Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lff seh. 4
  • Mambo Makuu ya Sehemu ya 4

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mambo Makuu ya Sehemu ya 4
  • Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Mambo Makuu ya Sehemu ya 2
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Mambo Makuu ya Sehemu ya 3
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Mambo Makuu ya Sehemu ya 1
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Sehemu ya 4
    Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
Pata Habari Zaidi
Furahia Maisha Milele!​—Masomo ya Kujifunza Biblia
lff seh. 4

Mambo Makuu ya Sehemu ya 4

Makala Iliyochapishwa

Zungumzia maswali yafuatayo pamoja na mwalimu wako:

Baba akisali pamoja na mke wake na binti yao mdogo.
  1. Soma Methali 13:20.

    • Kwa nini ni muhimu kuchagua marafiki wako kwa hekima?

      (Ona Somo la 48.)

  2. Ni ushauri gani wa Biblia unaoweza kukusaidia ikiwa wewe ni . . .

    • mume au mke?

    • mzazi au mtoto?

      (Ona Somo la 49 na la 50.)

  3. Ni mazungumzo ya aina gani yanayomfurahisha Yehova? Ni mazungumzo ya aina gani ambayo hayamfurahishi Yehova?

    (Ona Somo la 51.)

  4. Ni kanuni gani za Biblia ambazo zitakusaidia kufanya maamuzi mazuri kuhusu mwonekano wako?

    (Ona Somo la 52.)

  5. Unawezaje kuchagua burudani inayomfurahisha Yehova?

    (Ona Somo la 53.)

  6. Soma Mathayo 24:45-47.

    • “Mtumwa mwaminifu na mwenye busara” ni nani?

      (Ona Somo la 54.)

  7. Unawezaje kuunga mkono kutaniko kwa kutumia muda, nguvu, na mali zako?

    (Ona Somo la 55.)

  8. Soma Zaburi 133:1.

    • Unaweza kuchangia umoja katika kutaniko kupitia njia gani?

      (Ona Somo la 56.)

  9. Tunawezaje kupokea msaada wa Yehova ikiwa tutatenda dhambi nzito?

    (Ona Somo la 57.)

  10. Soma 1 Mambo ya Nyakati 28:9 na maelezo ya chini.

    • Unawezaje kuonyesha kwamba ‘umejitoa kikamili’ kwa Yehova wengine wanapopinga ibada ya kweli au wanapoacha kweli?

    • Je, unahitaji kufanya mabadiliko yoyote ili uendelee kuwa mshikamanifu kwa Yehova na kujitenga na dini ya uwongo?

      (Ona Somo la 58.)

  11. Unawezaje kujitayarisha kwa ajili ya mateso?

    (Ona Somo la 59.)

  12. Unapanga kufanya nini ili uendelee kuimarisha urafiki wako na Yehova?

    (Ona Somo la 60.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki