Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 120
  • Igeni Upole wa Kristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Igeni Upole wa Kristo
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Sifa ya Upole Ina Nguvu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 120

WIMBO NA. 120

Igeni Upole wa Kristo

(Mathayo 11:28-30)

  1. 1. Bwana Yesu hakuwa na kiburi;

    Hakujitakia makuu kamwe.

    Alikuwa na jukumu muhimu;

    Lakini kajishusha sikuzote.

  2. 2. Nyote mlio na mahangaiko,

    Ichukueni nira yake Kristo.

    Mtapata burudisho la nafsi;

    Bwana wetu ana tabia-pole.

  3. 3. ‘Nyote ni ndugu,’ kasema Bwanetu.

    Msiwe mkitafuta makuu.

    Wapole wana thamani kwa Mungu;

    Watairithi dunia milele.

(Ona pia Met. 3:34; Mt. 5:5; 23:8; Rom. 12:16.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki