Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 18
  • Tunathamini Fidia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tunathamini Fidia
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Ulitoa Mwana Wako Mwenye Thamani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shangwe Yetu ya Milele
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Atakupa Nguvu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 18

WIMBO NA. 18

Tunathamini Fidia

(Luka 22:20)

  1. 1. Twasimama mbele

    za kiti cha enzi,

    Yah ulituonyesha

    Upendo mkubwa.

    Ulitoa Mwana wako

    wa pekee.

    Ni zawadi kubwa sana,

    twaithamini.

    (KORASI)

    Alimwaga damu yake.

    Tupate kuwekwa huru.

    Twashukuru,

    kwa moyo wetu wote milele.

  2. 2. Kwa hiari Yesu

    Katoa dhabihu.

    Na kwa upendo katoa

    Uhai wake.

    Kafungua njia

    Tupate wokovu.

    Sasa tumaini la

    uzima tunalo.

    (KORASI)

    Alimwaga damu yake.

    Tupate kuwekwa huru.

    Twashukuru,

    kwa moyo wetu wote milele.

(Ona pia Ebr. 9:13, 14; 1 Pet. 1:18, 19.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki