Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waamuzi—Yaliyomo

      • Waamuzi Tola na Yairi (1-5)

      • Waisraeli waasi na kutubu (6-16)

      • Waamoni wataka kuwashambulia Waisraeli (17, 18)

Waamuzi 10:1

Marejeo

  • +Amu 2:16

Waamuzi 10:4

Marejeo

  • +Kum 3:14

Waamuzi 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Siria.”

Marejeo

  • +Amu 2:19; 4:1; 6:1; Ne 9:28
  • +Amu 3:7; Zb 106:36-38
  • +Hes 25:1, 2
  • +1Fa 11:5; 2Fa 23:13
  • +Amu 16:23; 1Sa 5:4; 2Fa 1:2

Waamuzi 10:7

Marejeo

  • +Kum 28:15, 48; 31:17; Amu 2:14; 4:2

Waamuzi 10:10

Marejeo

  • +Kum 4:30
  • +Amu 2:13; 3:7; 1Sa 12:9, 10

Waamuzi 10:11

Marejeo

  • +Kut 14:30
  • +Hes 21:23-25
  • +Amu 3:31

Waamuzi 10:13

Marejeo

  • +Amu 2:12
  • +2Nya 15:2; Mik 3:4

Waamuzi 10:14

Marejeo

  • +1Fa 18:27
  • +Yer 2:28

Waamuzi 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na nafsi yake ikakosa subira kwa sababu ya.”

Marejeo

  • +Kum 7:26
  • +2Nya 7:14; 33:13, 15; Zb 106:44; Isa 63:9

Waamuzi 10:17

Marejeo

  • +Mwa 19:36, 38; Amu 3:13

Waamuzi 10:18

Marejeo

  • +Amu 11:1

Jumla

Amu. 10:1Amu 2:16
Amu. 10:4Kum 3:14
Amu. 10:6Amu 2:19; 4:1; 6:1; Ne 9:28
Amu. 10:6Amu 3:7; Zb 106:36-38
Amu. 10:6Hes 25:1, 2
Amu. 10:61Fa 11:5; 2Fa 23:13
Amu. 10:6Amu 16:23; 1Sa 5:4; 2Fa 1:2
Amu. 10:7Kum 28:15, 48; 31:17; Amu 2:14; 4:2
Amu. 10:10Kum 4:30
Amu. 10:10Amu 2:13; 3:7; 1Sa 12:9, 10
Amu. 10:11Kut 14:30
Amu. 10:11Hes 21:23-25
Amu. 10:11Amu 3:31
Amu. 10:13Amu 2:12
Amu. 10:132Nya 15:2; Mik 3:4
Amu. 10:141Fa 18:27
Amu. 10:14Yer 2:28
Amu. 10:16Kum 7:26
Amu. 10:162Nya 7:14; 33:13, 15; Zb 106:44; Isa 63:9
Amu. 10:17Mwa 19:36, 38; Amu 3:13
Amu. 10:18Amu 11:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waamuzi 10:1-18

Waamuzi

10 Baada ya Abimeleki, alitokea Tola mwana wa Pua, mwana wa Dodo, wa kabila la Isakari, ili awaokoe Waisraeli.+ Aliishi Shamiri katika eneo lenye milima la Efraimu. 2 Alikuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka 23. Kisha akafa na kuzikwa huko Shamiri.

3 Baada yake akatokea Yairi Mgileadi, naye akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka 22. 4 Alikuwa na wana 30 waliopanda juu ya punda 30, nao walikuwa na majiji 30 katika nchi ya Gileadi, ambayo mpaka leo yanaitwa Hawoth-yairi.+ 5 Kisha Yairi akafa na kuzikwa huko Kamoni.

6 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kuabudu Mabaali,+ sanamu za Ashtorethi, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamwacha Yehova wala hawakuendelea kumtumikia. 7 Basi hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti na Waamoni.+ 8 Kwa hiyo wakawatesa na kuwakandamiza sana Waisraeli mwaka huo—kwa miaka 18 waliwakandamiza Waisraeli wote waliokuwa ng’ambo ya Yordani katika nchi iliyokuwa ya Waamori kule Gileadi. 9 Waamoni pia walikuwa wakivuka Yordani ili kupigana na watu wa kabila la Yuda, Benjamini, na Efraimu; Waisraeli wakataabika sana. 10 Ndipo Waisraeli wakamlilia Yehova awasaidie,+ wakisema, “Tumekutendea dhambi Mungu wetu kwa sababu tumekuacha na kuabudu Mabaali.”+

11 Lakini Yehova akawaambia Waisraeli, “Je, sikuwaokoa kutoka Misri+ na kutoka mikononi mwa Waamori,+ Waamoni, Wafilisti,+ 12 Wasidoni, Waamaleki, na Wamidiani walipokuwa wakiwakandamiza? Mliponililia, niliwaokoa kutoka mikononi mwao. 13 Lakini mliniacha na kuabudu miungu mingine.+ Ndiyo sababu sitawaokoa tena.+ 14 Nendeni mkaililie miungu mliyochagua iwasaidie.+ Na iwaokoe kutoka katika taabu yenu.”+ 15 Lakini Waisraeli wakamwambia Yehova, “Tumetenda dhambi. Tutendee upendavyo. Lakini tunakusihi utuokoe leo hii.” 16 Wakaondoa miungu ya kigeni waliyokuwa nayo na kumtumikia Yehova,+ naye hakuweza tena kuvumilia* kuwaona Waisraeli wakiteseka.+

17 Baadaye Waamoni+ wakakusanyika na kupiga kambi huko Gileadi. Nao Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi huko Mispa. 18 Ndipo wakaaji wa Gileadi na wakuu wao wakaulizana, “Ni nani atakayetuongoza kupigana na Waamoni?+ Atakayefanya hivyo atakuwa kiongozi wa wakaaji wote wa Gileadi.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki