Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 40
  • Sisi Ni wa Nani?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sisi Ni wa Nani?
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Uko “Tayari Kutii”?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Atakupa Nguvu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sikiliza, Tii, Upate Baraka
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 40

WIMBO NA. 40

Sisi Ni wa Nani?

(Waroma 14:8)

  1. 1. Wewe ni wa nani?

    Unamtii nani?

    Yule unayemwinamia,

    Huyo ndiye Mungu wako.

    Miungu wawili,

    Huwezi kuabudu.

    Hatimaye uamuzi wako,

    Wategemea moyo.

  2. 2. Wewe ni wa nani?

    Utamtii nani?

    Yupo wa kweli, yupo mwongo.

    Basi amua mwenyewe.

    Je, ni Kaisari

    Utakayemtii?

    Ama Yehova Mungu wa kweli

    Na kumtumikia?

  3. 3. Mimi ni wa nani?

    Yehova nitatii.

    Nitamtumikia Yeye,

    Niweke nadhiri zangu.

    Alininunua,

    Nishikamane naye.

    Nitayafanya mapenzi yake;

    Nitamsifu Yeye.

(Ona pia Yos. 24:15; Zab. 116:​14, 18; 2 Tim. 2:19.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki