyumba” (1)

        • Watoto ni thawabu kutoka kwa Mungu (3)

Zaburi 127:1

Marejeo

  • +Met 3:6; 10:22; 16:3
  • +Isa 27:3

Zaburi 127:2

Marejeo

  • +Zb 3:5; Mhu 5:12

Zaburi 127:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wana.”

Marejeo

  • +Mwa 33:4, 5; 48:3, 4; 1Sa 2:21
  • +Mwa 41:51, 52; Law 26:9; Ayu 42:12, 13; Zb 128:3

Zaburi 127:4

Marejeo

  • +Met 17:6

Zaburi 127:5

Marejeo

  • +Mwa 50:23

Jumla

Zab. 127:1Met 3:6; 10:22; 16:3
Zab. 127:1Isa 27:3
Zab. 127:2Zb 3:5; Mhu 5:12
Zab. 127:3Mwa 33:4, 5; 48:3, 4; 1Sa 2:21
Zab. 127:3Mwa 41:51, 52; Law 26:9; Ayu 42:12, 13; Zb 128:3
Zab. 127:4Met 17:6
Zab. 127:5Mwa 50:23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 127:1-5

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Sulemani.

127 Yehova asipoijenga nyumba,

Wale wanaoijenga wanafanya kazi ngumu ya bure.+

Yehova asipolilinda jiji,+

Mlinzi anakesha bure.

 2 Mnajisumbua bure kuamka mapema,

Na kuchelewa kulala,

Mkitaabika kupata chakula,

Kwa maana yeye huwaandalia anaowapenda na kuwapa usingizi.+

 3 Tazama! Watoto* ni urithi kutoka kwa Yehova;+

Uzao wa tumbo ni thawabu.+

 4 Kama mishale mkononi mwa mwanamume hodari,

Ndivyo walivyo watoto ambao mtu anawazaa akiwa kijana.+

 5 Mwenye furaha ni mwanamume anayelijaza podo lake watoto.+

Hawataaibishwa,

Kwa maana watazungumza na maadui katika lango la jiji.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki