Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waamuzi—Yaliyomo

      • Ushindi wa kabila la Yuda na la Simeoni (1-20)

      • Wayebusi waendelea kuishi Yerusalemu (21)

      • Yosefu achukua Betheli (22-26)

      • Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36)

Waamuzi 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Marejeo

  • +Yos 24:29
  • +Hes 27:18, 21; Amu 20:18

Waamuzi 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nimewapa nchi hiyo.”

Marejeo

  • +Mwa 49:8; Kum 33:7; 1Nya 5:2

Waamuzi 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kura yangu.”

Marejeo

  • +Yos 15:1; 19:1, 9

Waamuzi 1:4

Marejeo

  • +Kum 9:3

Waamuzi 1:5

Marejeo

  • +Mwa 10:6; Kum 20:17
  • +Mwa 15:18-21; Kut 3:8; Amu 3:5; 1Fa 9:20, 21

Waamuzi 1:7

Marejeo

  • +Yos 15:8, 12

Waamuzi 1:8

Marejeo

  • +Yos 15:63; Amu 1:21

Waamuzi 1:9

Marejeo

  • +Yos 11:16; 15:20, 33

Waamuzi 1:10

Marejeo

  • +Yos 11:21; 15:13, 14

Waamuzi 1:11

Marejeo

  • +Yos 10:38
  • +Yos 15:15

Waamuzi 1:12

Marejeo

  • +Hes 13:3, 6; 14:24; Kum 1:35, 36; Yos 14:13
  • +Yos 15:16-19

Waamuzi 1:13

Marejeo

  • +Amu 3:9
  • +1Nya 4:13

Waamuzi 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, baba ya Aksa.

  • *

    Au labda, “akapiga makofi akiwa juu ya punda ili kumwita baba yake.”

Waamuzi 1:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “eneo la Negebu.”

  • *

    Yaani, “Chemchemi za (Mabakuli ya) Maji.”

Waamuzi 1:16

Marejeo

  • +Hes 24:21; Amu 4:11
  • +Kut 3:1; 4:18; 18:1; Hes 10:29
  • +Kum 34:3; Amu 3:13
  • +Hes 21:1
  • +Hes 10:29-32

Waamuzi 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Maangamizi.”

Marejeo

  • +Law 27:29; Kum 20:16
  • +Yos 19:1, 4

Waamuzi 1:18

Marejeo

  • +Mwa 10:19; Yos 11:22
  • +Amu 14:19
  • +Yos 13:1-3; 15:20, 45

Waamuzi 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nchi tambarare ya chini.”

  • *

    Tnn., “magari ya chuma.”

Marejeo

  • +Kum 20:1; Yos 17:16

Waamuzi 1:20

Marejeo

  • +Hes 14:24; Yos 14:9
  • +Hes 13:22

Waamuzi 1:21

Marejeo

  • +Yos 15:63; 2Sa 5:6

Waamuzi 1:22

Marejeo

  • +Yos 14:4
  • +Mwa 49:22, 24; Yos 16:1; Zb 44:3

Waamuzi 1:23

Marejeo

  • +Mwa 35:6

Waamuzi 1:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tutakuonyesha upendo mshikamanifu.”

Waamuzi 1:25

Marejeo

  • +Yos 6:25; 1Sa 15:6

Waamuzi 1:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miji jirani.”

Marejeo

  • +Yos 21:8, 25; Amu 5:19
  • +Yos 17:11, 12

Waamuzi 1:28

Marejeo

  • +Mwa 9:25; 1Fa 9:20, 21
  • +Hes 33:55; Kum 7:2; 20:16; Yos 17:13

Waamuzi 1:29

Marejeo

  • +Yos 16:10; 1Fa 9:16

Waamuzi 1:30

Marejeo

  • +Yos 19:15, 16
  • +Kum 20:17; Amu 2:2

Waamuzi 1:31

Marejeo

  • +Yos 11:8; 19:28, 31
  • +Yos 19:29, 31
  • +Yos 19:30, 31
  • +Yos 21:8, 31

Waamuzi 1:33

Marejeo

  • +Yos 19:38, 39
  • +Kum 7:2

Waamuzi 1:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nchi tambarare ya chini.”

Marejeo

  • +Yos 19:47; Amu 18:1

Waamuzi 1:35

Marejeo

  • +Yos 10:12
  • +Yos 19:42, 48

Waamuzi 1:36

Marejeo

  • +Hes 34:2, 4; Yos 15:3, 12

Jumla

Amu. 1:1Yos 24:29
Amu. 1:1Hes 27:18, 21; Amu 20:18
Amu. 1:2Mwa 49:8; Kum 33:7; 1Nya 5:2
Amu. 1:3Yos 15:1; 19:1, 9
Amu. 1:4Kum 9:3
Amu. 1:5Mwa 10:6; Kum 20:17
Amu. 1:5Mwa 15:18-21; Kut 3:8; Amu 3:5; 1Fa 9:20, 21
Amu. 1:7Yos 15:8, 12
Amu. 1:8Yos 15:63; Amu 1:21
Amu. 1:9Yos 11:16; 15:20, 33
Amu. 1:10Yos 11:21; 15:13, 14
Amu. 1:11Yos 10:38
Amu. 1:11Yos 15:15
Amu. 1:12Hes 13:3, 6; 14:24; Kum 1:35, 36; Yos 14:13
Amu. 1:12Yos 15:16-19
Amu. 1:13Amu 3:9
Amu. 1:131Nya 4:13
Amu. 1:16Hes 24:21; Amu 4:11
Amu. 1:16Kut 3:1; 4:18; 18:1; Hes 10:29
Amu. 1:16Kum 34:3; Amu 3:13
Amu. 1:16Hes 21:1
Amu. 1:16Hes 10:29-32
Amu. 1:17Law 27:29; Kum 20:16
Amu. 1:17Yos 19:1, 4
Amu. 1:18Mwa 10:19; Yos 11:22
Amu. 1:18Amu 14:19
Amu. 1:18Yos 13:1-3; 15:20, 45
Amu. 1:19Kum 20:1; Yos 17:16
Amu. 1:20Hes 14:24; Yos 14:9
Amu. 1:20Hes 13:22
Amu. 1:21Yos 15:63; 2Sa 5:6
Amu. 1:22Yos 14:4
Amu. 1:22Mwa 49:22, 24; Yos 16:1; Zb 44:3
Amu. 1:23Mwa 35:6
Amu. 1:25Yos 6:25; 1Sa 15:6
Amu. 1:27Yos 21:8, 25; Amu 5:19
Amu. 1:27Yos 17:11, 12
Amu. 1:28Mwa 9:25; 1Fa 9:20, 21
Amu. 1:28Hes 33:55; Kum 7:2; 20:16; Yos 17:13
Amu. 1:29Yos 16:10; 1Fa 9:16
Amu. 1:30Yos 19:15, 16
Amu. 1:30Kum 20:17; Amu 2:2
Amu. 1:31Yos 11:8; 19:28, 31
Amu. 1:31Yos 19:29, 31
Amu. 1:31Yos 19:30, 31
Amu. 1:31Yos 21:8, 31
Amu. 1:33Yos 19:38, 39
Amu. 1:33Kum 7:2
Amu. 1:34Yos 19:47; Amu 18:1
Amu. 1:35Yos 10:12
Amu. 1:35Yos 19:42, 48
Amu. 1:36Hes 34:2, 4; Yos 15:3, 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waamuzi 1:1-36

Waamuzi

1 Baada ya kifo cha Yoshua,+ Waisraeli* walimuuliza Yehova,+ “Ni nani kati yetu atakayeenda kwanza kupigana na Wakanaani?” 2 Yehova akawajibu, “Kabila la Yuda litaenda kwanza kupigana nao.+ Tazama! Ninaitia nchi hiyo mikononi mwao.”* 3 Ndipo watu wa kabila la Yuda wakawaambia ndugu zao wa kabila la Simeoni, “Twendeni pamoja katika eneo tulilopewa*+ tukapigane na Wakanaani. Nasi tutaenda nanyi katika eneo mlilopewa.” Basi watu wa kabila la Simeoni wakaenda pamoja nao.

4 Watu wa kabila la Yuda walipoenda, Yehova akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao,+ wakawashinda watu 10,000 huko Bezeki. 5 Wakamkuta Adoni-bezeki huko Bezeki, wakapigana naye na kuwashinda Wakanaani+ na Waperizi.+ 6 Adoni-bezeki akakimbia, wakamkimbiza na kumshika, wakamkata vidole gumba vya mikono na vya miguu. 7 Kisha Adoni-bezeki akasema, “Kuna wafalme 70 waliokatwa vidole gumba vya mikono na vya miguu wanaookota chakula chini ya meza yangu. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.” Baadaye wakampeleka Yerusalemu,+ akafia huko.

8 Kisha watu wa Yuda wakashambulia jiji la Yerusalemu+ na kuliteka; wakawaua wakaaji wake kwa upanga na kuliteketeza jiji. 9 Baadaye watu wa Yuda wakaenda kupigana na Wakanaani waliokaa katika eneo lenye milima na waliokaa Negebu na Shefela.+ 10 Basi watu wa kabila la Yuda wakawashambulia Wakanaani waliokaa Hebroni (zamani Hebroni liliitwa Kiriath-arba), nao wakamuua Sheshai, Ahimani, na Talmai.+

11 Kisha wakawashambulia wakaaji wa Debiri.+ (Hapo awali Debiri liliitwa Kiriath-seferi.)+ 12 Ndipo Kalebu+ akasema, “Yeyote atakayeshambulia na kuteka jiji la Kiriath-seferi, nitampa binti yangu Aksa awe mke wake.”+ 13 Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu, akaliteka. Kwa hiyo akampa Aksa binti yake awe mke wake. 14 Mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani kwake, akamsihi mume wake amwombe baba* yake shamba. Kisha mwanamke huyo akashuka kutoka juu ya punda wake.* Kalebu akamuuliza: “Unataka nini?” 15 Akamwambia, “Tafadhali nibariki, kwa maana umenipa shamba upande wa kusini;* nipe pia Guloth-maimu.”* Basi Kalebu akampa Gulothi ya Juu na Gulothi ya Chini.

16 Na wazao wa Mkeni,+ baba mkwe wa Musa,+ walitoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na watu wa Yuda na kwenda katika nyika ya Yuda, upande wa kusini wa Aradi.+ Wakakaa huko pamoja na wenyeji.+ 17 Lakini watu wa kabila la Yuda wakasonga mbele pamoja na ndugu zao wa kabila la Simeoni, wakawashambulia Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliangamiza jiji hilo.+ Kwa hiyo wakaliita Horma.*+ 18 Kisha watu wa kabila la Yuda wakateka Gaza+ na eneo lake, Ashkeloni+ na eneo lake, na Ekroni+ na eneo lake. 19 Yehova alikuwa pamoja na watu wa kabila la Yuda, nao wakamiliki eneo lenye milima, lakini hawakuweza kuwafukuza wakaaji wa bondeni,* kwa sababu walikuwa na magari ya vita yenye miundu ya chuma.*+ 20 Wakampa Kalebu jiji la Hebroni, kama Musa alivyoahidi,+ naye akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+

21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+

22 Wakati huo, watu wa nyumba ya Yosefu+ wakashambulia Betheli, na Yehova alikuwa pamoja nao.+ 23 Na nyumba ya Yosefu ikatuma watu wakapeleleze jiji la Betheli (zamani liliitwa Luzi),+ 24 na wapelelezi hao wakamwona mtu akitoka jijini. Wakamwambia, “Tafadhali tuonyeshe njia ya kuingia jijini, nasi tutakutendea kwa fadhili.”* 25 Basi akawaonyesha njia ya kuingia jijini, kisha wakawaua watu wote kwa upanga, lakini wakamwacha huru mtu huyo na familia yake.+ 26 Naye akaenda katika nchi ya Wahiti, akajenga jiji na kuliita Luzi. Hilo ndilo jina la jiji hilo mpaka leo.

27 Watu wa kabila la Manase hawakumiliki Beth-sheani na miji yake,* Taanaki+ na miji yake, Dori na miji yake, Ibleamu na miji yake, na Megido na miji yake.+ Wakanaani hawakukubali kutoka katika nchi hiyo. 28 Waisraeli walipopata nguvu, waliwatumikisha Wakanaani,+ lakini hawakuwafukuza wote.+

29 Wala Waefraimu hawakuwafukuza Wakanaani waliokaa Gezeri. Wakanaani waliendelea kukaa kati yao huko Gezeri.+

30 Watu wa kabila la Zabuloni hawakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli.+ Wakanaani waliendelea kukaa kati yao na kufanya kazi za kulazimishwa.+

31 Waasheri hawakuwafukuza wakaaji wa Ako, Sidoni,+ Alabu, Akzibu,+ Helba, Afiki,+ na Rehobu.+ 32 Basi Waasheri wakaendelea kukaa kati ya Wakanaani waliokaa katika nchi hiyo, kwa sababu hawakuwafukuza.

33 Watu wa kabila la Naftali hawakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani.+ Wakawatumikisha wakaaji wa Beth-shemeshi na wa Beth-anathi.

34 Waamori waliwazuia watu wa kabila la Dani wasishuke bondeni,* hivyo wakabaki milimani.+ 35 Kwa hiyo Waamori hawakukubali kutoka kwenye Mlima Heresi, na Aiyaloni,+ na Shaalbimu.+ Lakini watu wa nyumba ya Yosefu walipopata nguvu zaidi, waliwatumikisha. 36 Eneo la Waamori lilianzia kwenye mwinuko wa Akrabimu,+ kuanzia Sela kwenda milimani.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki