Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 142
  • Kushikilia Tumaini Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kushikilia Tumaini Letu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wimbo Mpya
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shiriki Kuimba Wimbo wa Ufalme!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 142

WIMBO NA. 142

Kushikilia Tumaini Letu

(Waebrania 6:18, 19)

  1. 1. Kwa karne nyingi watu wako gizani.

    Kazi zao ubatili mtupu.

    Inazidi kuonekana wazi:

    Kujiokoa hawawezi.

    (KORASI)

    Mwimbieni na kushangilia!

    Ufalme wake unakaribia.

    Uovu ataufutilia;

    Tumaini letu twashikilia.

  2. 2. ‘Siku ya Mungu iko karibu sana! ’

    Tusilie, ‘Jamani hadi lini? ’

    Karibuni tutapata uhuru.

    Yehova Mungu msifuni.

    (KORASI)

    Mwimbieni na kushangilia!

    Ufalme wake unakaribia.

    Uovu ataufutilia;

    Tumaini letu twashikilia.

(Ona pia Zab. 27:14; Mhu. 1:14; Yoe. 2:1; Hab. 1:​2, 3; Rom. 8:22.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki