Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 67
  • “Lihubiri Neno”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Lihubiri Neno”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kutafuta Marafiki wa Amani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Jinsi Habari Njema Inavyohubiriwa
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Njooni Kwenye Mlima wa Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Songeni Mbele, Tangazeni Ufalme!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 67

WIMBO NA. 67

“Lihubiri Neno”

(2 Timotheo 4:2)

  1. 1. Mungu ametuamuru;

    Ametupa kazi ya kufanya.

    Sikuzote tuwe tayari,

    Kuwapa wengine tumaini.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

  2. 2. Hata tukisumbuliwa;

    Upinzani, chuki, na dhihaka.

    Japo tunadharauliwa,

    Twatumai Mungu bila shaka.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

  3. 3. Mungu atatubariki,

    Tutaendelea kufundisha.

    Wokovu tutautangaza,

    Na jina la Mungu kutakasa.

    (KORASI)

    Tuhubiri,

    Wote tusaidie!

    Hubiri,

    Mwisho wakaribia.

    Hubiri,

    Wafundishe wapole.

    Hubiri,

    Kotekote!

(Ona pia Mt. 10:7; 24:14; Mdo. 10:42; 1 Pet. 3:15.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki